Uislamu haujakataza asiye muislamu kula mchana wa ramadhani, siungi mkono wasio waislamu kuzuiwa kula mchana

Njoo znz ule hadharani mchana wa Ramadhan. Km wewe kweli mkereketwa
 
kati ya vitu ambavyo huwa vinanifanya nitamani tuachane na zanzibar, ni kuwachapa viboko wakristo ambao hawajafunga kula mchana, ni ukatili na ugaidi kabisa. hapo ndio huwa naiondoa kabisa zenji moyoni mwangu.
Sio kula mchana. Kula hadharani. Na Sio mwakristo tu hata waislam wanaokula hadharani wanachapwa vile vile. Mbona watu washazoea. Hapo tunakumbushana tu
 
Huwezi kuonnekana mshindi kama hakuna kitu unachotakiwa kukishinda.
Why mnafukuza na kuwafunga wananchi wanaokula wakati wao hawafungi?.

Wakati huo huo msaafu wenu unakutaka usionekane mbele za watu kama mtu aliyefunga!.
 
Why mnafukuza na kuwafunga wananchi wanaokula wakati wao hawafungi?.

Wakati huo huo msaafu wenu unakutaka usionekane mbele za watu kama mtu aliyefunga!.
Hayo sio maswali ya kuniuliza mimi.

Inatakiwa uwaulize hao wanaofukuzA watu
 
😍
 
Mimi ni mkristo lkn nawaheshimu waislamu kama ww ambao mnajielewa na ni watu wazuri sana Mungu azidi kukupa heri zake
 
Ona huyo [emoji1489]

Real IQ inahitajika.
Sasa shida ipo wapi Mr. real IQ, si ufafanue swali ulilouliza, ili nikufahamu uzuri.

Au real IQ yako imeishia kuuliza tu swali ambalo huwezi hata kulifafanua?

Labda IQ yangu ndogo, ndio maana nikakuuliza point yako ni ipi?
 
Msaada wandugu; hivi dhambi unapambana nayo uishinde au unaipiga marufuku isiwepo?.

Na utaonekana vipi mshindi endapo hakuna kitu unachotakiwa kukishinda?.
Dhambi lazima iwepo na uishinde ili kuongeza kiwango chako cha imani, na wanaoishinda dhambi kwetu wakristu hao ndio wataurithi ufalme wake.

Huwezi kwenda peponi kwa free pass.

Hiyo part two ya swali lako imekosa maana baada ya jibu la part one.
 
Msaada wandugu; hivi dhambi unapambana nayo uishinde au unaipiga marufuku isiwepo?.

Na utaonekana vipi mshindi endapo hakuna kitu unachotakiwa kukishinda?.
Kufanya mema na kuacha uovu ni mzani unaotakiwa kubalance.

Katika uislamu kunakuamrisha mema na kukataza maovu pia.

Hivyo mtu anatakiwa afanye mema na aache maovu, na wakati huohuo kukataza maovu ni wema na kuacha uovu utendeke ni uovu.

Zinaa ni dhambi, hivyo mtu hatakiwi kuzini na pia anatakiwa kukataza zinaa.

Sasa ukisema uovu uwepo ili watu waushinde, ni sawa na kusema watu wafanye maovu.

Hivyo nitakuuliza huyo anayetakiwa kufanya maovu ili yawepo ni nani?

Au ulikusudia nini uliposema kuwepo kwa dhambi?
 
wewe ndiyo muislamu original siyo wale wengine wamekalilishwa bila kujisomea,masuala yakwenda peponi kila mtu ataubeba msalaba wake mwenyewe
 
Hakuna sehemu nimesema 'dhambi' alafu unapaswa kutambua kuna watu ni waislam lakini wanakula kutokana na sababu mbalimbali, so nao ni dhambi?.

Haya christian akiwa anakula je?
 
Soma Al hajuraati 13
 
Hakuna sehemu nimesema 'dhambi' alafu unapaswa kutambua kuna watu ni waislam lakini wanakula kutokana na sababu mbalimbali, so nao ni dhambi?.

Haya christian akiwa anakula je?
Mr. Real IQ unaniangusha, mbona unaanza kuuliza maswali ambayo majibu yake yapo wazi.
Inamaana hata hii mada hujaielewa!?

Ndio maana nilikutaka ulifafanue swali lako ili twende sawa, ukaniona......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…