Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Kaberere bado yupo hai eeeh6/4/1994
Aliangusha general JACK nzinza alitumia 16 igla surface to air missile,
Alikuwa na james kaberebe na erick akizimana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaberere bado yupo hai eeeh6/4/1994
Aliangusha general JACK nzinza alitumia 16 igla surface to air missile,
Alikuwa na james kaberebe na erick akizimana.
Ur right everybody hate Tutsi because of afande PC a.k.a Paulo KagameInnocent Tutsi are the victims. Wanapitia magumu sana sababu ya PK.
Sababu hujawahi kuishi Rwanda mkuuNi Kweli hatuamini, na ni ngumu kuamini.
Na wengi hatutoamini.
Atupe uraia Wanyambo mkuu😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!!TumpindueNa sura za watusi hazijifichi angewapa uraia ata wahaya km hawaamini wahutu
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Biseruka kawa kagaruka hawa nao wamo kweli kweli shubamit aisee Kayanga kuna jambo kumbe
Yupo salama kabisa sema tu ametoa macho sehemuKaberere bado yupo hai eeeh
Hakufariki kwenye genocide 1994???Yupo salama kabisa sema tu ametoa macho sehemu
Tuliambiwa wanazaa na wakubwa watunga sheria DodomaMARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
James kaberebe yupoKaberere bado yupo hai eeeh
KWANI mkuu RAIA wa rwanda wanaamini nani aliangusha ile ndege?Sababu hujawahi kuishi Rwanda mkuu
Acha wazalishwe na kugongwa kachabari,Ila hawatopata kituTuliambiwa wanazaa na wakubwa watunga sheria Dodoma
Anawatetea km wameonewaUmeambiwa kwamba wamenasa mawasiliano yao ya simu, hivyo ushahidi upo.
Inategemea unapata taarifa upande UPI????Lakini wengi wanajua ni waasi wa RPF kipindi hichoKWANI mkuu RAIA wa rwanda wanaamini nani aliangusha ile ndege?
Yupo mzima, ingawa nayeye alishazinguana na bosi wake huko nyuma akahamishwa hamishwa idara na kutolewa jeshini.Kaberere bado yupo hai eeeh
Roméo Dallare , ndie alie kua mkuu wakikosi Cha umoja wa mataifa Cha kuilinda amani.![]()
Huyu Mzungu wa Amerika kusini nae amehusikaje humu?
Roméo Dallaire , ndie alie kua mkuu wakikosi Cha umoja wa mataifa Cha kuilinda amani.
Hatari sana. Lakini kwanini Lagame yupo vileSerikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa Rwanda mpaka sasa, ila kakamatwa Congo.
View attachment 2467714View attachment 2467715
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya Congo.
View attachment 2467719View attachment 2467721
Alielenga ndegeSijakupata sawa sawa naomba ufafanuzi zaidi.