Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Uislam ni dini inayoleta vurugu na kuharibu amani ya ulimwengu

Waarabu naweza sema wana akili za panzi, hivi wanakubali vipi kuchonganishwa na hao CIA mpaka wanaenda kujilipua misikitini na kuua watu wasio na hatia?
Uislamu upi unaouzungumzia? Ukiusoma uislamu utakuta mtume amewaita wapiganaji kama hawa kuwa ni MBWA wa motoni. Ukisoma elimu ya kimazingira utakuja kugungua ni kundi la watu watafuta maisha kama watafuta maisha wengine. Haya makundi yanaanzishwa na kufadhiliwa na CIA katika mikakati Yao kuchonganisha na kuiba kwa mgongo wa kujifanya wanatoa msaada wa kupambana na magaidi. Kwahiyo mfumo kristo unahusika pakubwa na uanzishwaji wa haya makundi Ili wakristo njaa kama wewe muanze kuutukana uislamu. Pole sana mku
 
Habari wananchi.

Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.

Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.

Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.

Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.

Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.

Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).

Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.

Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.

View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298
Habari wanajamvini.
Nijielekeze kwenye Mada Moja kwa moja .Ukiwa mbumbumbu katika Security Intelligence unaweza ropoka na kuanza kuchukia ndugu zako.

Hakika ninakuambia Dini ya Kiislam ukiisoma hata kidogo tu utagundua ni Dini Safi Sana imejaa hekima ya kutosha .
Katika Vita za Uchumi Duniani Mataifa yenye nguvu Duniani huwa yanatafuta namna mbalimbali ya kufikia malengo yao Kuna muda wanatumia hii Mbinu ya kigaidi pia.
Ipo hivi kuwagombanisha Watz kwa Ukabila huwezi sababu makabila kwasasa yapo kuonesha asili yako tu Ila kupitia Imani unaweza kuwapata ingawa kwa Tz siyo Sana. Haya Mataifa yanayoshambuliwa na Ugaidi siyo sababu ya Dini ya Islam Bali Sababu ya Taifa fulani lenye nguvu linataka Mali fulani iliyopo kwao hivyo Mtapandiwa maadui wenye asili yenu Ila wanadanganywa Kupitia Mlango wa Dini kwa kupewa vifungu vya Imani husika na wanawezeshwa kiuchumi na kuwapa Mafunzo ili wasababishe vurugu au hofu kwa Nchi.hao IS ,Boko Haram Alshabab wote ni zao la Mafunzo mabaya katika Imani na waliotoa hayo Mafunzo walifanya hivyo wakiwa na lengo lingine Kabisa ambalo halihusiani Kabisa na Imani .Mfano Tz kule Mtwara Hadi Mozambique kote huko kumejaa gesi tulipandiwa magaidi ili tushindwe kufanikisha yetu tuwe bize na Battle, Kule Nigeria na Nchi zingine za Western Africa wenyewe wameingizwa kwenye Ugaidi sababu ya Mafuta na dhahabu,Kule Congo Dr Wamepandiwa Waasi sababu ya Madini tu.
Hivyo wazawa Wachache wako tayari kupigana na serikali yao wakishiriana na Maadui wa Nje wenye Pesa na Mafunzo na wanavhofanyiwa ni Propaganda za hovyo ili kuichukia serikali yao tu.
Mfano halisi Ethiopia pale Ugomvi ulitengenezwa kwasababu ya Mto Nile kutumika Bwawa la Umeme Taifa jirani la Misri na Mengine yenye kufaidika na Misri kutoka Ulaya wakachochoea Vita.
Tukumbuke Joseph Cony akiitumia Bibilia na ukristo kutengeneza Waasi Lord Resistance Army na alipata wafusi wa kupigana zidi ya serikali ya Kampala .
Wewe Mwanajamii forums weka akilini kuwa Ugaidi unatengenezwa na Mataifa yenye nguvu Duniani kuchafua Amani yenu ili Wafaidike kumbuka Basi hataliue Watu 200 Tz siyo Habari ya kuvutia CNN Ila akijeruhiwa hata Mtu Mmoja kwenye tukio ni Habari inayokuja kwenye Breaking news. Kwa ufupi Ugaidi na Media kubwa wanamakubalidno maalumu ili kurusha matangazo yao maana anayesponsor Ugaidi ameshagharamia Hadi media. Tukio likitokea wao ni SHANGWE. Kumbuka weka akilini Uislam hajawahi support Ugaidi Wala hautasapoti Ugaidi Ila wapuuzi Wachache wanawachukua Wananchi Wachache Wajinga wanawajaza propaganda za kiimani tu Kisha kuwapa silaha na Mafunzo na kwenda kuua ndugu zao wenyewe wakiamini wanakwenda ahela.
Jiulize Iran kumejaa Uislam tupu mbona Kuna Ugaidi kule Saudia Kuna Uislam tupu Ugaidi unafuata Nini.Jibu ni kuwa Propaganda za Mataifa yenye nguvu kupitia majasusi zinasambazwa na kuwajaza Wananchi sumu tupu .
 
Ukweli wa kuchinja hadharani na kuwarecord.
Ukweli wa kuanzisha vituo kujifanya mnafundisha watoto kuijua Quran kumbe mnawalawiti.
Mnawafundisha watu kuna makafili mnamfunza binadamu kumbagua mwenzie kwa sabb tu ni dini nyingine na yeye havai ushungi.

Mnawafunza watu utawala wa imani kali ni sahihi na ndio unakubalika kwa Allah.
Kwamba inafikia hatua mnawaua dada za wenzenu kwa sabb tu kipisi cha nywele kimeonekana nje ya mtandio.

Mnaua maelfu na maelfu ya watu ety mnajitoa muhanga ndio sadaka kwenda kwa Allah.

Sidharau dini yyte lkn nyie wenyewe mnaona kabisa uislam unaongozwa na viongozi wakubwa wa uuaji, ukatili, unyanyasaji wa wanawake na watoto, ubinafsi na mengine mengi machafu.
Kumbe nyie mnafuatilia mitandao?
Hao ulowataja wote hawafuati mafundisho ya dini yetu ndo mna nakwambieni usomeni Uislamu sio mnasikiasikia tuu
 
u nailed it bro uzi ufungwe na wasichokijua ni kwamba wanaona kwa macho mawili sio matatu wakibrainwashiwa kidogo tu wanaanzisha nyuzi afatilie ukweli hata u tube zipo documentaly zinaeleza vyema mfano tukio la sept 11 wanadai ni osama lakini ukifatilia mitandaoni ni michezo yao wenyewe, ISIS ni product za wamarekani zote, same to ALSHABABY....hata wewe ukivaa kanzu ukijiripua watasema waislamu kumbe ni mgalatia mmoja kajiripuaa......SIKUZOTE KIZURI KINAPIGWA MAWE SANA
amka blaza na kuanzia leo uelewe anaejilipua sio muislam ,sio mafundisho ya Mungu wala Mtume wake.....ISLAAAM ......(AMANI)
nakupa mtihani kidogo ukiweza uutafute andika GOOGLE (UTATA KATIKA BIBLIA UONE MISTARI ILIVYOPISHANA KWENYE MAANA NA UWE NA BIBLIA PEMBENI halafu ukimaliza andika UTATA katika Quraan kama utapata utata wowote njoo hapa tujadili
kitabu kinabadirikabadirika kama ANDROID VERSION ila Quraan ni ileile tangu karne ya 6 hadi leo haijaongezwa wala kupunguzwa na imeeleza vitu hadi duniaa iishe......ukiwa na quraani tu inatosha kuwa katiba na mkaanzisha state kwa maana imeeleza maisha yote mfano namna ya kuoa,utawala ,biashara,sherehe ,vyakula ila ukiwa na biblia utahitaji na katiba iliyotungwa na wanaadamu ndo mambo yaende

NAFURAHI SANA KUZALIWA MUSLIM.

NAULIZA WAMEENDA KUANGALIA KOMBE LA DUNIA AU KUNYWA POMBE?
Hawa hawana hoja hawa ni chuki tu walonazo
 
Habari wananchi.

Neno uislam ni neno lenye asili ya Kiarabu ambalo maana yake ni unyenyekevu.

Kwa uhalisia uislam hauna unyenyekevu na uvumilivu ndani yake.

Wanachokifanya Alshabab, Alqaeda, Islamic state, Bokko haram, na vikundi vingine vya itikadi kali ndio taswira halisi ya Uislam.

Vikundi hivi ni kama tu vinatoa ujumbe au vinajiandaa na kile ambacho kitatokea siku za mbele.

Nasikitika kusema kitu hicho (Jihad) hakuna anayeweza kukizuia. Lazima kitatokea, labda Yesu arudi haraka kunyakua kanisa lake takatifu hivi karibuni ndio itakuwa njia pekee ya kublock hii Jihad.

Bokko haram, IS, Alqaeeda, Alshabab n k hufadhiliwa na matajiri wakubwa wa Kiislamu kwa kuwamwagia mabilioni hawa vijana wanaompigania Allah ( Mungu wa waislamu).

Matajiri hawa wanamwaga mabilioni wakitaraji thawabu, na wapiganaji hawa hutoa hata uhai wao kwasababu ya Allah wakiamini ni ibada takatifu ya kuwapeleka Peponi.

Ni wasomi wazuri wa Quran kwa ngazi ya Diploma, degree na Master's. Kwahiyo hawa hufanya kile dini inataka. Na huo ndio Uislam.

View attachment 2423279View attachment 2423280View attachment 2423281View attachment 2423282View attachment 2423284View attachment 2423286View attachment 2423287View attachment 2423289View attachment 2423298
Picha za zamani
 
Ukweli wa kuchinja hadharani na kuwarecord.
Ukweli wa kuanzisha vituo kujifanya mnafundisha watoto kuijua Quran kumbe mnawalawiti.
Mnawafundisha watu kuna makafili mnamfunza binadamu kumbagua mwenzie kwa sabb tu ni dini nyingine na yeye havai ushungi.

Mnawafunza watu utawala wa imani kali ni sahihi na ndio unakubalika kwa Allah.
Kwamba inafikia hatua mnawaua dada za wenzenu kwa sabb tu kipisi cha nywele kimeonekana nje ya mtandio.

Mnaua maelfu na maelfu ya watu ety mnajitoa muhanga ndio sadaka kwenda kwa Allah.

Sidharau dini yyte lkn nyie wenyewe mnaona kabisa uislam unaongozwa na viongozi wakubwa wa uuaji, ukatili, unyanyasaji wa wanawake na watoto, ubinafsi na mengine mengi machafu.
Halafu nani alokwambia kuwa hao wanofanya hivyo ni viongozi wa Waislamu? Wamechaguliwa na nani?

Ila tunaona yule mlomchagua nyie anavopambania upinde. Ongea ukiwa na facts sio ilimradi uongee.
 
Uislam upi unauosema ww.
Kwasababu akili yko ishachagua upande unaotaka sikulazimishi


( لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ ۖ قَد تَّبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنَ الْغَيِّ ۚ فَمَن يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِن بِاللَّهِ فَقَدِ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَىٰ لَا انفِصَامَ لَهَا ۗ وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ )

البقرة (256) Al-Baqara

Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
 
Kwasababu akili yko ishachagua upande unaotaka sikulazimishi


( لَا إِكْرَاهَ فِي الدِّينِ ۖ قَد تَّبَيَّنَ الرُّشْدُ مِنَ الْغَيِّ ۚ فَمَن يَكْفُرْ بِالطَّاغُوتِ وَيُؤْمِن بِاللَّهِ فَقَدِ اسْتَمْسَكَ بِالْعُرْوَةِ الْوُثْقَىٰ لَا انفِصَامَ لَهَا ۗ وَاللَّهُ سَمِيعٌ عَلِيمٌ )

البقرة (256) Al-Baqara

Hapana kulazimisha katika Dini. Kwani Uwongofu umekwisha pambanuka na upotofu. Basi anaye mkataa Shet'ani na akamuamini Mwenyezi Mungu bila ya shaka amekamata kishikio madhubuti, kisicho vunjika. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
Uwezi nilazimisha kwa kweli
 
Halafu nani alokwambia kua hao wanofanya ivo ni viongozi wa Waislamu? Wamechaguliwa na nani?

Ila tunaona yule mlomchagua nyie anavopambania upinde
Ongea ukiwa na facts sio ilimradi uongee
Sijui sheikh sijui ustadhat.
Shida yenu nyinyi ni moja tu ujuaji basi.
Mkiambiwa ooh hao wanajifanya hivo si waislamu unatakiwa useme hivi hao ni waislamu haswa wanaijua Quran zaid ya nyie waislam wengine ambao hata sheria za kiislamu hamzitambui.


" Na waliposema wanafki na wale wenye maradhi katika nyoyo zao.
Mwenyezi Mungu na Mtume wake hawakutuahidi Ila udanganyifu tu"
 
Habari wanajamvini.
Nijielekeze kwenye Mada Moja kwa moja .Ukiwa mbumbumbu katika Security Intelligence unaweza ropoka na kuanza kuchukia ndugu zako.

Hakika ninakuambia Dini ya Kiislam ukiisoma hata kidogo tu utagundua ni Dini Safi Sana imejaa hekima ya kutosha .
Katika Vita za Uchumi Duniani Mataifa yenye nguvu Duniani huwa yanatafuta namna mbalimbali ya kufikia malengo yao Kuna muda wanatumia hii Mbinu ya kigaidi pia.
Ipo hivi kuwagombanisha Watz kwa Ukabila huwezi sababu makabila kwasasa yapo kuonesha asili yako tu Ila kupitia Imani unaweza kuwapata ingawa kwa Tz siyo Sana. Haya Mataifa yanayoshambuliwa na Ugaidi siyo sababu ya Dini ya Islam Bali Sababu ya Taifa fulani lenye nguvu linataka Mali fulani iliyopo kwao hivyo Mtapandiwa maadui wenye asili yenu Ila wanadanganywa Kupitia Mlango wa Dini kwa kupewa vifungu vya Imani husika na wanawezeshwa kiuchumi na kuwapa Mafunzo ili wasababishe vurugu au hofu kwa Nchi.hao IS ,Boko Haram Alshabab wote ni zao la Mafunzo mabaya katika Imani na waliotoa hayo Mafunzo walifanya hivyo wakiwa na lengo lingine Kabisa ambalo halihusiani Kabisa na Imani .Mfano Tz kule Mtwara Hadi Mozambique kote huko kumejaa gesi tulipandiwa magaidi ili tushindwe kufanikisha yetu tuwe bize na Battle, Kule Nigeria na Nchi zingine za Western Africa wenyewe wameingizwa kwenye Ugaidi sababu ya Mafuta na dhahabu,Kule Congo Dr Wamepandiwa Waasi sababu ya Madini tu.
Hivyo wazawa Wachache wako tayari kupigana na serikali yao wakishiriana na Maadui wa Nje wenye Pesa na Mafunzo na wanavhofanyiwa ni Propaganda za hovyo ili kuichukia serikali yao tu.
Mfano halisi Ethiopia pale Ugomvi ulitengenezwa kwasababu ya Mto Nile kutumika Bwawa la Umeme Taifa jirani la Misri na Mengine yenye kufaidika na Misri kutoka Ulaya wakachochoea Vita.
Tukumbuke Joseph Cony akiitumia Bibilia na ukristo kutengeneza Waasi Lord Resistance Army na alipata wafusi wa kupigana zidi ya serikali ya Kampala .
Wewe Mwanajamii forums weka akilini kuwa Ugaidi unatengenezwa na Mataifa yenye nguvu Duniani kuchafua Amani yenu ili Wafaidike kumbuka Basi hataliue Watu 200 Tz siyo Habari ya kuvutia CNN Ila akijeruhiwa hata Mtu Mmoja kwenye tukio ni Habari inayokuja kwenye Breaking news. Kwa ufupi Ugaidi na Media kubwa wanamakubalidno maalumu ili kurusha matangazo yao maana anayesponsor Ugaidi ameshagharamia Hadi media. Tukio likitokea wao ni SHANGWE. Kumbuka weka akilini Uislam hajawahi support Ugaidi Wala hautasapoti Ugaidi Ila wapuuzi Wachache wanawachukua Wananchi Wachache Wajinga wanawajaza propaganda za kiimani tu Kisha kuwapa silaha na Mafunzo na kwenda kuua ndugu zao wenyewe wakiamini wanakwenda ahela.
Jiulize Iran kumejaa Uislam tupu mbona Kuna Ugaidi kule Saudia Kuna Uislam tupu Ugaidi unafuata Nini.Jibu ni kuwa Propaganda za Mataifa yenye nguvu kupitia majasusi zinasambazwa na kuwajaza Wananchi sumu tupu .
Hata mashetani wao kwa wao wanapendana sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Acha nikae kimya tuu maana unaweza jikuta umeingiq dhambini bure [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Naomba nijibiwe maswali haya.

Zile chokochoko za kumwagia tindikali mapardi na kuwauwa huko zenji zililetwa na waumini wa dini gani?

Yale maandamano ya kupinga ujenzi wa kanisa huko pemba yalifanywa na waumini wa dini gani.?

Yale mauwaji na utekaji uliofanyika tandahimba kijiji cha kitaya ulifanywa na kundi la imani gani?

Wale walio andamana magomeni na kuvunja mabucha ya kitimoto walikua wa imani gani?

Zile fujo zilizotokea mikoa mbalimbali tz za kugombe nafasi ya kuchinja machinjioni zililetwa na watu wa imani gani?

NB.jibu bila kupanic au kutoka nje ya maswali.

#MaendeleoHayanaChama
 
Waarabu naweza sema wana akili za panzi, hivi wanakubali vipi kuchonganishwa na hao CIA mpaka wanaenda kujilipua misikitini na kuua watu wasio na hatia?
Sio waarabu tu kwani hao alshabab na Boko Haram ni waarabu? CIA anachonganisha mpaka mataifa Kwa mataifa mengine hakuna aliyesalimika isipokuwa wadau wake.
 
Sio waarabu tu kwani hao alshabab na Boko Haram ni waarabu? CIA anachonganisha mpaka mataifa Kwa mataifa mengine hakuna aliyesalimika isipokuwa wadau wake.
Hata maandamano ya kule pemba kupinga ujenzi wa kanisa ni kazi ya CIA??

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom