inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Azimio la Arusha lilikua 1967..ngumu kusema alipata tanbihi ya ujamaa hiyohiyo 1967..ni kabla ya hapoUnafahamu mwalimu kaanza kuingiza falsafa za kijamaa na kujitegemea lini ? Na akiwa na umri wa miaka mingapi ?