Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Ujasusi / Upelelezi / Udukuzi: Maana yake halisi na uhatari wake

Tofauti yake nikuwa ujasusi hufanywa kwa siri bila unayemjasusi kujua,

Upelelezi waweza kufanywa kwa siri ama kumuita mhusika nakumweleza wazi kuwa wew ni mpelelezi, hivyo unataka kumhoji, hii ipo ndani ya jeshi la polisi nchini.

Dhana kuu inasimama palepale

Tafsiri sahihi ya ujasusi ni nini?
 
Hapa tunaongea tukiwa katika falme mbili tofauti,

Wewe upo kwenye biblia tena iliyoletwa kwa jahazi,

Mimi nipo kwenye imani inayoamini ubinadamu tu katika uweza.

Kwa hiyo kaulimbiu ya chama chako ya"Tulianza na mungu na tutamaliza na mungu" ni ya kizushi na hao walioiasisi ni wapuuzi tu kwa kuwadanganya watu, eti? kwanini usiwapinge hao viongozi wanaopenda kuitumia maana haina ukweli kiuhalisia ndani yako.
 
nimekuja gundua mwalimu wangu wa primary alikua jasusi baada ya muda mrefu sana; system inafanya kazi wengi hatutambui.
 
Kwa hiyo kaulimbiu ya chama chako ya"Tulianza na mungu na tutamaliza na mungu" ni ya kizushi na hao walioiasisi ni wapuuzi tu kwa kuwadanganya watu, eti? kwanini usiwapinge hao viongozi wanaopenda kuitumia maana haina ukweli kiuhalisia ndani yako.

Chadema sio idara ya ujasusi
 
Kwa hiyo huyo waziri au naibu unayedai ana tails tano akikabiliwa na "situation" inashauriwa ofisi ya Rais??!!!

Unapochukua dhima kuwa makini mkuu. . . . . . .

Mkuu huna sababu ya kunilaumu mimi kama huielewi dhana nzima ya ujasusi nchini na mamlaka ya rais kikatiba
 
nimekuja gundua mwalimu wangu wa primary alikua jasusi baada ya muda mrefu sana; system inafanya kazi wengi hatutambui.

Ili uwe na macho yanayoona kila pembe ya nchi ni lazima uwe na macho kila uvungu wa nchi
 
Mkuu huna sababu ya kunilaumu mimi kama huielewi dhana nzima ya ujasusi nchini na mamlaka ya rais kikatiba

Ulaumiwe we una jukumu gani ambalo hukulitekeleza. . . . . ???!!

1. Jibu tu maswali mkuu. . . . . Mshauriwa ni nani katika kesi uliyoulizwa kuhusu Naibu waziri yule wa Moro??!!
2. Kama ana watu watano wanamfuatilia na walinusa nyendo hatarishi. . . ana/ali shauriwa nani??!!
3. Pamoja na 1996 sheria unayoegemea/kuisingizia "limited to advice" je ikitokea "situation hatarishi na ad hoc" jasusi ataachia course of nature sababu anatakiwa ashauri au kuna loop ya corrective/abortive
intervention?????
4. Shughuli zote "overt and covert" zinaendeshwa kwa mujibu wa sheria hiyo??!!!
 
Ulaumiwe we una jukumu gani ambalo hukulitekeleza. . . . . ???!!

1. Jibu tu maswali mkuu. . . . . Mshauriwa ni nani katika kesi uliyoulizwa kuhusu Naibu waziri yule wa Moro??!!
2. Kama ana watu watano wanamfuatilia na walinusa nyendo hatarishi. . . ana/ali shauriwa nani??!!
3. Pamoja na 1996 sheria unayoegemea/kuisingizia "limited to advice" je ikitokea "situation hatarishi na ad hoc" jasusi ataachia course of nature sababu anatakiwa ashauri au kuna loop ya corrective/abortive
intervention?????
4. Shughuli zote "overt and covert" zinaendeshwa kwa mujibu wa sheria hiyo??!!!

Kwanza nikushukuru kwakuuliza maswali mazuri,

I. Kesi ya Naibu Waziri ilikuwa na sura nyingi ambazo inahitaji mjadala pekee ili watu wafahamu namna ya ufanisi wa taasisi ilivyofanikisha kwa asilimia miamija.

Naomba nirudie kufafanua jambo hapo, invisible spy wapo chini ya ofisi ya rais sio chini ya waziri/naibu ambao ndio wanaofatiliwa.

2. Tukio la waziri lilikuwa sio hatarishi sana kwa upande wa kikazi ila kwake binafsi ndiomaana njia rais ilikuwa ile ya kutumia harot spy ambao ni njia ya kumdhalilisha mlengwa bila yeye kujua.

3. Kila sheria duniani imeweka akiba ya maamuzi, hivyo pamoja na kuwa sheria inaelekexa vile, bado inampa jasusi nguvu ya kuamua vingine. Kumbuka jasusi vilevile ni askari.

4. Swali hilo linajibiwa na jibu la 3,
 
Intellijensia ya nchi hii ni noma, hakuna ambapo hawapo, misikitini, makanisani, mitaani, wachoma chips, ma baa maid, hata wale wazee mafundi cherehani mbele ya maduka ya wahindi wengi wao wako ktk system. Hata baadhi ya masheikhe, mapadre, maaskofu, wachungaji nk. katika suala la upelelezi Tanzani ni kitu ingine
Kama kweli wapelelezi wapo Issue ya Escrow ingekuwa rahisi tu,watu walibeba pesa kwenye Lumbesa mbona mpKa leo haijulikani,Richmond kampuni fake lkn hawakujua,sasa wapelelezi wa bongo wana kazi gani.Bongo upelelezi naona ni sifuri tu.
 
Back
Top Bottom