Ujasiri wake wa ovyo unaendelea: Alianza kuwalloby CDU pale Bundestag tusijenge hili bwawa la kufua umeme megawati 2215

Ujasiri wake wa ovyo unaendelea: Alianza kuwalloby CDU pale Bundestag tusijenge hili bwawa la kufua umeme megawati 2215

Nchi hazihitaji marais maprofesa....haiko kwa Marekani iwe kwa Tanzania ?!!

Wafanya vetting wako smart kuliko hizo fikra zako....walimuidhinisha Rais Samia atuongoze.....

FYI Wafanya vetting ya urais hawakuona tatizo kwa mh.Rais Samia kuwa na WAJOMBA huko Oman.......

Nchi haziongozwi kwa hisia hizo ulizonazo....usiwe "fragile" sana na "emotions" Koko....

Tanzania iko imara kwa sababu ina wafanya vetting imara kuliko hizo tuhuma zako zisizo na uhalisia.....

#JMT milele
"Tanzania iko imara sababu ina wafanya vetting imara kuliko hizo tuhuma zisizo na uhalisia." Hivi ulimsikiliza CDF alichokisema?

With all kind of the resources alizonazo CDF unafikiri aliongea tu kujifurahisha??

Hao wafanya vetting walikuwa wapi hadi CDF kaja kushtukia mchezo dakika za mwisho, na hujiulizi kwanini hakuliongelea hilo kwenye baraza la usalama wa taifa sababu yeye ni mjumbe hadi aje aliongelee public?

Ndio hivi kabisa?? SMH !!!!
F271C27C-1AE7-4890-B2E7-C685B4E4731C.jpeg

BD7511AD-5C7A-435F-9707-C5F90057C681.jpeg
 
Yaani CCM sijui Wana akili gani ....wanavyoongea utadhani ndio wameingia madarakani jana... Wakati wapo toka uhuru .. pathetic....
 
Amerukia kwa Norway inayotupatia wastani wa dola milioni 7.kila mwaka wa fedha.

Walianza kuipinga serikali yao isiwekeze ujenzi wa bwawa la kufua umeme megawati 2215.

Wakaja kuipinga DP WORLD yenye kutoa TRILIONI 22 kwa mwaka na malengo ya kufikia TRILIONI 60.

Leo vibaraka koko wameingia msituni tusipewe dola milioni 38.

Hivi unawaelewa hawa ?!!

Nasemaje....hivi TL ana wafuasi "smart" vichwani ?!! Ha ha ha ha

#JMT Kwanza kivyovyote iwavyo!
Shida ya kuandika huku umekalia mjulubenge.
 
Amerukia kwa Norway inayotupatia wastani wa dola milioni 7.kila mwaka wa fedha.

Walianza kuipinga serikali yao isiwekeze ujenzi wa bwawa la kufua umeme megawati 2215.

Wakaja kuipinga DP WORLD yenye kutoa TRILIONI 22 kwa mwaka na malengo ya kufikia TRILIONI 60.

Leo vibaraka koko wameingia msituni tusipewe dola milioni 38.

Hivi unawaelewa hawa ?!!

Nasemaje....hivi TL ana wafuasi "smart" vichwani ?!! Ha ha ha ha

#JMT Kwanza kivyovyote iwavyo!
Tatizo nchi hii ni ulaji. Mikataba ya hiyo miradi sijui Bandari na makorokoro yake iko wazi ? Usiri wa mikataba unaibua hoja ya uporaji na wizi.
 
Back
Top Bottom