Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Hehehehe,kwa hiyo hapa mkuu unataka kuniambia vijana 5 wote wananunuliwa na waziri na naibu wake!!!ama!

wanakuwa nae kwa misingi ya kufuatiria nyendo zake au ulinzi wake??if yes,kwanini kuna uozo unaodhihirika bungeni kutoka kwa wapinzani inamaaana wananunuliwa ili kufumbwa modomo!!!

If ni ulinzi kwanini wengine wanachapwa mpaka boxer hotelini??

Hao ni invisible, kazi yao ni kufuatilia nyendo za waziri tu,

Sheria ya TISS ya mwaka 96 ndio inayoruhusu uozo mwingi nchini. Sheria hii haimruhusu afisa usalama kuchukua hatua za kuzui jambo lolote hata kama ni la hatari. Sheria inamtaka afisa huyo kuzishauri mamlaka nyingine ili zichukue hatua, pia sheria hiyo haimlazimishi anayeshauriwa kutekeleza,yani hapo matakwa yamshauriwa ndio uamzi wa kila kitu.
 
hajasema wanafuatiliwaje? Kufuatliwa kwa kufuatwa nyuma au mawasiliano yao kusikilizwa au nin? Huyu jamaa controversial kweli:becky:

Ninaposema kufuatilia "nyendo" nina maana pana zaidi ya fikra za kirai.
 
Hao ni invisible, kazi yao ni kufuatilia nyendo za waziri tu,

Sheria ya TISS ya mwaka 96 ndio inayoruhusu uozo mwingi nchini. Sheria hii haimruhusu afisa usalama kuchukua hatua za kuzui jambo lolote hata kama ni la hatari. Sheria inamtaka afisa huyo kuzishauri mamlaka nyingine ili zichukue hatua, pia sheria hiyo haimlazimishi anayeshauriwa kutekeleza,yani hapo matakwa yamshauriwa ndio uamzi wa kila kitu.
Sheria ya mwaka 96 iliyounda tiss haina tatizo kabisa.kuhusu kunyimwa uwezo wa ukamataji na uwajibishaji moja kwa moja.lengo hapa ni kugawa nguvu ya uwajibikaji na polisi.

If kweli wanachunguzwa,itakuwa ni kama wana nia mbaya na chama tawala,wapigwe zengwe nothing more.
 
Sheria ya mwaka 96 iliyounda tiss haina tatizo kabisa.kuhusu kunyimwa uwezo wa ukamataji na uwajibishaji moja kwa moja.lengo hapa ni kugawa nguvu ya uwajibikaji na polisi.

If kweli wanachunguzwa,itakuwa ni kama wana nia mbaya na chama tawala,wapigwe zengwe nothing more.

Muundo wa vyombo vingi wa usalama nchini upo kwa asili ya chama kimoja
 
not true, kabla ya mtu kulikuwa na mungu. Hakuna zaidi ya hapo. You need a superior being to exist in order for creation not be ex nihilo.
toa ujinga wako hapa na wewe , peleka madhabahuni katika upelelezi mungu dhana isiyo na mantiki.
 
mkuu Yericko Nyerere naomba utofautishe kati ya upelelezi na ujasusi, yaani intelligence and investigation.
 
mkuu Yericko Nyerere naomba utofautishe kati ya upelelezi na ujasusi, yaani intelligence and investigation.

Tofauti yake nikuwa ujasusi hufanywa kwa siri bila unayemjasusi kujua,

Upelelezi waweza kufanywa kwa siri ama kumuita mhusika nakumweleza wazi kuwa wew ni mpelelezi, hivyo unataka kumhoji, hii ipo ndani ya jeshi la polisi nchini.

Dhana kuu inasimama palepale
 
Hivi mishahara yao inakuaje?
Inatoka serikalini?
Wana Ac za bank?

Na huwa wanakwenda vp ofisini ili watu wengine wasiwaone?

Vipi kuhusu bodi yao, huwa wanatimiziwa kilakitu kias cha kwamba hakuna malumbano wala migomo ndani ya taasisi yao?

Na je, huwa wanaongelewa bungeni? Au matatizo yao wanayatatua kimya kimya? Mfano upungufu wa vifaa vya mawasiliano?
 
Hehehehe,kwa hiyo hapa mkuu unataka kuniambia vijana 5 wote wananunuliwa na waziri na naibu wake!!!ama!

wanakuwa nae kwa misingi ya kufuatiria nyendo zake au ulinzi wake??if yes,kwanini kuna uozo unaodhihirika bungeni kutoka kwa wapinzani inamaaana wananunuliwa ili kufumbwa modomo!!!

If ni ulinzi kwanini wengine wanachapwa mpaka boxer hotelini??

Ha ha haaa ndio maana mijadala haipendwi eenh. . . . . . .
 
Hivi mishahara yao inakuaje?
Inatoka serikalini?
Wana Ac za bank?

Na huwa wanakwenda vp ofisini ili watu wengine wasiwaone?

Vipi kuhusu bodi yao, huwa wanatimiziwa kilakitu kias cha kwamba hakuna malumbano wala migomo ndani ya taasisi yao?

Na je, huwa wanaongelewa bungeni? Au matatizo yao wanayatatua kimya kimya? Mfano upungufu wa vifaa vya mawasiliano?

Kwenye bajeti ya serikali nyingi ikiwemo Tanzania kuna kitu utasikia kinaitwa Kasma ama nakisi
 
Hao ni invisible, kazi yao ni kufuatilia nyendo za waziri tu,

Sheria ya TISS ya mwaka 96 ndio inayoruhusu uozo mwingi nchini. Sheria hii haimruhusu afisa usalama kuchukua hatua za kuzui jambo lolote hata kama ni la hatari. Sheria inamtaka afisa huyo kuzishauri mamlaka nyingine ili zichukue hatua, pia sheria hiyo haimlazimishi anayeshauriwa kutekeleza,yani hapo matakwa yamshauriwa ndio uamzi wa kila kitu.

"Mshauriwa". . . . . . .anakuwa ni nani katika muktadha wa swali la msingi kwa mujibu wa kesi iliyochaguliwa na muulizaji kama mfano???!!!
 
Intellijensia ya nchi hii ni noma, hakuna ambapo hawapo, misikitini, makanisani, mitaani, wachoma chips, ma baa maid, hata wale wazee mafundi cherehani mbele ya maduka ya wahindi wengi wao wako ktk system. Hata baadhi ya masheikhe, mapadre, maaskofu, wachungaji nk. katika suala la upelelezi Tanzani ni kitu ingine

siamini hata kidogo labda kipindi cha nyuma sana..kwa sababu kazi kubwa ya intelligensia hasa ya nchi ni kuchunguza then unazifanyia kazi hizo taarifa ulizozipata... haina maana kujua kitu alafu ukaacha kitokee.. sasa kama maelezo yako kama ni kweli tusingekua na ufisadi wa kutisha kiasi hiki, au uchochezi wa udini, ujambazi au uhalifu unaozidi kukua.
 
Back
Top Bottom