Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Na wajinga ndiyo hao mitaji ya hiyo biashara ya silaha,
LNG miradi inakuza nchi zao, na wenyeji waliokuwa ndugu zao ndiyo wanaopata dhahana, wageni ni wachache SANA, watoto na mama zao kuingizwa kwenye utumwa wa kivita na kingono.

Dalali anaishi Dubai 7* mpiganaji anaishi huko msituni mapangoni, ujinga.

Everyday is Saturday............................... 😎
Hakika...!!!!
 
Kila kwenye mafuta na gesi Africa lazima kuwe na uwasi hata Tz tungecheza kidogo yangetukuta najiuliza makomando watatu wakaokoe mtu mmoja kwenye kundi la waasi ambao wameshikilia miji na mitaa msumbujii kama sio wao wenyewe kwenda kutoa mafunzo kwa magaid na ushaambiwa wao ni walimu wa" bush welfare"pia cha ajabu kampuni Total bado inafunga mitambo yake bila shida yn utaniutani msumbujii ndio bc tn
Na kwa nini magaidi wawe ni watu wa dini moja tu kila siku?????
 
Ujinga mtupu.
Nani amewahi kusikiliza chombo cha habari cha ISIS kinachoitwa Amaq.Atuletee anuwani yake ili tuthibitishe habari za daily graph.
Haya mataifa ya kibeberu kwa kupenda kwao kusema uwongo na kudharau watu sasa ndio wanasambaratika.Kwani akili zetu si kweli kuwa ni duni sana kuliko zao.
 
Uzishi mtupa umeona wapi Operation za kijeshi zinatangazwa kabla ya tukio kufanyika.
Tukio la kijeshi linafanyika ndipo wanaweka taarifa wazi
 
Nadhani bado SADC haijaweza kuunda kikosi maalum cha hizo operations.

Hata hivyo jukumu hilo ni la AU.
Kikao kimeshakaa msumbiji cha sadc na Tanzania tuliwakilishwa na Hussein Mwinyi. Mambo mengine ya kukusanya taarifa na kuchagua vikosi hayo ni mambo ya siri. Tutaona matokeo tu..
 
Wakuu vipi hao makomandoo walifanikiwa kumuokoa huyo mtu(mzungu)
 
Hii habari ya Siku nyingi kabla ya Kagame hajapeleka vikosi huko.Je,huyo raia aliokolewa?!
 
Kwa Waingereza Kutangaza Kwao tu hivi ( huku ) huyo Raia wao wanayeenda Kumkomboa kutoka kwa hao Magaidi wa ISIS huko Msumbiji wakimpata akiwa Hai ( hajafa ) naogolea Baharini chini kwa chini tu ( kwa Kuzamia ) kutoka Dar es Salaam hadi Zanzibar na kurejea Dar es Salaam tena.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] jf raha sana
 
Back
Top Bottom