Itakuwa kweli , hawa Rwanda wako na majasusi wengi sana katika baadhi ya nchi zikiwemo hizi za New EAC.
Wanapenda kutumia majasusi wa kike katika baadhi ya nchi Kama Uganda.
Mwaka 2016 nikiwa Uganda niliwahi kukutana na Binti mrembo sana pale Speke Resort Munyonyo, aisee Kuna codes zilinifanya nigundue she's the spy