Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
- Thread starter
- #21
....za kwake ni njema ameuona mwanga....zako zimejaa mbango....karibu CIROC hapa T 7......(Ukiambiwa changanya na zakwako JK)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....za kwake ni njema ameuona mwanga....zako zimejaa mbango....karibu CIROC hapa T 7......(Ukiambiwa changanya na zakwako JK)
.....wewe nengua taarabu....Mbona Kama ume imba taarab
Bahati nzuri kwangu siruhusu miziki ya aina hio, hivyo cheza huko kwenu tu.....wewe nengua taarabu....
...unakalia kigogo ?!!Bahati nzuri kwangu siruhusu miziki ya aina hio, hivyo cheza huko kwenu tu
Kigogo sija wahi kufika...unakalia kigogo ?!!
Kwa hiyo unakaa nyagwa ?!!Kigogo sija wahi kufika
Mkuu just because I refuse to shoot, it doesn't mean my gun ain't deadly.Kwa hiyo unakaa nyagwa ?!!
.... sorry for any inconveniences buddy ,toxic index of CIROC made me crossing the line....chill dude !Mkuu just because I refuse to shoot, it doesn't mean my gun ain't deadly.
Ruhusuni uchaguzi wa huru na haki!Amerukia kwa Norway inayotupatia wastani wa dola milioni 7.kila mwaka wa fedha.
Walianza kuipinga serikali yao isiwekeze ujenzi wa bwawa la kufua umeme megawati 2215.
Wakaja kuipinga DP WORLD yenye kutoa TRILIONI 22 kwa mwaka na malengo ya kufikia TRILIONI 60.
Leo vibaraka koko wameingia msituni tusipewe dola milioni 38.
Hivi unawaelewa hawa ?!!
Nasemaje....hivi TL ana wafuasi "smart" vichwani ?!! Ha ha ha ha
#JMT Kwanza kivyovyote iwavyo!
🙋♂️✍️🎯👏👌👍👊🤝🙏Argue, don't shout.
Weka hoja, pinga hoja, kwa hoja.
Sio ad hominem logical fallacies.
😲😲😲...unakalia kigogo ?!!
😲😲😲Kwa hiyo unakaa nyagwa ?!!
Acha Ujinga wewe, Mashariti ya misaada ni hakikisho la Demokrasia ya kweli sio maneno na porojo.
Hivo misaada ikatwe
Nakushauri uende pale CCBRT utolewe tongotongo machoni, kwa maana macho unayo lkn huoni
Huyo ni wale "wakaka wadada" wanaoalikwa shereheni kwa ajili ya vichambo, ni zaidi ya waimba taarabu!Mbona Kama ume imba taarab
Hizo trillion 60 za DP world zipo wapi ni nani anazila?Amerukia kwa Norway inayotupatia wastani wa dola milioni 7.kila mwaka wa fedha.
Walianza kuipinga serikali yao isiwekeze ujenzi wa bwawa la kufua umeme megawati 2215.
Wakaja kuipinga DP WORLD yenye kutoa TRILIONI 22 kwa mwaka na malengo ya kufikia TRILIONI 60.
Leo vibaraka koko wameingia msituni tusipewe dola milioni 38.
Hivi unawaelewa hawa ?!!
Nasemaje....hivi TL ana wafuasi "smart" vichwani ?!! Ha ha ha ha
#JMT Kwanza kivyovyote iwavyo!
Argumentum ad hominem....Huyo ni wale "wakaka wadada" wanaoalikwa shereheni kwa ajili ya vichambo, ni zaidi ya waimba taarabu!