Ujasiri wake wa ovyo unaendelea: Alianza kuwalloby CDU pale Bundestag tusijenge hili bwawa la kufua umeme megawati 2215

Ujasiri wake wa ovyo unaendelea: Alianza kuwalloby CDU pale Bundestag tusijenge hili bwawa la kufua umeme megawati 2215

Amerukia kwa Norway inayotupatia wastani wa dola milioni 7.kila mwaka wa fedha.

Walianza kuipinga serikali yao isiwekeze ujenzi wa bwawa la kufua umeme megawati 2215.

Wakaja kuipinga DP WORLD yenye kutoa TRILIONI 22 kwa mwaka na malengo ya kufikia TRILIONI 60.

Leo vibaraka koko wameingia msituni tusipewe dola milioni 38.

Hivi unawaelewa hawa ?!!

Nasemaje....hivi TL ana wafuasi "smart" vichwani ?!! Ha ha ha ha

#JMT Kwanza kivyovyote iwavyo!
Ruhusuni uchaguzi wa huru na haki!
 

Attachments

  • Gjr0Tp7aMAAfVPF.jpeg
    Gjr0Tp7aMAAfVPF.jpeg
    143.4 KB · Views: 1
Amerukia kwa Norway inayotupatia wastani wa dola milioni 7.kila mwaka wa fedha.

Walianza kuipinga serikali yao isiwekeze ujenzi wa bwawa la kufua umeme megawati 2215.

Wakaja kuipinga DP WORLD yenye kutoa TRILIONI 22 kwa mwaka na malengo ya kufikia TRILIONI 60.

Leo vibaraka koko wameingia msituni tusipewe dola milioni 38.

Hivi unawaelewa hawa ?!!

Nasemaje....hivi TL ana wafuasi "smart" vichwani ?!! Ha ha ha ha

#JMT Kwanza kivyovyote iwavyo!
Hizo trillion 60 za DP world zipo wapi ni nani anazila?
 
Huoni aibu unaandika uzi mrefu unatetea kupewa msaada kwenye kinchi chenye watu milioni 5 tu na rasilimali chache kabisa.

Nyie mko milioni 63 na rasilimali za kutosha mnachojua ni kumsifia rais, kununua gari za gharama na kujaza mabango ya mama anaupiga mwingi na huyo mama anga kutwa kutembeza kitambaa cha msaada na kuuza rasilimali.

Shame on you!
 
Mtoa mada anatetea tumbo lake huku wananchi wa kule Likonde wanakunywa maji machafu na ndama zao. Hongera sana mwanafamilia wa mama Samia.
 
Back
Top Bottom