Ujamaa uliofanywa na Nyerere ulikuwa umepingwa vikali sana na Karl Marx

Ujamaa uliofanywa na Nyerere ulikuwa umepingwa vikali sana na Karl Marx

Ujamaa siyo umbile la binaadam,ni fantasy tu... nyerere alipopewa nchi alikua na umri wa miaka 39 tu!!..umri mdogo kupambanua Mambo ya miundo wa jamii,mahaba yalimuongoza badala ya tafakuri jadidi,walau angemsikiliza kambona wakajadiliana kwa 'nia swafi'
Alikuwa ana maono ya kutaka jamii iwe namna gani. Lakini alitaka kupita njia ya shortcut isiyo na uhalisia.
 
Kuwabana binaadam wawe na maisha sawa ni kinyume na umbile la binaadam
Marx hakuhubiri usawa, alipinga kutumia mtaji kunyonya nguvu kazi ya wengine. Alisema si dhambi kwa mtu kujipatia mali kwa nguvu zake mwenyewe. hata biblia inahubiri hivyo(isaya 65: 21-22). Hawa waliotaka kulazimisha watu wawe sawa naona ndiyo waliharibu.
Isaya 65: 21-22
21. Watu watajenga nyumba na kuishi humo;
watalima mizabibu na kula matunda yake.
22. Hawatajenga nyumba zikaliwe na watu wengine,
wala kulima chakula kiliwe na watu wengine........

 
Ujamaa siyo umbile la binaadam,ni fantasy tu... nyerere alipopewa nchi alikua na umri wa miaka 39 tu!!..umri mdogo kupambanua Mambo ya miundo wa jamii,mahaba yalimuongoza badala ya tafakuri jadidi,walau angemsikiliza kambona wakajadiliana kwa 'nia swafi'
Mkapitalist umekuja
 
Marx hakuhubiri usawa, alipinga kutumia mtaji kunyonya nguvu kazi ya wengine. Alisema si dhambi kwa mtu kujipatia mali kwa nguvu zake mwenyewe. hata biblia inahubiri hivyo(isaya 65: 21-22). Hawa waliotaka kulazimisha watu wawe sawa naona ndiyo waliharibu.
Isaya 65: 21-22
21. Watu watajenga nyumba na kuishi humo;
watalima mizabibu na kula matunda yake.
22. Hawatajenga nyumba zikaliwe na watu wengine,
wala kulima chakula kiliwe na watu wengine........
Hawa jamaa wansahau kuhus equity measures. Tatizo la free market limeashum usawa na uhur kitu ambacho si kweli. Kila mtu ananlipia afya, hat vitu ambavyo havikutakiwa kuwa bidhaa za kuuzwa vimegeuzwa kuwa bidhaa.
 
Kwa mtaji walionao wachina, kwa mazingira yao, support ya serikali yao nk. Unafikiri Mtz anaweza kuweka bidhaa zake zikashindana na za China.
Tengeneza nguo nzuri,hazichuji,uza kwenye soko third and second world,utauza
 
Andika tusome na mawzo kutoka kwako

Mawazo yangu wajamaa ni wezi tu na wapenda dezo. Wanasubiri watu watumie maarifa na mbinu kuvumbua na kujenga vitu halafu waje kupora na kugawana. Na kwenye mfumo huo sahau watu kufanya kazi kwa bidii maana wanajua mali zao zitaporwa au watalipwa sawa na wavivu.

Wakomunisti walioufuata hiyo communist manifesto ndiyo wabaya zaidi maana wale ni wauwaji kabisa. Wakina Stalin, Mao Zedong, Pol Pot waliuwa mamilioni ya watu wa nchi zao. Ndiyo maana mpaka leo nashukuru nchi za magharibi zilivyowafyeka viongozi wa Afrika kama wakina Lumumba na Samora waliotaka kuleta ukomunisti kwenye hili bara. Waliokoa maisha ya watu wengi sana maana wakomunisti wangeteketeza mamilioni ya watu hapa Afrika.
 
Back
Top Bottom