Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Hivi Hao wanaojiunga na usalama wa taifa ni lazima wawe wamepitia jeshini?
 
Yericko Nyerere mada kama hizi kuna mtu mmoja humu anaitwa de'levis huyu bwana huwa anachangia vitu vya ndani sana kuhusu mambo ya intelligence...kuna thread moja inasema https://www.jamiiforums.com/jamii-intelligence/653467-are-spies-made-or-born.html....huyu bwana ameeleza vitu vingi juu ya aina ya mtu anayetakiwa na mambo mengine lukuki...na pia michango yake mbali mbali.....umewahi kumsoma huyu jamaa?..

Naam nilishasoma maandiko yake, yupo vizuri.

Ni mmoja ya bidhaa mhimu kwa nchi.
 
Last edited by a moderator:
Ila we jamaa burudani sana mambo yako

Mkuu naeleza tu kile kidogo nikijuacho, ni vema kama yupo ajuaye zaidi basi aongezee hapo na kutupa elimu zaidi, sio kukosoa kwa dhihaka tu.
 
yeriko topic zako ni nzuri sana.irudie ile inayohusiana na ikulu ya magogoni
 
yeriko topic zako ni nzuri sana.irudie ile inayohusiana na ikulu ya magogoni

Ile ipo hapa mkuu, unaweza kuitafuta hapahapa.

Hii nimeileta hapa kwakuwa sijawahi kuiweka hapa, april 20II niliipost kwenye ukurasa wangu wa facebook tu.
 
Mkuu makala zako mara nyingi hunivutia mno, je kuna wapelelezi mpaka sehemu za ibada? Mfano sheikh, ustaadh au padre au askofu naam mchungaji anaweza akawa mpelelezi?

Kila sehem wanaeza exist...mara nyingi makanisa wanatumia kama nyumba za kujificha yaani safe house!!
 
Not true, kabla ya Mtu kulikuwa na Mungu. Hakuna zaidi ya hapo. You need a superior being to exist in order for creation not be ex nihilo.

Katika nadharia ya kijasusi Mungu ni dhana mufu,

Kiusalama twaamini hivi:

Binadamu ni Mungu na Muumba tu
 
dukiz.a kt [ele] 1 intrude. 2 eavesdrop. (tde) dukizia; (tdk) dukizika; (tdn) dukizana; Ni Udukizi au Udukuzi? naomba nisaidiwe
 
Katika nadharia ya kijasusi Mungu ni dhana mufu,

Kiusalama twaamini hivi:

Binadamu ni Mungu na Muumba tu
Don't you think that you need empirical facts than kuamini tu, inter-alia, you can not say God ni dhana dhaifu huku ukisema wewe Binadamu ni Mungu. You can't have both ways.
 
Back
Top Bottom