Mac Bully 001
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 6,537
- 13,004
Yule mmoja wa SAS aliingia peke yake huko Dusit 2, sembuse hawa watatu. Alafu sio watatu, media inatumika kuzingua waasi, hiyo lazma wako team kama mbili au tatu hivi. Na usisahau baharini bado wamejiseti. Kuna watu watalizwa humo! 🤣makomandoo watatu mpaka nimejikuta nacheka. asset tatu sawa na matrafiki 312 wa TZ. komandoo mmoja full equipd 62 mil tSH. jumlisha training sio watu hao ni mashine. makomandoo wetu tuache kuwavunjisha matofali na mafimbo. wao sio wanamazingaumbwe.
SAS(special air service)SAS maana yake ni Special Air Service huja kwa ndege maalum wakadondoshwa mahala wakiachwa wakatekeleze kazi.
Kazi zao ni pamoja na kupambana ugaidi, magaidi pamoja na uokozi wa mateka.
Shughuli zao huwa ni siri au "classified" na wakiingia kazini wanakuwa wamepewa "go ahead" na serikali ya Uingereza na wizara ya ulinzi wa nchi hiyo.
SAS wana idara nyingi na huenda idara maalum ya majini yaani Boat Troops ambayo hutumia mitumbwi na ile ya kujaza upepo pamoja na uzamiaji na uibukaji pembezoni mwa bahati ndo walotumwa kwa kazi hiyo.
😂 😂 😂 Hawa wanahitaji wasaidiwe na 'MOAB' moja tu kutoka USA. Kazi laini tu, ni vile siku hizi sheria kibao lakini kazi laini hiyo kwa mzungu.Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.
Safi sana mkuu. Huyo jamaa anadai England hakuna misitu, kwani kumekuwa Uarabuni? 😂 😂 😂Misitu wanayo mkuu huko ndiko hujifunzwa.
Kuna aina tatu za vita ya ardhini kuna vita ya msituni "Bush Warfare", vita ya mjini au "urban Warfare"na vita ya mwenye silaha nzito dhidi ya kikundi kidogo chenye silaha hafifu yaani "asymmetrical warfare", ambacho hufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Hivy hawa wamepelekwa kwa hiyo aina ya tatu ya vita ya "asymetrical warfare"
Naingojea sana hiyo, Netflix wafanye bidii 😂😂😂26 Hours: The secret soldiers of Palma
[emoji16][emoji16][emoji16]Naingojea sana hiyo, Netflix wafanye bidii [emoji23][emoji23][emoji23]
Unakumbuka captain Phillips Ile movie, true story. Pahali popote mzungu atapatikana na shida inje ya nchi yao, atafuatwa liwe liwalo bora mtu arudi nyumbani. Kufariki huwa bahati mbaya na tena inajulikana hiyo kunaezatokea chochote ndio maana wanapelekwa ni Best SF, wenye uzoefu. Jeshi akifariki, hapo ndipo kazi yake inapoisha, lakini raia anafaa arudi mzima.Ufaransa walipeleka makomandoo saba kwa Al Shabab kuokoa raia wao,wakafa 4,watatu wakasalimika na hawakuokoa raia wao.
U.S walipeleka kwa siri sana makomandoo watatu Afghanstan kumkamata kiongozi mmoja wa Taleban,wakafa wawili mmoja akapona kwa kufichwa na raia wa Afghanstan.
Haya embu nambie bwashee izo kazi za comando watakazo fanya ao watatu kuokoa raia wao uko Msumbiji?
Kabisa, hao wanafuata mtu wao. Hawajaenda kujihusisha na vita vya ndugu zetuKwa jinsi ulivyonielewesha basi hao watatu ni wengi na wanatosha sana tu.
4-5 members per squadron, each one with a specified skill beside the military capabilities ie coms guy, commander, medic, engineer etc Lakini wote hatari yao kwa vita ni sawaSAS huwa Wana operate wakiwa watatu mission zote wanazofanya.
One man team, bila hata info yoyote lakini kajiamini kinyama!SAS niliwaheshimu mno kwenye ile saga la Nairobi Westgate shopping mall.
Hii ni danganya toto za media, operations za SBS na SAS huwa classified sana na hata ikitangazwa huwa zimekuwa executed tayariWazungu wahuni sana, wanatengeneza tatizo halafu wanadai kulitatua. Operation ya uokoaji huwa ni classified, sasa hawa wahuni wanaleta ngonjera zao.
Yeah, ndio hiyo. Na walikuwa wanne, wakafa watatu aka survive mmoja, lakini wale wa Afghan waliouawa na hao jamaa 4 ni wengi sana. Ndio maana training yao huo special, kuambatana na kazi zaoHiyo ya USA ndio imetolewa kwenye muvi ya LONE SURVIVOR?
Hata Mimi nimependa coment yakoImagine!!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Yote hii inaanza na kitu kiitwacho usaliti ndani ya jeshi. Humohumo jeshini kuna wanajeshi wenyekofia mbili moja ya uana jeshi na ya pili uasi. Kazi yao kuvujisha siri ya kila linalopangwa jeshini.Kivipi Mkuu? Hao wahuni hawazidi hata 100,complexity yake inakuwaje? Hizo ni propaganda tu kwamba ni biashara ya silaha,mbona huku kwetu walimalizwa? Kwenye maswala ya usalama wa nchi hautakiwi kucheka na KIMA maana utavuna mabua,ni operation ya kukamata na kuwaunguza na acid tu.
Hao wahuni zaidi ya Ak47/SMG hawana silaha za kutisha zaidi ya hizo,sasa majeshi yana kila aina ya silaha wanashindwaje kuwadaka hao wahuni ambao wameingia phyisically nchi mwako? Wakipiga Operation ya wiki mpaka kwa mpaka nyumba kwa nyumba na wakazunguka mji wote sehemu zote za kutokea lazima wawakamate.
🙏Hata Mimi nimependa coment yako
Anataka kesi yao isikilizwe na itolewe hukumu...kumbuka ni mwaka wa 9 huu bado kesi haijakamilika na bado wanashikiliwa.Tundu Lissu anataka waachiwe..
Magaidi hayasikilizwi mkuuAnataka kesi yao isikilizwe na itolewe hukumu...kumbuka ni mwaka wa 9 huu bado kesi haijakamilika na bado wanashikiliwa.
Sema mkuu hawa watu walio jazwa imani za kipuuzi kupambana nao ni shida sana maana hua wanaua raia wasio na hatia nilikua naangalia documentary vice news.Hawa sio wakuwachekea km ukiwakamata nikumtandika hasa mpaka ataje washenzi wenzake wako wapi.Nashangaa sana Jeshi la msumbiji ,yaani wanashindwa kuwamaliza hao "WAVUTA BANGI wanaojiita ISIS"? Yaani wanaingia kwako na kufanya mauaji na wao wapo tu kambini wanakula mikate yenye siagi na chai ya maziwa? Hao ni Operation ya Week tu unawakamata na kuwakaanga kwenye concentrated Sulphuric acid.