pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 18,406
- 14,643
Nchi za maziwa makuu, dawa ya Kagame ni kumuondoa tu duniani hakuna namna nyingine! Aende akakae na Lucifer!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipi hujaelewa hapo?Sijakupata sawa sawa naomba ufafanuzi zaidi.
Mmoja nikuta kafungua bag yangu na kunipekuwa lakini hakupata chochote na mzigo nilimlaItakuwa kweli , hawa Rwanda wako na majasusi wengi sana katika baadhi ya nchi zikiwemo hizi za New EAC.
Wanapenda kutumia majasusi wa kike katika baadhi ya nchi Kama Uganda.
Mwaka 2016 nikiwa Uganda niliwahi kukutana na Binti mrembo sana pale Speke Resort Munyonyo, aisee Kuna codes zilinifanya nigundue she's the spy