Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Kusingetulia tungesikia hali iliyopo Msumbiji..we unaona hali ilitokuwepo sasa? Na hawa wa kibiti je jmewasikia?? Hao ndo walikua wafuasi wa Rogo
Kwahiyo kifo cha rogo hakijasaidia kitu, ukute wangemwacha hai na kumwelimisha nae angeelimisha wanafunzi/wafuasi wake
 
Hawa wavaa vipedo pusha si wa kuwadekeza, mkiwadekeza matokeo yake ndio haya.
Hao makomando watatu wako vizuri kiasi Cha kukwepa risasi?
SAS maana yake ni Special Air Service huja kwa ndege maalum wakadondoshwa mahala wakiachwa wakatekeleze kazi.

Kazi zao ni pamoja na kupambana ugaidi, magaidi pamoja na uokozi wa mateka.

Shughuli zao huwa ni siri au "classified" na wakiingia kazini wanakuwa wamepewa "go ahead" na serikali ya Uingereza na wizara ya ulinzi wa nchi hiyo.

SAS wana idara nyingi na huenda idara maalum ya majini yaani Boat Troops ambayo hutumia mitumbwi na ile ya kujaza upepo pamoja na uzamiaji na uibukaji pembezoni mwa bahati ndo walotumwa kwa kazi hiyo.
 
Hawa watatu wamekwenda kuongeza nguvu katika big operation.
 
Nadhani bado SADC haijaweza kuunda kikosi maalum cha hizo operations.

Hata hivyo jukumu hilo ni la AU.
Hiyo akili haipo, watauzana tu. Africa bado tuna shida sana.. mfano mwepesi UGANDA , RWANDA na CONGO
SAS wanamwagiwa sana sifa. Huenda wakamaliza tatizo kama hawachezi na akili zetu, maama hiyo matukio yote huenda wao na tamaa zao za mafuta ndio wanaleta baraaa. Mzungu mtu wa ajabu sana. Ila hao watatu hawana suport ?
 
makomandoo watatu mpaka nimejikuta nacheka. asset tatu sawa na matrafiki 312 wa TZ. komandoo mmoja full equipd 62 mil tSH. jumlisha training sio watu hao ni mashine. makomandoo wetu tuache kuwavunjisha matofali na mafimbo. wao sio wanamazingaumbwe.
Katika makuruta 200 wakianza kuchujwa hubakia kama 30 hivi, hivyo ni asilimia 15 hadi 20 hivi.
 
Yani kumbe hao waasi wanauwa watu maeneo hayohayo na kazi za uchimbaji mafuta na mitambo inaendelea kufungwa lakini hawa leti madhara kwenye hayo makampuni?????.

Kweli wazungu sio wajombazetu.
Mkuu hao ndiyo walinzi wa mradi!
Hao makomando wa Uingereza walikuwa Nairobi wakifundisha sijui kina nani vita ya msituni. Wakati wao Waingereza kwao hakuna misitu.

Tabia ya Beberu ni kujirushia mkojo wake!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mkuu, tukianza kuongelea hawa jamaa itachukua muda sana.

Hivi wafahamu kuwa hawa huweza kuingia katika nchi kama watalii na kukaa kuleee mbugani.

Huko huweza kutuma drone ikazunguka Mererani yote na kutuma picha makao makuu bila hata mtu kutambua?

Ogopa sana hawa watu.

?
 

Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…