Uingereza yatuma kikosi maalum cha makomandoo wa SAS Msumbiji kumuokoa raia wao aliyetekwa

Hata mimi huwa naona kama ni propaganda tu. Yaani nchi na jeshi lake washindwe na kakikundi ka watu wachache??? Nchi ina vikosi vingapi vya jeshi???? Wana silaha za aina gani nzuri kuliko hao waasi?
Mkuu huoni hata kule Nigeria Boko haram wanavo zingua na Jeshi la nigeria lipo ....mm nazani na serikali hua zinahusika kufuga hawa mmbwa .
 
Kidogo nifuzu mafunza ya SAS.. sema sipendi show off🤨
 
Hivyo kupitia ISCAP kikundi hiki moja ya vyanzo vyake kifedha ni kutumia njia ya waasi wa nchini Congo ambao nao hupata mapato yao kupitia biashara za madini na rasilimali zingine.
Dah sasa hayo madini na rasilimali nyingine wanafanya biashara na nani na kwa routes zipi?
 
Hv SADC hawawezi kuungana kupiga joint special operation kusafisha hawa jamaa.Maana instability wanayotujengea hata sisi wa Tz hatutakuwa salama soon.
Wanaungana kwenye chaguzi na kuongoza miaka ya utawala.... kwa hili wamefanikiwa 💯
 
Watanzania kadha wa kadha wapo jeshi la GB.. vikosi kama SAS wanaangalia mambo mengi sanaaa.. tofauti na mjeshi wa kawaida
Kuna mshikaji mmoja wa KE alikuja training zile zao huku 'BATUK', alionyeshwa kwa news, jamaa bado anapiga 'Kiswahili sheng' cha Ghetto yaani huwezi dhani anaishi GB, alafu kafuga rasta, dah huku kwetu upara kwenda mbele, tena tatoo nazo pia shida, yaani requirements kibaoo zenye hazina msingi. Huyu dogo yuko upande wa Catering, basi kazi Kilaini aisee 🤣
 
Ulaya ni Ulaya tu mkuu.. Wanatumia akili nyingi kuliko Maguvu.. hata vita za sahihi ni akili nyingi na Technology sio maguvu mengi
 
Acha uongo hiyo drone unafikiri inarushwa rushwa ovyo tu!!!


Acha story za vijiweni!!!
 
Daaaaaaah Mmakonde anaponzwa na Gesi yakeee
Dunia ina mambooo hiiiii
hatariii
 
Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…