inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Azimio la Arusha lilikua 1967..ngumu kusema alipata tanbihi ya ujamaa hiyohiyo 1967..ni kabla ya hapoUnafahamu mwalimu kaanza kuingiza falsafa za kijamaa na kujitegemea lini ? Na akiwa na umri wa miaka mingapi ?
Muumba.Mungu ni nini ?
Hiv unajua Bill gate akisema anafunga progmane zake zakuendesh android/internet Kuna mamilioni ya wat itakufa njaa?
Yeye binafsi alipata urahibu wa falsafa ya kijamaa toka muda sana ila taifani falsafa iliidhinishwa kupitia azimio la arusha akiwa tayari mkomavu wa fikra pia umri wa Mwalimu ulikuwa sio kigezo kikubwa kusema fikra zake hazikua zimekomaa, Mwalimu alikuwa na umri mdogo ila akili yake ilikuwa kubwa sana.Azimio la Arusha lilikua 1967..ngumu kusema alipata tanbihi ya ujamaa hiyohiyo 1967..ni kabla ya hapo
Nini ?Muumba.
Usawa wa mwalimu alio uhubiri kwenye ujamaa ni usawa kihuduma za kijamii na kukomesha matabaka kupitia kigezo cha rangi waafrika, waasia na wazungu n.kKuwabana binaadam wawe na maisha sawa ni kinyume na umbile la binaadam
Mkuu are you serious?🤨Ndiyo maana mpaka leo nashukuru nchi za magharibi zilivyowafyeka viongozi wa Afrika kama wakina Lumumba na Samora
Ndiyo kilichozaa msamiati walanguzi!?..na watu kutupa fedha/Mali porini!?..kivipi watanzania walikua wanalingana maisha Hadi 1990s mwanzoni!?...madai yako ni unafiki kwa kuwa unaona upogo kwenye zile seraUsawa wa mwalimu alio uhubiri kwenye ujamaa ni usawa kihuduma za kijamii na kukomesha matabaka kupitia kigezo cha rangi waafrika, waasia na wazungu n.k
Kusema alikua na akili kubwa ni kumkuza..alikua na uwezo wa kawaida wa kufikiri,mahaba ya ujana kwa ujamaa yalimpofua,Kama yeye alikua na akili kubwa kambona amabaye alitabiru pricesly Tanganyika itavyokua kwa kufuata ujamaa atakua na akili gani!?Yeye binafsi alipata urahibu wa falsafa ya kijamaa toka muda sana ila taifani falsafa iliidhinishwa kupitia azimio la arusha akiwa tayari mkomavu wa fikra pia umri wa Mwalimu ulikuwa sio kigezo kikubwa kusema fikra zake hazikua zimekomaa, Mwalimu alikuwa na umri mdogo ila akili yake ilikuwa kubwa sana.
Hayo aliyo zungumza kambona wewe umeya pata wapi ?Kusema alikua na akili kubwa ni kumkuza..alikua na uwezo wa kawaida wa kufikiri,mahaba ya ujana kwa ujamaa yalimpofua,Kama yeye alikua na akili kubwa kambona amabaye alitabiru pricesly Tanganyika itavyokua kwa kufuata ujamaa atakua na akili gani!?
Unafiki wangu upo wapi ?Ndiyo kilichozaa msamiati walanguzi!?..na watu kutupa fedha/Mali porini!?..kivipi watanzania walikua wanalingana maisha Hadi 1990s mwanzoni!?...madai yako ni unafiki kwa kuwa unaona upogo kwenye zile sera
Sumu ishaanza kukutambaa!Hayo aliyo zungumza kambona wewe umeya pata wapi ?
: Halafu andika vizuri ueleweke.
Mkuu wewe ni mwanamke au mwanaume ?Sumu ishaanza kukutambaa!
Fikra hazina jinsia!Mkuu wewe ni mwanamke au mwanaume ?
Hilo ndilo jibu la swali mtu akikuuliza kuwa wewe ni mwanamke au mwanaume ?Fikra hazina jinsia!
Siwajibiki kujibu upendavyoHilo ndilo jibu la swali mtu akikuuliza kuwa wewe ni mwanamke au mwanaume ?
Mkuu wewe ni kijana au mtu mzima ?Siwajibiki kujibu upendavyo
Swali halina mantikiMkuu wewe ni kijana au mtu mzima ?
Hitimisho: Jinsia yako na umri wako vina akisi uwezo wako wa kichwani.Swali halina mantiki
Mama yako alikua na uwezo gani kichwani!?Hitimisho: Jinsia yako na umri wako vina akisi uwezo wako wa kichwani.