Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
kazi basi wanayo hao jamaa kama inawahusu sawaWapo wengi tu ndio maana Kuna id mpya nyingi za wakulungwa kukwepa sekeseke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kazi basi wanayo hao jamaa kama inawahusu sawaWapo wengi tu ndio maana Kuna id mpya nyingi za wakulungwa kukwepa sekeseke
kwani kama kweli wapo ndio usitiririke ? hujavunja sheria yoyote we mwagika humu huru kabisa utashikwa kwa kipengele kipi na kosa lipi mwaga mcheleWapo wengi tu ndio maana Kuna id mpya nyingi za wakulungwa kukwepa sekeseke
Hapo Biseruka pekee yake ndiyo MhutuSerikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa Rwanda mpaka sasa, ila kakamatwa Congo.
View attachment 2467714View attachment 2467715
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya congo.
View attachment 2467719View attachment 2467721
ukabila umewaponza kumbe pua ndefu watafuatiliwa popote walipo amewawekea mazigira magumu mno katika maisha yo daah angekuja achukue wasambaa huku, wandengereko Wa pare kadhalikaHapo Biseruka pekee yake ndiyo Mhutu
nifanyie mimi huo mpango bossDuh ngoja nimwambie jamaa wa ikulu asitishe mpango wa kunipeleka kitengoni kama mambo ndio haya
Ngoja kwanza jamaa wa ikulu akielewekanifanyie mimi huo mpango boss
sawa boss nipe email yako au nikupe yangu na namba za simu inboxNgoja kwanza jamaa wa ikulu akieleweka
Biseruka kawa kagaruka hawa nao wamo kweli kweli shubamit aisee Kayanga kuna jambo kumbeHapo Biseruka pekee yake ndiyo Mhutu
Majirani mahasimu na maaduiSerikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa Rwanda mpaka sasa, ila kakamatwa Congo.
View attachment 2467714View attachment 2467715
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya Congo.
View attachment 2467719View attachment 2467721
Kazi nzuriSerikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa Rwanda mpaka sasa, ila kakamatwa Congo.
View attachment 2467714View attachment 2467715
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya Congo.
View attachment 2467719View attachment 2467721
Ukiangalia hii movie ni kama vile Congo anataka direct war na PK ila PK anaonesha uvumilivu au anapima kitakachojiri.Serikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa Rwanda mpaka sasa, ila kakamatwa Congo.
View attachment 2467714View attachment 2467715
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya Congo.
View attachment 2467719View attachment 2467721
Umenikumbusha mbali sana mzee!!RPF walijitahidi sana kuficha huu ukweliWatu wakiambiwa ndege ya Habyarimana ililipuliwa na RPF hawaamini, kitendo kilicho spark the 1994 Rwanda Genocide.
Rwanda wanataka kurudia kosa lilelile linaloweza kusababisha Genocide ya Banyamulenge huko Congo.