Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Kwanza nikushukuru kwakuuliza maswali mazuri,

I. Kesi ya Naibu Waziri ilikuwa na sura nyingi ambazo inahitaji mjadala pekee ili watu wafahamu namna ya ufanisi wa taasisi ilivyofanikisha kwa asilimia miamija.

Naomba nirudie kufafanua jambo hapo, invisible spy wapo chini ya ofisi ya rais sio chini ya waziri/naibu ambao ndio wanaofatiliwa.

2. Tukio la waziri lilikuwa sio hatarishi sana kwa upande wa kikazi ila kwake binafsi ndiomaana njia rais ilikuwa ile ya kutumia harot spy ambao ni njia ya kumdhalilisha mlengwa bila yeye kujua.

3. Kila sheria duniani imeweka akiba ya maamuzi, hivyo pamoja na kuwa sheria inaelekexa vile, bado inampa jasusi nguvu ya kuamua vingine. Kumbuka jasusi vilevile ni askari.

4. Swali hilo linajibiwa na jibu la 3,

Shukran

1. Unapoamua kumdhalilisha kiongozi wa nchi ambaye ungeweza kumuonya kwa njia za kawaida hapo unamdhalilisha yeye au mamlaka ya uteuzi??!!!
2. Kama mamlaka ya uteuzi ndio hiyo hiyo "mshauriwa" una maana hapo ilikiwa ni suicide mission??!!
3. Kama ilikuwa ni name and shame op. . .ilikuwa imnufaishe nani??!!
4. Kama ni black mailing/mud slinging mbona bado anadunda??!!
 
Hadi marekani wanafanyiwa udukuzi na china je sisi 3rd world countries yupo salama kweli??
 
Shukran

1. Unapoamua kumdhalilisha kiongozi wa nchi ambaye ungeweza kumuonya kwa njia za kawaida hapo unamdhalilisha yeye au mamlaka ya uteuzi??!!!
2. Kama mamlaka ya uteuzi ndio hiyo hiyo "mshauriwa" una maana hapo ilikiwa ni suicide mission??!!
3. Kama ilikuwa ni name and shame op. . .ilikuwa imnufaishe nani??!!
4. Kama ni black mailing/mud slinging mbona bado anadunda??!!

Haha mkuu unataka mpaka nigongeshe yai kwenye shoka yakheee!

Hapo ndipo turudi kwenye sheria ya 96 na madhaifu yake.

Niliwasilisha mapendekezo yangu mbele ya wakuu wa mamlaka, moja ya mapendekezo yale kulikuwa na hili la kuwepo kwa sheria inayomlazimisha mshauriwa kuutekeleza ushauri.

Wakati huo hilo liende sambamba na amendment ya kifungu cha katiba ya jamhuri kinachosema, Rais hatalazimika kupokea ushauri wa chombo/taasisi/mtu yoyote katika utendaji wake. Yaani hapo rais wa Tz kapewa uungu na Katiba hii ya 77.

Tukifanikiwa kurekebisha kifungu hicho itakuwa rahisi kurekebisha sheria ya TISS ya 96,
 
Hadi marekani wanafanyiwa udukuzi na china je sisi 3rd world countries yupo salama kweli??

Hatupo salama hata chembe, mfano. Usalama wa BOT upo chini ya USA, hapa ninamaana supplier wa all security devices ni from USA ambayo kimsingi vipo under surveillance na CIA.

Ikulu mitambo yote ni HUAWEI from China, zingatia kuwa mitambo hiyo imepigwa marufuku kwenye baadhi ya idara nchini marekani kwakuwa ipo chini ya mamlaka ya ujasusi ya Uchina
 
Hatupo salama hata chembe, mfano. Usalama wa BOT upo chini ya USA, hapa ninamaana supplier wa all security devices ni from USA ambayo kimsingi vipo under severance na CIA.

Ikulu mitambo yote ni HUAWEI from China, zingatia kuwa mitambo hiyo imepigwa marufuku kwenye baadhi ya idara nchini marekani kwakuwa ipo chini ya mamlaka ya ujasusi ya Uchina.

Aseee...sasa tutumie vifaa toka wapi?
 
Haha mkuu unataka mpaka nigongeshe yai kwenye shoka yakheee!
Hapo ndipo turudi kwenye sheria ya 96 na madhaifu yake.
Niliwasilisha mapendekezo yangu mbele ya wakuu wa mamlaka, moja ya mapendekezo yale kulikuwa na hili la kuwepo kwa sheria inayomlazimisha mshauriwa kuutekeleza ushauri.
Wakati huo hilo liende sambamba na amendment ya kifungu cha katiba ya jamhuri kinachosema, Rais hatalazimika kupokea ushauri wa chombo/taasisi/mtu yoyote katika utendaji wake. Yaani hapo rais wa Tz kapewa uungu na Katiba hii ya 77.

Tukifanikiwa kurekebisha kifungu hicho itakuwa rahisi kurekebisha sheria ya TISS ya 96,

1. Kama ulikubali kuna "exceptions" katika kila sheria why unataka mambo yote yawekwe wazi for every tomboy to see and think. . . . . .
 
1. Kama ulikubali kuna "exceptions" katika kila sheria why unataka mambo yote yawekwe wazi for every tomboy to see and think. . . . . .

Ikiwa exceptions hizo hazitumiwi, njia mbadala ni hiyo tu.
 
Hatupo salama hata chembe, mfano. Usalama wa BOT upo chini ya USA, hapa ninamaana supplier wa all security devices ni from USA ambayo kimsingi vipo under severance na CIA.

Ikulu mitambo yote ni HUAWEI from China, zingatia kuwa mitambo hiyo imepigwa marufuku kwenye baadhi ya idara nchini marekani kwakuwa ipo chini ya mamlaka ya ujasusi ya Uchina.
mkuu bila shaka hapo ulikuwa unataka kumainisha "surveillance''(monitoring of the behavior, activities, or other changing information, usually of people for the purpose of influencing, managing, directing, or protecting them).niwie radhi kama nimekukwaza.
 
mkuu bila shaka hapo ulikuwa unataka kumainisha "surveillance''(monitoring of the behavior, activities, or other changing information, usually of people for the purpose of influencing, managing, directing, or protecting them).niwie radhi kama nimekukwaza.

Hahaaahaa nikushukuru mkuu, lugha ya majahazi hiyo kwetu ni ngeni
 
Huo ujasusi alikuwa anaufanyia wapi?

haha yeye alikua anafanya recruitment mkuu; hata sekondari pia wapo; tena huyo wa sekondari nilikuja kutana nae mahali after 10 years nkapigwa na butwaa; nilichojifunza mara zote katika maisha usidharau mtu
 
Haya boss ila hiyo controversy ndio shina la dhana nzima. . . . . . Kama hakuna controversies hakuna haja tena

Kwakuwa tunaingia kwenye uchaguzi keshokutwa, naamini siku za usoni yatafanyika mahuisho mhimu.
 
Ili uwe na macho yanayoona kila pembe ya nchi ni lazima uwe na macho kila uvungu wa nchi

mkuu nimeihusisha hiyo kada katika dhana nzima ya recruitment; hiyo ilikua ni miaka hiyo pindi tunasoma; sijui kama huo utaratibu bado upo kwasasa labda nyie makungwi mtufahamishe zaidi
 
mkuu nimeihusisha hiyo kada katika dhana nzima ya recruitment; hiyo ilikua ni miaka hiyo pindi tunasoma; sijui kama huo utaratibu bado upo kwasasa labda nyie makungwi mtufahamishe zaidi

Misingi ya taasisi huwa haibadiliki, palipo na kundi la watu kumi wenye mlengo fulani tambua mmoja wao ni wakala wa idara ya serikali.
 
Walinzi wa usalama wa nchi hii wamegeukana sasa, wamesalitiana japo wapo Kwa kazi
Kila mlinzi wa usalama taifa anatekeleza jinsi dhamir yake inavyomwambia wengi hawatekelez ya chini ya rais maana inaonekana tiss imeshuka viwango
Ni kweli wandugu?
Kama ni kweli Kwa nini?
 
Back
Top Bottom