Misitu wanayo mkuu huko ndiko hujifunzwa.Mkuu hao ndiyo walinzi wa mradi!
Hao makomando wa Uingereza walikuwa Nairobi wakifundisha sijui kina nani vita ya msituni. Wakati wao Waingereza kwao hakuna misitu.
Tabia ya Beberu ni kujirushia mkojo wake!
Everyday is Saturday............................... 😎
Hawa ni dini moja na madam president, hawezi kuamuru jeshi letu liwashughulikie. Watapewa msaada waendeleze harakati zao.Hali siyo nzuri. Tukizembea mambo haya yatafika hata kwetu kwa sababu wapo hapa tu mlangoni kwetu. Takbih !!!
View attachment 1739203
Walichotuacha wenzetu ni Technology, + mafunzo + weledi + mishahara na benefits zingine. Wakijitahidi sana kwenda na mda.. ( advance ki tech, kimazoe,i, mbinu zinazotokana na research ).. Sie huku tupo nyuma ya Tech sana.. na hata waledi na benefits.. ni kikwazo sanaMkuu, tukianza kuongelea hawa jamaa itachukua muda sana.
Hivi wafahamu kuwa hawa huweza kuingia katika nchi kama watalii na kukaa kuleee mbugani.
Huko huweza kutuma drone ikazunguka Mererani yote na kutuma picha makao makuu bila hata mtu kutambua?
Ogopa sana hawa watu.
?
Si rahisi hivyo mkuu hii issue iko very complex.Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.
Mbona wafanyakazi wa mitambo ya gas wameuwawa wengine wametekaa au sijasoma vizuri?Nasubiri comments za wenye dini zao. Eneo la mzozo kuna mitambo ya gesi inafanya kazi bila hambu hambu ya wanamgambo.
Itakua zuga hawa watakua wamepeleka kikosi ....wanajua wakisema.kikosi IS watajipanga zaidiKila kwenye mafuta na gesi Africa lazima kuwe na uwasi hata Tz tungecheza kidogo yangetukuta najiuliza makomando watatu wakaokoe mtu mmoja kwenye kundi la waasi ambao wameshikilia miji na mitaa msumbujii kama sio wao wenyewe kwenda kutoa mafunzo kwa magaid na ushaambiwa wao ni walimu wa" bush welfare"pia cha ajabu kampuni Total bado inafunga mitambo yake bila shida yn utaniutani msumbujii ndio bc tn
Nimeeleza hapo katika mada kwamba kuna biashara yafwanywa akti ya waasi wa Congo DRC na hawa jamaa wa ISIS.Kwani majeshi ya nchi ambazo huwa zinavamiwa na hawa jamaa huwa hawajui kutumia bunduki??? Mipaka yao hailindwi vizuri hadi wazungu wanapata njia za kuwaletea silaha?
Si rahisi hivyo mkuu hii issue iko very complex.
Kama kikundi hichi kina uhusiano na waasi wa Congo DRC wadhani kuna ulegelege hapo?
Wao Waingereza, hawana misitu, nani anaenda kupigana nao wenye vichochoro vyao?? Labda ingekuwa wanamiliki Siberia.Misitu wanayo mkuu huko ndiko hujifunzwa.
Kuna aina tatu za vita ya ardhini kuna vita ya msituni "Bush Warfare", vita ya mjini au "urban Warfare"na vita ya mwenye silaha nzito dhidi ya kikundi kidogo chenye silaha hafifu yaani "asymmetrical warfare", ambacho hufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Hivy hawa wamepelekwa kwa hiyo aina ya tatu ya vita ya "asymetrical warfare"
Pia unakuta backup ipo pwani kwa lolote litalotokea ....pia kuna imformer wameshatangulia kusoma ramani....lazima wamejipangaKwa kawaida boti moja hubeba watu kati ya 4 au 5
Hivyo kama kuna boti 2 au 3 basi huenda kuna watu kama 8 au 10 hivi tayari kwa kazi.
Yaani kiukweli mimi huwa sioni mantiki ya sheria za ulinzi wa amani wa UN, kwasababu hawa UN wanajua kabisa kwamba wanasababisha vita kwenye nchi hizi ni wafadhili wa kizungu. Huko Congo ni wazungu ndyo wanafadhili ili waendelee kuchota mali za waCongo. Kwanini nchi husika zisichukue hatua ya kufanya operation kama wanapigana na adui kutoka nchi nyingine ili kuwafyekelea mbali hao watu????Nimeeleza hapo katika mada kwamba kuna biashara yafwanywa akti ya waasi wa Congo DRC na hawa jamaa wa ISIS.
Moja ya biashara hiyo itakuwa ni silaha ambazo nyingi ni kutoka Libya au hata Iraq yaani zile silaha zilizookotwa au kutumika.
Ni biashara haramu ambayo key players ni arms dealers..
Hao ni wahuni nakubaliana nawe, propaganda kuwaita wanajeshi, hawana silaha zozote za maana, jeshi huko likijipanga kama JWTZ ilivyojipanga huku enzi za MKIRU, wanasambaratika wote.Kivipi Mkuu? Hao wahuni hawazidi hata 100,complexity yake inakuwaje? Hizo ni propaganda tu kwamba ni biashara ya silaha,mbona huku kwetu walimalizwa? Kwenye maswala ya usalama wa nchi hautakiwi kucheka na KIMA maana utavuna mabua,ni operation ya kukamata na kuwaunguza na acid tu.
Hao wahuni zaidi ya Ak47/SMG hawana silaha za kutisha zaidi ya hizo,sasa majeshi yana kila aina ya silaha wanashindwaje kuwadaka hao wahuni ambao wameingia phyisically nchi mwako? Wakipiga Operation ya wiki mpaka kwa mpaka nyumba kwa nyumba na wakazunguka mji wote sehemu zote za kutokea lazima wawakamate.
Cha kuongezea ni kwamba hawa ISIS silaha huwa wanapata wapi...anyway chimbeni mafuta lakini musiwauwe watuYani kumbe hao waasi wanauwa watu maeneo hayohayo na kazi za uchimbaji mafuta na mitambo inaendelea kufungwa lakini hawa leti madhara kwenye hayo makampuni?????.
Kweli wazungu sio wajombazetu.
Hata mimi huwa naona kama ni propaganda tu. Yaani nchi na jeshi lake washindwe na kakikundi ka watu wachache??? Nchi ina vikosi vingapi vya jeshi???? Wana silaha za aina gani nzuri kuliko hao waasi?Kivipi Mkuu? Hao wahuni hawazidi hata 100,complexity yake inakuwaje? Hizo ni propaganda tu kwamba ni biashara ya silaha,mbona huku kwetu walimalizwa? Kwenye maswala ya usalama wa nchi hautakiwi kucheka na KIMA maana utavuna mabua,ni operation ya kukamata na kuwaunguza na acid tu.
Hao wahuni zaidi ya Ak47/SMG hawana silaha za kutisha zaidi ya hizo,sasa majeshi yana kila aina ya silaha wanashindwaje kuwadaka hao wahuni ambao wameingia phyisically nchi mwako? Wakipiga Operation ya wiki mpaka kwa mpaka nyumba kwa nyumba na wakazunguka mji wote sehemu zote za kutokea lazima wawakamate.
Wanapewa na hao wazungu ambao wanajidai kutoa misaada!Cha kuongezea ni kwamba hawa ISIS silaha huwa wanapata wapi...anyway chimbeni mafuta lakini musiwauwe watu
Upo sahihi. Lakini duru zinasema bado mitambo inaendelea kusimikwa. Nikukumbushe mkuu TOTAL ni kampuni ya KIFARANSA wacha tuone mwendelezo wa hao raia wa kigeni wanaopata madhara wanatoka upande gani.Mbona wafanyakazi wa mitambo ya gas wameuwawa wengine wametekaa au sijasoma vizuri?
Hao ni wahuni nakubaliana nawe, propaganda kuwaita wanajeshi, hawana silaha zozote za maana, jeshi huko likijipanga kama JWTZ ilivyojipanga huku enzi za MKIRU, wanasambaratika wote.
Everyday is Saturday............................... 😎