Sijui wewe ni dini gani, lakini kama dini yako inamaandiko(kitabu), hivi ukisema watu watumie akilizao kujibu masuala ya dini pasi na kurefer mafundisho ya dini, sasa kuna haja gani ya kuwepo hayo maandiko?
Na kama dini yenu inafanya hivyo, hapo mjinga( wa dini) ni yupi na mwenye elimu(ya dini) ni yupi? Maana kila mtu akili anayo, hivyo anaweza kuropoka lolote tu kwa upeo wake.
Na kuhusu kufuata mafundisho ya zamani, sijui labda uwe ni mfuasi wa Zumaridi, maana huyu ndio dini yake imeanza juzi, lakini dini nyingi mafundisho yake ni yazamani.
Hivyo hata wewe unaishi Karne ya 7 maana unafuata mafundisho ya zamani, kama hoja yako ndio hiyo.