Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Mwanamke
 
Huujui uislamu na ndio maana unaropoka mambo yasiyo yajua. Tafuta elimu na uongeze juhudi kuujuwa uislamu.

Kwanza uislamu sio dini bali ni mfumo wa maisha. Uislamu una kanuni na taratibu zake. Unaposema uislamu ni dini, unakuwa unabana maana ya neno uislamu.

Kwanza uislamu ni nini? Na dini ni nini?

Uislamu ni unyenyekevu au kunyenyekea hapa nazungumzia kumnyenyekea Mwenyezi Mungu kwa kumuomba maghfira (msamaha), kumnyenyekea katika kumuabudu. Nk

Turudi kwenye Dini. Dini ni imani. Kile mtu anachokiamini na kukifanya katika harakati za maisha yake huwa ni dini. Dini ni imani ya mtu hivo katika dini mtu huwa na haki ya kujiamulia amini wapi na wapi asiamini. Pia kila mtu kuwa na dini yake mwenyewe na akaamua kuiendeleza. Mfano walokole, hunduism, budhism , satanism etc

Lakini unapokuja katika uislamu. Uislamu huwa na sharia zake , kanuni, utaratibu na mfumo wa maisha. Uislamu unamipaka yake hivo ni lazima kwa muumini kuujua mipaka yake.

Hivo. Uislamu ni mfumo maalumu
Uislamu ni sheria
Uislamu ni kanuni za maisha
Uislamu ni utaratibu maalum
Na uislamu ni mfumo wa maisha
 
Ulivyokuwa mjinga huoni kama wapalestina wanauliwa miaka kwa miaka kule haswa watoto ,wewe husemi kichaa nn?
Hamas wanaweka silaha za kivita kwenye makazi ya watu, misikitini
Israel wakishambulia lazima wawaue na raia wasio na hatia hizo ndo mbinu za hamas

Unaenda mchokoza mwenzako alafu kambi zako umeziweka kwenye makazi ya watu na nyingine msikitini
 
Uislam ni dini. Huo ndio msingi mkuu.
 
Iran wanamsubiria ronaldo wamchape viboko 70 kwa kumkumbatia tu mwanamke

Taliban wamepiga marufuku wanawake kwenda shule au kufanya kazi yeyote wakae tu nyumbani
 
Hii sio kweli, kusini mwa jangwa la sahara, ni sisi wa africa... Sisi wa africa tunaujinga wingi sana na sio sabbu ya dini, ni kwa sababu ya akili zetu ni viongozi wetu..

Mfano cheki afica magahribi, wao uislam umeshamiri sana, kuliko u kristu, ila still bado maskin wa kutupwa kuliko maeneo mengine ya africa..

Nenda aouth africa nchi ambayo, wazungu ni kama wanatawala na utawala wao sio wa kiislam,ila ndio ndio imeendelea sana....

Africa ya kaskazini, ni kili kusema wale ni waarabu wenye akili na waislam wanaojitqmbua, ndio maana hata utawala wao sio wa kisheria za kiislam, japo uislam ndio mkubwa sanaa
 
Uislam ni dini. Huo ndio msingi mkuu.
Unaposema uislamu ni dini unabana sasa maana ya neno uislam.

Mbali na kumuambudu Mwenyezi Mungu ambayo ndio msingi wa neno dini, uislamu unasheria, utaratibu na mfumo maalumu wa maisha.

Mfumo wa maisha katika uislamu ni upi?
Hivi unajua maisha ya ndoa katika uislamu yakoje?
Utaratibu wa kutoa taraka katika uislamu ni upi?
Utaratibu wa ndoa katika uislamu ni upi?
Kugawana mirathi katika kiislamu unakuwaje??
Mazishi kiislamu ni yapi??
Maelezo kuhusu riba katika uislamu ni yapi?
Misingi ya biashara katika uislamu ni ipi??
Mfumo wa elimu katika uislamu ni upi??

Hayo maswali yote utayapata katika mafundisho Fiqh (darasa la uislamu)

Hivo apo utaona uislamu unamaana kubwa mbali na dini
 
Makundi ya kongo ndio hayo hayo Islamic States tu
Kumbe we mpuuzi, kongo kuna Islamic state toka lini, acha ujinga wewe hapa kunawatu walioelimika na wanaofuatilia mambo unadhani kuna wajinga wenzio hapa. Tuondeshee udini wako hapa.
 
True...!
Na pia vijana wengi wa kiislamu hawana elimudunia kama wakristo.
Naona kwa sasa wanajitahidi sana kuitafuta elimu....na hiyo itakuwa ndio mwanzo wa kupotea kwa hiyo dini
 
Kwa kukataza wanawake kwenda shule kule afganstan au kumchapa ronaldo viboko 70 kwa kumhug tu mwanamke
 
Hata Christian wangeacha movement za ushoga ingekuwa dini safi sana
 
Hujui chochote kuhusu Uislamu ni bora ukakaa kimya tu
 
Jibu mujaraaabu πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“Œ
 
Quran sio kitabu cha mimi kusoma, ni kitabu kilichoandikwa na watu wenye akili ndogo na kinaaminiwa na watu wa muelekeo huo huo, akili ndogo.

Nileteeni huyo Allah wenu nimfundishe lugha nyingine tofauti na kiarabu maana hasikii na haelewi lugha tofauti na kiarabu.
 
Sio kweli πŸ˜…πŸ˜…saudi arabia kuna wakristo kibao na raia wa kigeni tena hata pombe watu wanakunywa labda ungeseka Qatar.


Taliban haijapiga ban ila ilitenganisha wanawake na wanaume sehemu za kusoma .
 
Wewe elimu huna πŸ˜…πŸ˜… umekariri hiyo unayosema hauna kitu unachojua ,tafuta wapumbavu wenzio ndio uwaambia huo ujinga eti space science wakati hujui chochote unakariri.

Kuna mwana anga hapa Tanzania toa utapeli wako hapa!!πŸ˜…πŸ˜…
 

Kaa hapo ukijua ipo siku utakumbana na wanaofuata haya maagizo kwenye kitabu chao na ndio utajua hujui
β€œSlay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
β€œTerrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
β€œMake war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
β€œDo not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…