Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Uislamu ungeacha kuambatana na ukatili ingelikuwa dini moja safi sana

Unaandika vitu havifanani.

Mi naongelea adhabu ya Iran. Kwani yule Rais wa Hispania Iran imemuambia nini?
Hiili nilishalimaliza kila sehemu na sheria zake na utaratibu wake huwezi kwenda kenya ukatumia Shilinginya Tanzania
 
Uislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.

Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.

Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.

Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.

Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.

Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.

Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.

Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.

Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.

Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.

Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
LRA

SPLA

ANTIBARAKA

MUNGIKI

MAYIMAYI

TIGREY

Na wale wapuuzi wa kizulu kule bondeni wanaoua wa Africa wenzao ni waislamu?.

Halafu hayo makundi yote uliotaja ni mapandikizi ya Marekani.
 
Hawafiki kwa sababu Huambiwi wala huwatajaribu "kukukalukuletia" Athari walizosababisha kwa sababu itaenda kinyume na mipango hao Ya NWO
Mwenye macho aambiwa tazama
Boko haram wanachofanya kaskazini mwa nigeria kipo wazi na sio kificho same kwa boko haram

Wazungu sio malaika wanamapungufu yao ila hakuna race ya watu wenye roho mbaya na wakatili kama waarabu wenye misimamo mikali ya kidini ya waislamu
 
Upo nyuma sana. Hata Tz Dola ya Marekani inatumika
Sijazungumzia Dola mkuu soma vizuri kabla hujakurupuka kujibu Kuna currencies Ambazo zina power kuliko zingne $€£¥ zinaweza ila nenda na Tsh 10000 yako tumia marekani halafu tumia...
Tatizo wengi ni Malimbukeni hamtembei ila shida kufata story za vijiweni...
 
Mwenye macho aambiwa tazama
Boko haram wanachofanya kaskazini mwa nigeria kipo wazi na sio kificho same kwa boko haram

Wazungu sio malaika wanamapungufu yao ila hakuna race ya watu wenye roho mbaya na wakatili kama waarabu wenye misimamo mikali ya kidini ya waislamu
Kwa hilo nakubaliana na wewe 100% ila na Wazungu wenye misimamo ya kikristo pia ni wakatili na Nimeshuhudia wakilipua watu kadhaa na kuua mwaka 2000 kurudi nyuma walikuwa wanaua sana watu japo miaka hii ya kuanzia 2002 kuja juu wamepunguza
 

Attachments

  • Screenshot_20231003-230402.png
    Screenshot_20231003-230402.png
    59.6 KB · Views: 2
Wake zenu ni konde zenu. Basi ziendeeni konde zenu mpendavyo" (2: 222-223).
konde(shamba) unajua faida inayotkna na kulima?/shambani?je unajua ukulima ni kanuni na syo inshu ya kujifanyia ?uelewa wako sio sahh kweny hii aya..kama unawaza mambo ya kaumu luti futa kbs.
 
Bila shaka mkuu na sio matatu ntakutajia hata kumi...

  • Lord's Resistance Army (LRA) Hiki kundi lipo au linafanya kazi sana Uganda,Sudan na DRC wanajiita wao wametumwa na Mungu kuzuia Utawala wa kiovu kwa kuua
  • Army of God hawa mzee ndo chinja chinja wao kuua na kuchoma nyama mtu kumla hawaoni shida wapo marekani hawa mzee wanasema aanasimamia sheria za yehova..
  • Ku Klux Klan (KKK) lililokuwa nchini marekani siku hizi halina kashi kashi sana
  • Eric Rudolph kama utakuwa na umri mrefu sana utamkumbuka huyu jamaa aliyelipua olympiq park atlanta marekani mwezi wa Saba mwak 1996
  • The Phineas Priesthood hawa wanafnya domestic terrorist sana na wanasema kwamba wao ndo kabila liliopotea la israel
  • Hutaree (Ambao kwa mujibu wa wao Wanasema maana yake ni Mashujaa wa Yesu) ni kundi la wanamgambo wanaofuata itikadi kama Christian Patriot, kundi hilo lilianzishwa mapema mwaka wa 2006.
  • The Concerned Christians,The sword ,The convenants ,Jesuits ....
  • knight templar
Naomba niishie hapo maana ni mengi sana mkuu..
Umajua kwanini hayatajwi tajwi kwa sababu yanaua wale watu ambao Marekani wanataka wauwawe...
Ndo maana imeonekana kama UGAIDI UKO UARABUNI TU LAKINI KIFUPI NI KWAMBA KWA Wazungu kuna Ugaidi mwingi kulilo uarabuni kwa kigezo cha Dini
Ur point is ..?
 
Mbona wewe na Mimi hatuletewi? Mungu gani ambae Yuko kila mahali ila anafikisha ujumbe kwa kunong'oneza mwarabu...😂na wewe 1400 years later unakubali...kweli Africa tuna safari ndefu
mimi nimeamini uislam sbb nimependa mfumo wake wa kuishi ayo mengne sijui ya afrika imefnyje ni akili zenu.
 
Lilikuwa ni Jibu la swali la mwenye Jamvi na haikuwa hoja Jaribu kutokurupuka Na ufatilie kwa makini
😂So unatetea uislamu au .. sikuelewi. Unaanza kusema NWO cjui Nini...those groups zilikuwepo na impact zamani saa hivi ulaya wamekuwa enlightened wengi wanajua religion ni tool tu ila waarabu bado wanaendelea na ukatili wa kidini ndo maana tunaangalia currently
 
Uislamu ingekuwa Dini nzuri sana endapo baadhi ya Tabia zinazohusushwa na Dini zingeachwa. Siongelei huu uislamu wa gongo la mboto, waislamu jina. Naongelea wakulungwa wenyewe.

Mfano: Tabia ya kufinya haki za wanawake, kwenye dini ya uislamu mwanamke ni kiumbe kinachopewa daraja la chini sana kwenye karibia baadhi ya mambo kwenye familia hadi jamii, kuanzia kwenye maamuzi na utendaji wa kazi, ambapo mwanaume amejisimika ufalme kwenye kila mambo.

Nchi nyingi zinazoongozwa na Uislamu zinapinga uongozi wa wanawake, kuendesha magari japo juzi kati ndipo walianza kuruhusu, mtindo wa maisha na mambo kadha wa kadha yanayowahusu wanawake.

Kuchukua sheria mkononi: hapa siongelei puchu au mgalala, la ashah, hapa nazungumzia sheria nyingi za Uislamu zinaamuru kujichukulia sheria mkononi endapo mtu ataenda kinyume na matakwa ya uislamu mfano; mtu akitaka kuhama Dini ya kiislamu anaweza kuuliwa, mtu akidhini au kuchepuka apigwe mawe mpaka kufa, ukimkubatia mwanamke si wako uchapwe viboko 99.

Juzi tu umeona mchezaji mpira Cristiano Ronaldo akimkumbatia msichana mlemavu baada ya kumletea zawadi ya picha hiko Iran, lakini serikali ya Iran inayoendeshwa chini ya uislamu ikaamuru Ronaldo akirudi tena Iran atandikwe viboko 99 kwa kosa la kumkumbatia yule dada mlemavu kama shukurani. Yapo mambo mengi ya kujichukulia sheria mkononi ya kuua au kumdhuru mtu endapo hatafata sheria za Uislamu.

Wazee wa Suicide mission: Hapa sizungumzii ile Movie ya Suicide Squad ya Will Smith, hapa nazungumzia wale wakulungwa wa Imani kali wanaoanzisha vikundi vinavyojulikana kama vikundi vya Jihad kama Islamic State (IS), Balochistan Liberation Army (BLA), Al-Qaida, Al-shabab, Jumaat Nusrat Al-Islam wal Muslimeen (JNIM), Islamic State Khorasan (ISK), Islamic State Sinai (ISS) na vikundi vya namna hiyo huko Africa magharibi (Islamic State West Africa) kama Boko Haram na vinginevyo vya imani kali ambavyo lengo lao ni kusambaza Uislamu kwa nguvu na kupambana na serikali zisizo za kidini.

Hawa wazee wanajulikana kwa mashambulizi yao dhidi ya raia na serikali ikiwemo majeshi, na kuua watu bila sababu zenye mashiko, wengine wamejizolea umaarufu kwa kujitoa muhanga na kuua watu wengi bila kujali kwamba wanafamilia au hawana. Na pia Al-Qaida walikuwa wanafahamika kwa kuchinja raia wa Kimarekani na wa nchi za Ulaya, kupelekea nchi za Mashariki ya Kati kuogopwa kutembelewa na wageni kutoka nchi nyingine.

Ukijaribu kuwagusia hawa waislam wa Bonyokwa wanakwambia Uislamu unakataza mambo hayo, lakini ukifuatilia kwenye vitabu vyao ukatili wa aina hiyo umeandikwa kwenye kitabu chao kama kuchampa mtu viboko, kuua kama aendani na itikadi za kiislamu na mambo kadha wa kadha.

Hata hawa waislam wa Bonyokwa washukuru tu kwa sababu wanaishi Tanzania na sio nchi ya kidini ila wangekuwa wanaishi huko Iran au Afaghanstan, wangeelewa shoo.

Juzi kati tu ndege ya Marekani ya kijeshi ilivyokuwa inaondoka Afaghanstan, Waafaghan wengi walitaka kuondoka nayo kuonesha hawataki kubaki nchini kwao kupelekea watu wengine kuanguka na kufa, inaonesha hata nchi nyingi za Uarabuni haziruhusu wananchi wao kuondoka hovyo hovyo bila sababu, wanabanwa na kunyimwa passport.

Endapo waislamu wangeacha hayo mambo ya ukatili wangekuwa Dini moja safi sana ulimwenguni.
😝😝😝😝😝Hio ya cristiano Ronaldo imekaaje?😝😝

jamaa sheria zao ngumu hawa

Hivi Ingekuwaje Marekani ndio ingekua Taifa la kiarabu,Dunia ingekoma wallah 😝😝

Mungu alijua akawanyima power na nguvu za kiuchumi waarabu
 
Back
Top Bottom