Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Unachoongea ni uongo kwa asilimia kubwa
Mfano;- saudi arabia ni kosa la kifo kwa raia wake kubadilisha dini kama uislamu unajiamin kwa nini unatishia wanaotaka kubadilisha dini

We subiria ukifa ukapewe mizigo 72 mabikira
Swali la kujiuliza wanawake watapewa nini huko ahera na allah
Mwanamke
 
Huujui uislamu na ndio maana unaropoka mambo yasiyo yajua. Tafuta elimu na uongeze juhudi kuujuwa uislamu.

Kwanza uislamu sio dini bali ni mfumo wa maisha. Uislamu una kanuni na taratibu zake. Unaposema uislamu ni dini, unakuwa unabana maana ya neno uislamu.

Kwanza uislamu ni nini? Na dini ni nini?

Uislamu ni unyenyekevu au kunyenyekea hapa nazungumzia kumnyenyekea Mwenyezi Mungu kwa kumuomba maghfira (msamaha), kumnyenyekea katika kumuabudu. Nk

Turudi kwenye Dini. Dini ni imani. Kile mtu anachokiamini na kukifanya katika harakati za maisha yake huwa ni dini. Dini ni imani ya mtu hivo katika dini mtu huwa na haki ya kujiamulia amini wapi na wapi asiamini. Pia kila mtu kuwa na dini yake mwenyewe na akaamua kuiendeleza. Mfano walokole, hunduism, budhism , satanism etc

Lakini unapokuja katika uislamu. Uislamu huwa na sharia zake , kanuni, utaratibu na mfumo wa maisha. Uislamu unamipaka yake hivo ni lazima kwa muumini kuujua mipaka yake.

Hivo. Uislamu ni mfumo maalumu
Uislamu ni sheria
Uislamu ni kanuni za maisha
Uislamu ni utaratibu maalum
Na uislamu ni mfumo wa maisha
 
Ulivyokuwa mjinga huoni kama wapalestina wanauliwa miaka kwa miaka kule haswa watoto ,wewe husemi kichaa nn?
Hamas wanaweka silaha za kivita kwenye makazi ya watu, misikitini
Israel wakishambulia lazima wawaue na raia wasio na hatia hizo ndo mbinu za hamas

Unaenda mchokoza mwenzako alafu kambi zako umeziweka kwenye makazi ya watu na nyingine msikitini
 
Huujui uislamu na ndio maana unaropoka mambo yasiyo yajua. Tafuta elimu na uongeze juhudi kuujuwa uislamu.

Kwanza uislamu sio dini bali ni mfumo wa maisha. Uislamu una kanuni na taratibu zake. Unaposema uislamu ni dini, unakuwa unabana maana ya neno uislamu.

Kwanza uislamu ni nini? Na dini ni nini?

Uislamu ni unyenyekevu au kunyenyekea hapa nazungumzia kumnyenyekea Mwenyezi Mungu kwa kumuomba maghfira (msamaha), kumnyenyekea katika kumuabudu. Nk

Turudi kwenye Dini. Dini ni imani. Kile mtu anachokiamini na kukifanya katika harakati za maisha yake huwa ni dini. Dini ni imani ya mtu hivo katika dini mtu huwa na haki ya kujiamulia amini wapi na wapi asiamini. Pia kila mtu kuwa na dini yake mwenyewe na akaamua kuiendeleza. Mfano walokole, hunduism, budhism , satanism etc

Lakini unapokuja katika uislamu. Uislamu huwa na sharia zake , kanuni, utaratibu na mfumo wa maisha. Uislamu unamipaka yake hivo ni lazima kwa muumini kuujua mipaka yake.

Hivo. Uislamu ni mfumo maalumu
Uislamu ni sheria
Uislamu ni kanuni za maisha
Uislamu ni utaratibu maalum
Na uislamu ni mfumo wa maisha
Uislam ni dini. Huo ndio msingi mkuu.
 
Huujui uislamu na ndio maana unaropoka mambo yasiyo yajua. Tafuta elimu na uongeze juhudi kuujuwa uislamu.

Kwanza uislamu sio dini bali ni mfumo wa maisha. Uislamu una kanuni na taratibu zake. Unaposema uislamu ni dini, unakuwa unabana maana ya neno uislamu.

Kwanza uislamu ni nini? Na dini ni nini?

Uislamu ni unyenyekevu au kunyenyekea hapa nazungumzia kumnyenyekea Mwenyezi Mungu kwa kumuomba maghfira (msamaha), kumnyenyekea katika kumuabudu. Nk

Turudi kwenye Dini. Dini ni imani. Kile mtu anachokiamini na kukifanya katika harakati za maisha yake huwa ni dini. Dini ni imani ya mtu hivo katika dini mtu huwa na haki ya kujiamulia amini wapi na wapi asiamini. Pia kila mtu kuwa na dini yake mwenyewe na akaamua kuiendeleza. Mfano walokole, hunduism, budhism , satanism etc

Lakini unapokuja katika uislamu. Uislamu huwa na sharia zake , kanuni, utaratibu na mfumo wa maisha. Uislamu unamipaka yake hivo ni lazima kwa muumini kuujua mipaka yake.

Hivo. Uislamu ni mfumo maalumu
Uislamu ni sheria
Uislamu ni kanuni za maisha
Uislamu ni utaratibu maalum
Na uislamu ni mfumo wa maisha
Iran wanamsubiria ronaldo wamchape viboko 70 kwa kumkumbatia tu mwanamke

Taliban wamepiga marufuku wanawake kwenda shule au kufanya kazi yeyote wakae tu nyumbani
 
Mfumo wa kiislam ndio mfumo Bora wa haki kuongozea watu, unaondoa matabaka kwenye jamii, unaboresha ustawi na maendeleo ya watu. Palipo na mfumo wa kiislam hakuna umasikini.

Tofaut ya maendeleo baada ya uhuru kwa nchi za Kaskazini na za kusini mwa jangwani la Africa ni mfumo wa dini ya Islam.

Baada ya Uhuru nchi za kiafrika zenye maendeleo na Maisha Bora kwa watu wake ni Tunisia Libya Misri Algeria Morocco na zote ni kwa sababu ya dini.

Kwenye uislam ni haki bin haki hakuna ufisadi, rushwa, upigaji, kuchezea Kodi za wananchi, wizi, umalaya, adhabu yako ni panga ili iwe fundisho kwa wengine
Hii sio kweli, kusini mwa jangwa la sahara, ni sisi wa africa... Sisi wa africa tunaujinga wingi sana na sio sabbu ya dini, ni kwa sababu ya akili zetu ni viongozi wetu..

Mfano cheki afica magahribi, wao uislam umeshamiri sana, kuliko u kristu, ila still bado maskin wa kutupwa kuliko maeneo mengine ya africa..

Nenda aouth africa nchi ambayo, wazungu ni kama wanatawala na utawala wao sio wa kiislam,ila ndio ndio imeendelea sana....

Africa ya kaskazini, ni kili kusema wale ni waarabu wenye akili na waislam wanaojitqmbua, ndio maana hata utawala wao sio wa kisheria za kiislam, japo uislam ndio mkubwa sanaa
 
Uislam ni dini. Huo ndio msingi mkuu.
Unaposema uislamu ni dini unabana sasa maana ya neno uislam.

Mbali na kumuambudu Mwenyezi Mungu ambayo ndio msingi wa neno dini, uislamu unasheria, utaratibu na mfumo maalumu wa maisha.

Mfumo wa maisha katika uislamu ni upi?
Hivi unajua maisha ya ndoa katika uislamu yakoje?
Utaratibu wa kutoa taraka katika uislamu ni upi?
Utaratibu wa ndoa katika uislamu ni upi?
Kugawana mirathi katika kiislamu unakuwaje??
Mazishi kiislamu ni yapi??
Maelezo kuhusu riba katika uislamu ni yapi?
Misingi ya biashara katika uislamu ni ipi??
Mfumo wa elimu katika uislamu ni upi??

Hayo maswali yote utayapata katika mafundisho Fiqh (darasa la uislamu)

Hivo apo utaona uislamu unamaana kubwa mbali na dini
 
Makundi ya kongo ndio hayo hayo Islamic States tu
Kumbe we mpuuzi, kongo kuna Islamic state toka lini, acha ujinga wewe hapa kunawatu walioelimika na wanaofuatilia mambo unadhani kuna wajinga wenzio hapa. Tuondeshee udini wako hapa.
 
Inakua kwa kasi sababu ya waislam kuoa wake zaid ya mmoja na kuzaa sana, tizama mtaani kwako je hizo data za uislam kukua zina match? Majibu unayo, dini zote zinapungua ushawishi kwa sababu ya vijana wa sasa kuhoji undani wa hizo stories tulizoaminishwa
True...!
Na pia vijana wengi wa kiislamu hawana elimudunia kama wakristo.
Naona kwa sasa wanajitahidi sana kuitafuta elimu....na hiyo itakuwa ndio mwanzo wa kupotea kwa hiyo dini
 
Unaposema uislamu ni dini unabana sasa maana ya neno uislam.

Mbali na kumuambudu Mwenyezi Mungu ambayo ndio msingi wa neno dini, uislamu unasheria, utaratibu na mfumo maalumu wa maisha.

Mfumo wa maisha katika uislamu ni upi?
Hivi unajua maisha ya ndoa katika uislamu yakoje?
Utaratibu wa kutoa taraka katika uislamu ni upi?
Utaratibu wa ndoa katika uislamu ni upi?
Kugawana mirathi katika kiislamu unakuwaje??
Mazishi kiislamu ni yapi??
Maelezo kuhusu riba katika uislamu ni yapi?
Misingi ya biashara katika uislamu ni ipi??
Mfumo wa elimu katika uislamu ni upi??

Hayo maswali yote utayapata katika mafundisho Fiqh (darasa la uislamu)

Hivo apo utaona uislamu unamaana kubwa mbali na dini
Kwa kukataza wanawake kwenda shule kule afganstan au kumchapa ronaldo viboko 70 kwa kumhug tu mwanamke
 
Hata Christian wangeacha movement za ushoga ingekuwa dini safi sana
 
Uislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.

Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.

Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.

Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.

Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.

Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.

Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.

Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.

Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.

Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.

Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
Hujui chochote kuhusu Uislamu ni bora ukakaa kimya tu
 
Kitu kibaya ni kwamba hujui kuhusu uislamu na huo ndio mtazamo wako ,sikulaumu na ulichoongea hakina ukweli kwa asilimia zote .

Mbaya wengi wanaosma uislamu ndio wanasilimu ,uliloongea hapo halina ukweli kabisa zote ni nadharia za kimagharibi.

Uislamu umempa mwanamke cheo hata tunaamini pepo ipo chini ya nyayo ya mama(mwanamke) na sio baba ,kuna sehemu inafundisha katikq daraja nne basi tatu anabeba mwanamke katika wazazi(mama na baba) kwamba mama ana daraja 3 na baba ana moja.

Ukienda kweny kusoma hata utume alimpendelea binti ,sasa njoo kweny mirathi ndio utajua yaani mwanamke anapewa mirathi yake ila bado kaka yake anahusika kumlea kwa nguvu zake mpaka atakapoelewa huku akiwa hatumii hata thumni ya mirathi yake (Mwanamke).....Mwanamke huyo ndie ambaye hata mahari anataja yeye na sio mzazi na maamuzi ya kuolewa ni yeye....Mwanamke katika uislamu ukiangalia majukumu ya ndoa hata akizaa akinyonyesha mtoto wako wewe mwanaume unatakiwa kumlipa na hakuna sehemu imeonyesha kwamba mwanamke ni mama wa kufanya kazi za nyumbani....Ni mengi nikikutajia hapa hata nikuambia mwanamke anapewa stare ili kumpa thamni nyie mnasema haki za binadamu ila akitembea uchi ndio uhuru🙄.


Hakuna ugaidi na kama hukumu zipo kisheria mbona hata bible imetoa hukumu nyingi ,bible ilisema mwanamke hawezi kuwa kiongozi wala hatakiwi kuuliza swali kanisani ila anaenda kumuuliza mmewe nyumbani 😅😅haya hamyaon?...Sababu uislamu upo practical tukichambua hapa utajua sheria nyingi zinafana ila ukristo umathirika na wazungu ndio maana kwa sababu hata vipedo kanisani havikuhusu na utashangaa sanamu la maria na masister wamevaa hijabu ila waumini hawavai..😅


Hakuna hukumu uislamu kama dhambi tunasema haijalishi nan kafanya ..
Jibu mujaraaabu 📌📌📌
 
Planatory na space science gani? hamna ulichogundua zaidi ya kukariri wala wwe sio msomi ni wale waizi wa mitihani .

Unaijua space science hata kwenda angani ulishaenda zaidi ya kudanganywa na hauna kitu ,kaa hapa makumbusho upige winga na ushamba wako.

Hujawahi kusoma wala kuelewa Qur an kaa pembeni 😅...
Quran sio kitabu cha mimi kusoma, ni kitabu kilichoandikwa na watu wenye akili ndogo na kinaaminiwa na watu wa muelekeo huo huo, akili ndogo.

Nileteeni huyo Allah wenu nimfundishe lugha nyingine tofauti na kiarabu maana hasikii na haelewi lugha tofauti na kiarabu.
 
Unachoongea ni uongo kwa asilimia kubwa
Mfano;- saudi arabia ni kosa la kifo kwa raia wake kubadilisha dini kama uislamu unajiamin kwa nini unatishia wanaotaka kubadilisha dini

Mfano mwingine;- Taliban imepiga marufuku wanawake kusoma na kufanya kazi na wanasema wanafuata quran
We subiria ukifa ukapewe mizigo 72 mabikira
Swali la kujiuliza wanawake watapewa nini huko ahera na allah
Sio kweli 😅😅saudi arabia kuna wakristo kibao na raia wa kigeni tena hata pombe watu wanakunywa labda ungeseka Qatar.


Taliban haijapiga ban ila ilitenganisha wanawake na wanaume sehemu za kusoma .
 
Quran sio kitabu cha mimi kusoma, ni kitabu kilichoandikwa na watu wenye akili ndogo na kinaaminiwa na watu wa muelekeo huo huo, akili ndogo.

Nileteeni huyo Allah wenu nimfundishe lugha nyingine tofauti na kiarabu maana hasikii na haelewi lugha tofauti na kiarabu.
Wewe elimu huna 😅😅 umekariri hiyo unayosema hauna kitu unachojua ,tafuta wapumbavu wenzio ndio uwaambia huo ujinga eti space science wakati hujui chochote unakariri.

Kuna mwana anga hapa Tanzania toa utapeli wako hapa!!😅😅
 
Mimi ni mkristo ila nauteyea uislam. Uislam kama dini haifundishi ukatili hata siku moja, ila katika imani zote huwa kuna watu unaowaita wakatili, wapo tayari kuua, kutesa kwa sababu ya dini zao, ukristo ukiufuatilia kuna kanisa moja kubwa kuliko yote walikuwa wanachemsha watu kwenye mapipa ya mafuta, walirusha watu kwenye simba wenye njaa, walirusha watu kwenye matanuru,
Uislam ni dini ya haki. Ukiangalia ni watu wangapi hueaendea wakristo kuwaomba msaada na ni watu wangapi huwaendea waislam kuwaomba msaada utakugua jambo.
Sisi wakristo hatuna tunachojivunia

Kaa hapo ukijua ipo siku utakumbana na wanaofuata haya maagizo kwenye kitabu chao na ndio utajua hujui
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Back
Top Bottom