Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 587
- 800
nitumie namba yako nikuhadithie boss kwa msg ni ndefu nitaweka vocha za kutosha hakuna mbambambaHivi unamsimulia ex wako kumshawishi mrudiane? Si ueleze kiundani kwa faida ya wote? Argrrrrrrrr 😡
SHUT UP! 😡nitumie namba yako nikuhadithie boss kwa msg ni ndefu nitaweka vocha za kutosha hakuna mbambamba
tulia na afadhali upo humuSHUT UP! 😡
Hata pale eti alijifanya mfanyabiashara wa mafuta petrol station jackal alicheka sana yeye akanuna mpaka kesho hacheki
Kagame angewatrain na kuwacruit ujasusi wahutu ama makabila ya kongo wasio kuwa na muonekano wa kitutsi. Tatizo lake yeye kawaweka watutsi kila idara.Umeambiwa kwamba wamenasa mawasiliano yao ya simu, hivyo ushahidi upo.
Yani ndege ya juvenile habriymana iliangusha 6/4/1994 saa mbili jioni alikuwa na rais wa burundi.Sijakupata sawa sawa naomba ufafanuzi zaidi.
Mkuu mwenyewe sijamuelewa.Unavyoandika utadhani unamsimulia mchepuko wako gesti. Elezea kiundani kwa faida ya wote humu.
Jamanii zingine sio rahisi kumkubali wanamchukiaKagame kawa mbinafs na kujenga chuki na jamii zingine kiasi kwamba
Ni Kweli hatuamini, na ni ngumu kuamini.Watu wakiambiwa ndege ya Habyarimana ililipuliwa na RPF hawaamini, kitendo kilicho spark the 1994 Rwanda Genocide.
Rwanda wanataka kurudia kosa lilelile linaloweza kusababisha Genocide ya Banyamulenge huko Congo.
Itakuwa kweli , hawa Rwanda wako na majasusi wengi sana katika baadhi ya nchi zikiwemo hizi za New EAC.Serikali ya drc imesema kwamba imekamata majasusi wa Rwanda jijini Kinshasa. Ambao walifanikiwa kujipenyeza na kuwa ba mawqsiliano na maofisa wa juu wa jeshi la congo.
Majasusi HAO walikuwa wanapanga njama za kuangusha ndege ya rais felix.
Serikali ya congo imesema wanao USHAHIDI wa kutosha unaonyesha njama HIZO za mauaji ya rahisi felix.
Ushahidi huo upo kwenye simu zao waliokamatwa majasusi HAO.
jasusi mmoja ni MTOTO wa generali mmoja wa rwanda Jeneral Erick murokore. Ambaye ni mwanajeshi wa rwanda mpaka sasa , ila kakamatwa congo.
View attachment 2467714View attachment 2467715
Serikali ya rwanda WANASEMA kuwa sio kweli wamekamata watu ambao HAWANA hatia.
Mmoja wa majasusi wa rwanda aliyekamatwa anafanya kazi kwenye shirika mmoja la NGO congo linahusu afya. AFRICA HEALTH DEVELOPMENT ORGANISATION.
Serikali ya congo wamesema USHAHIDI wanao.
MARA nyingi serikali ya rwanda unakuwa inashutumiwa kutuma majasusi nchi kama congo , Uganda, Burundi, kenya , south africa, zambia, Mozambique, Tanzania na zingine.
Picha chini ni ya watuhumiwa walikamatwa wamepigwa picha na serikali ya congo.
View attachment 2467719View attachment 2467721
Wacongo wataamini ni watutsi wameua raisi wao , ni kama 1994 ilivyotokea pale rwanda.Watu wakiambiwa ndege ya Habyarimana ililipuliwa na RPF hawaamini, kitendo kilicho spark the 1994 Rwanda Genocide.
Rwanda wanataka kurudia kosa lilelile linaloweza kusababisha Genocide ya Banyamulenge huko Congo.
wee wacha bana mkagunduana duuh patamu hapoItakuwa kweli , hawa Rwanda wako na majasusi wengi sana katika baadhi ya nchi zikiwemo hizi za New EAC.
Wanapenda kutumia majasusi wa kike katika baadhi ya nchi Kama Uganda.
Mwaka 2016 nikiwa Uganda niliwahi kukutana na Binti mrembo sana pale Speke Resort Munyonyo, aisee Kuna codes zilinifanya nigundue she's the spy
Codes gani mkuu tupeaisee Kuna codes zilinifanya nigundue she's the spy
Kagame angewatrain na kuwacruit ujasusi wahutu ama makabila ya kongo wasio kuwa na muonekano wa kitutsi. Tatizo lake yeye kawaweka watutsi kila idara.
Yeye mwenyewe ni CIA recruit akujifunza kutoka kwao. Wale waliompeleleza Osama anapoishi Pakistan walikuwa CIA wenye asili ya Pakistan tena waamifu kwa marekani.
Kagame kawa mbinafs na kujenga chuki na jamii zingine kiasi kwamba
Wazee wa suti zile wanaweza kuanza kunifuatiliaCodes gani mkuu tupe
humu hawapo kuwa huru bossWazee wa suti zile wanaweza kuanza kunifuatilia
Wapo wengi tu ndio maana Kuna id mpya nyingi za wakulungwa kukwepa sekesekehumu hawapo kuwa huru boss