DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mkuu chukua Biblia yako Taratibu fungua Mathayo 26:29 au nenda taratibu fungua Marco 14:25Yesu wapi aliahidi pombe embu niletee mstari kwenye biblia
We-jiandae ukashughulikie mabikira 72 mizigo
Africa kusini imeendelea kabla ya Uhuru imejengwa na wazungu.Hii sio kweli, kusini mwa jangwa la sahara, ni sisi wa africa... Sisi wa africa tunaujinga wingi sana na sio sabbu ya dini, ni kwa sababu ya akili zetu ni viongozi wetu..
Mfano cheki afica magahribi, wao uislam umeshamiri sana, kuliko u kristu, ila still bado maskin wa kutupwa kuliko maeneo mengine ya africa..
Nenda aouth africa nchi ambayo, wazungu ni kama wanatawala na utawala wao sio wa kiislam,ila ndio ndio imeendelea sana....
Africa ya kaskazini, ni kili kusema wale ni waarabu wenye akili na waislam wanaojitqmbua, ndio maana hata utawala wao sio wa kisheria za kiislam, japo uislam ndio mkubwa sanaa
Simba mnyama wa mwituni amabye chakula chake ni kuwala wenziwe kwa kuwaua, je angekuwa mwanadamu angekuwa dini gani?Lakini haiondoi ukweli kuwa Uislam una ukatili ndani yake!
Jamaa yangu umesahau chuo cha kwanza Duniani kufundisha mwanamke kilitokea Jamii gani na ni chuo gani? Kma historia hiyo huna kasome...Kama kule taliban walivyowapiga ban wanawake kusoma na kufanya kazi
Viboko ndo hukumu ya nchi ya iran kwa makosa kama hayo kila nchi ina hukumu Zake, Haihitaji hata Degree ya sheria kujua hiko katafute mwanasheria akufafanulie hiloHakutishiwa viboko hio ni case tofauti kabisa na ya christiano
Dini ya uislamu imeanza baada ya muhammad waka 600+Jamaa yangu umesahau chuo cha kwanza Duniani kufundisha mwanamke kilitokea Jamii gani na ni chuo gani? Kma historia hiyo huna kasome...
Umesahau pia Wasomi wengi wa kike walitokea Mashariki ya kati ?
Kwa we unaona ni sawa yaan kumkubatia tu mwanamke unauhukumiwa viboko kwa akili yako unaona ni sawaViboko ndo hukumu ya nchi ya iran kwa makosa kama hayo kila nchi ina hukumu Zake, Haihitaji hata Degree ya sheria kujua hiko katafute mwanasheria akufafanulie hilo
Bahati mbaya pia hata Hujui kuhusu Historia ya Elimu dah kweli kazi ipo Hapa kwako....Dini ya uislamu imeanza baada ya muhammad waka 600+
Huu mfumo wa kusoma walioleta ni kina plato, aristotle, na socrates wote hao ni wagiriki na sio waarabu
Kila sehemu na utaratibu wake kila Mahali na sheria zake Akon Miaka fulani alifungiwa kufanya show na akaloose utajiri wake kwa Asilimia 40% kwa just kumkumbatia msichana tu kwenye show yake,Inasemekana msichana alikuwa na miaka 20 na Kwa marekani haikuruhusiwa kufanya hivyo....Kwa we unaona ni sawa yaan kumkubatia tu mwanamke unauhukumiwa viboko kwa akili yako unaona ni sawa
Kuoa wanawake wengi Katika uislamu ni Ruhusa yenye katazo ndani yake na ni ngumu kutimiza Quran inachotakaWatu wanaopenda kuoa wake wengi utawajua tuu hahaha
Aionel mu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.
Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.
Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.
Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.
Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.
Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.
Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.
Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.
Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.
Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.
Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
Acha ujinga unafananisha kumkumbatia mtu na kumkiss mdomoni...peleka shiti zako huko...haupo seriousIla alifutwa cheo na mahakamani juu..So kila sehemu ,jamii ima sheria zake na utaratibu wake ni vyema kufata sheria na utaratibu mahalia
Vipi kuhusu Akon mkuu..Acha ujinga unafananisha kumkumbatia mtu na kumkiss mdomoni...peleka shiti zako huko...haupo serious
Vipi kwenye bible Mungu alipo mwambia Joshua na jeshi lake waue watu wote ?
Soma kitabu cha Samuel wa kwanza na Samuel wa pili uone idadi ya watu alio waua King David ambae alikuwa kipenzi cha Mungu halafu ndio uje uwaseme waislamu
Wewe sio Mkristo. Hilo neno NAUTETEYA ni neno la ki Madrassa
Kumbe we mpuuzi, kongo kuna Islamic state toka lini, acha ujinga wewe hapa kunawatu walioelimika na wanaofuatilia mambo unadhani kuna wajinga wenzio hapa. Tuondeshee udini wako hapa.
Uislamu hujakataza wanawake kwenda shule. Kutafuta elimu ni lazima kwa kila muislamu
'na nyie wazee wakkufffi#ranaUislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.
Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.
Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.
Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.
Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.
Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.
Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.
Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.
Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.
Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.
Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.