Ujasusi Congo: Majasusi wa Rwanda wakamatwa nchini Congo

Ujasusi Congo: Majasusi wa Rwanda wakamatwa nchini Congo

Umeambiwa kwamba wamenasa mawasiliano yao ya simu, hivyo ushahidi upo.
Kagame angewatrain na kuwacruit ujasusi wahutu ama makabila ya kongo wasio kuwa na muonekano wa kitutsi. Tatizo lake yeye kawaweka watutsi kila idara.

Yeye mwenyewe ni CIA recruit akujifunza kutoka kwao? Wale waliompeleleza Osama anapoishi Pakistan walikuwa CIA wenye asili ya Pakistan tena waaminifu kwa marekani.

Kagame kawa mbinafs na kujenga chuki na jamii zingine kiasi kwamba
 
Sijakupata sawa sawa naomba ufafanuzi zaidi.
Yani ndege ya juvenile habriymana iliangusha 6/4/1994 saa mbili jioni alikuwa na rais wa burundi.
Iliangushwa na RPA eneo la masaka hill kigali rwanda .
Mtu aliyeangusha ni anaitwa general Jack nzinza , alitumia kombola la aina ya 16 igla surface to air missile russian made missile.
Waliuwa na watu wengine wawili general james kaberebe na Erick akizimana.
Shot down plan ndio ilitriger genocide rwanda.
20230103_135643.jpg

JACK nzinza 👇
Gen-Jack-Nziza-1-1.jpg
hqdefault.jpg
 
Watu wakiambiwa ndege ya Habyarimana ililipuliwa na RPF hawaamini, kitendo kilicho spark the 1994 Rwanda Genocide.

Rwanda wanataka kurudia kosa lilelile linaloweza kusababisha Genocide ya Banyamulenge huko Congo.
Ni Kweli hatuamini, na ni ngumu kuamini.
Na wengi hatutoamini.
 
Serikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa rwanda mpaka sasa , ila kakamatwa congo.
View attachment 2467714View attachment 2467715
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya congo.
View attachment 2467719View attachment 2467721
Itakuwa kweli , hawa Rwanda wako na majasusi wengi sana katika baadhi ya nchi zikiwemo hizi za New EAC.

Wanapenda kutumia majasusi wa kike katika baadhi ya nchi Kama Uganda.

Mwaka 2016 nikiwa Uganda niliwahi kukutana na Binti mrembo sana pale Speke Resort Munyonyo, aisee Kuna codes zilinifanya nigundue she's the spy
 
Watu wakiambiwa ndege ya Habyarimana ililipuliwa na RPF hawaamini, kitendo kilicho spark the 1994 Rwanda Genocide.

Rwanda wanataka kurudia kosa lilelile linaloweza kusababisha Genocide ya Banyamulenge huko Congo.
Wacongo wataamini ni watutsi wameua raisi wao , ni kama 1994 ilivyotokea pale rwanda.
 
Itakuwa kweli , hawa Rwanda wako na majasusi wengi sana katika baadhi ya nchi zikiwemo hizi za New EAC.

Wanapenda kutumia majasusi wa kike katika baadhi ya nchi Kama Uganda.

Mwaka 2016 nikiwa Uganda niliwahi kukutana na Binti mrembo sana pale Speke Resort Munyonyo, aisee Kuna codes zilinifanya nigundue she's the spy
wee wacha bana mkagunduana duuh patamu hapo
 
Na sura za watusi hazijifichi angewapa uraia ata wahaya km hawaamini wahutu
Kagame angewatrain na kuwacruit ujasusi wahutu ama makabila ya kongo wasio kuwa na muonekano wa kitutsi. Tatizo lake yeye kawaweka watutsi kila idara.

Yeye mwenyewe ni CIA recruit akujifunza kutoka kwao. Wale waliompeleleza Osama anapoishi Pakistan walikuwa CIA wenye asili ya Pakistan tena waamifu kwa marekani.

Kagame kawa mbinafs na kujenga chuki na jamii zingine kiasi kwamba
 
Back
Top Bottom