Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Hamas wanaweka silaha za kivita kwenye makazi ya watu, misikitini
Israel wakishambulia lazima wawaue na raia wasio na hatia hizo ndo mbinu za hamas

Unaenda mchokoza mwenzako alafu kambi zako umeziweka kwenye makazi ya watu na nyingine msikitini
Sasa mbona hatupigi kelele nyie kitu kdogo eti magaidi.

Tunaishi hapa bongo waislamu mnawajua wote kwa nn msiende kutushtaki sisi ni magaidi?

Mauaji ya kimbali husemi? Yule nchungaji wa kenya juzi kaua watu mamia ila hakuitwa gaidi ila waislamu wamekaa kimya.!!

Tuje hapa Tz kaangalie mikoa yenye mauaji mengi na watu weny roho mbaya then uje hapa na takwimu.
 
Wewe elimu huna 😅😅 umekariri hiyo unayosema hauna kitu unachojua ,tafuta wapumbavu wenzio ndio uwaambia huo ujinga eti space science wakati hujui chochote unakariri.

Kuna mwana anga hapa Tanzania toa utapeli wako hapa!!😅😅
Acha basi kujichekesha chekesha, ama unataka nikushikishe ukuta?

Kama nakariri vitu navyiona, wewe una akili kweli kuamini eti kuna mbingu mumeo ataenda kupewa wanawake 72 na mito ya pombe halafu wewe usipewe chochote? Una akili kweli kichwani?
 
Muda mwingi Huwa nasema kama huna Elimu na Kitu ni bora kunyamaza kwani Unatengeneza Tabia kichwani kujiona Kama unakijua kumbe hta robo hujui..

Ndugu Mhaya Pengine nikuambie kwamba huitaji elimu kubwa sana kuhusu Uislamu ili kujua ulichoandika Sio sahihi hata kidogo..
Unanasibisha Makundi ya kigaidi na uislamu kitu ambacho sio sahihi japo yanaongozwa na baadhi ya waislamu wasio kuwa na Nia nzuri na uislamu ila haibadilishi dhamira nzima ya Uislamu kwa jamii..

Uislamu hairuhusu kamwe kumwaga damu ya Mtu yoyote na Mtu atakayemwaga hata damu ya mtu mmoja huhesabiwa ni kama amefanya mauaji ya Dunia nzima..
na yoyote atakayefanya Kazi ya kumuokoa mtu mmoja ni kama ameokoa Dunia nzima.. Kwa kuanzia yaani kwa wewe kama basic kasome Suratul Maida aya 32


KUHUSU WANAWAKE..
Huwa nasema hivi Dini zote zenye imani ya ibrahim zote zima sheria zinazofanana kuhusu Wanawake..
Japo kwa sheria za Kikristo zimezidi ukandamizi kuliko Dini zote (Jaribu kusoma biblia),Utagundia kwamba wanawake hawakuhesabiwa kitu na walionekana kama kituko mtu kuzaa wanawake na alionekana kidume mtu kuzaa wanaume..
Kabila la 13 La yakobo Huwezi kulisikia popote wala mtoto wa 13 huwez kumsikia popote akitajwa kwa sababu tu Dina alikuwa ni mwanamke ..
Na sehemu nyingi sana mwanamke amekandamizwa na kuonekana asiye na thamani....

Hilo swala liko tofauti katika upande wa uislamu kwani nyumba ya mtume Inayoitwa Tukufu (ahulul bayt) Imetokana na Mtoto wa mtume Fatma ambaye ni mtoto wa kike katika uislami mwanamke kapewa favor kubwa sana..

kuhusu ugaidi kuna makundi mengi sana ya kikristo ya ugaid as same as muslim
 
Ronaldo kamkumbatia mchoraji kwa kumchora huko Iran kagewa adhabu ya viboko 99.

Ubalozi wa Iran umesema adhabu haipo ila watu wamekomaa naye kiasi kwamba yawezekana asirudi tena Iran
Mbona humzungumzii Rais wa Socaa kma sikosei Hispania aliyemkumbatia na kumbusu mchezaji wa kike baada ya kushinda hukumu yake?
 
We subiria ukienda ahera utapewa mabikira 72 mizigo uishughulikie
Hivi ahera wanawake wanapata nini
 
We subiria ukienda ahera utapewa mabikira 72 mizigo uishughulikie
Hivi ahera wanawake wanapata nini
Mkuu usisahau pombe tutayoigida ile yesu aliotuahidi kuwa atskunywa na sisi kwenye ulimwengu mpya..

NB:I dont think you point finger on the Right person Sipo katika kuamini story zozote za dini yoyote but i will mediate whatever wrong ambayo italetwa!
 
Yesu wapi aliahidi pombe embu niletee mstari kwenye biblia

We-jiandae ukashughulikie mabikira 72 mizigo
 
Hakufutwa na mahakama sababu lile sio kosa la jinai
Alijiuzulu acha uongo na upotoshaji
Kwanini alijiuzuru kama sio kupata shinikizo? na sijasema alifutwa na mahakama! Na kama lilikuwa sio kosa Kwanini alijiuzuru?
Na kama ni kosa kwanini likifanyika ulaya liwe kosa ila likifanyika Iran lisiwe kosa?
 
Kwanini alijiuzuru kama sio kupata shinikizo? na sijasema alifutwa na mahakama! Na kama lilikuwa sio kosa Kwanini alijiuzuru?
Na kama ni kosa kwanini likifanyika ulaya liwe kosa ila likifanyika Iran lisiwe kosa?
Hakutishiwa viboko hio ni case tofauti kabisa na ya christiano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…