cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rihanna si binti wa kiafrika.Me ananipa kinyaa kuonyesha tumbo muda wote nje nje sijui maadili ya wapi utadhani sio binti wa kiafrika.... Msyuuuuuuuu pumbavu
Nakazia [emoji1][emoji1]Azurure yeye kwa pesa yake uchoke wewe uliyoko Kisamvule??
Na kama umechoka si uache kumfuatilia.
Huna akili wewe
Mungu wangu [emoji23]Zurula wewe na mimba [emoji1768][emoji1768] YAKO bongo uone
Dah.....ushahidi #1 kuwa ulijig kavuuu 🤣🤣🤣🤣🤣Wabongo ndio tukipata Mimba twajifungia ndani, ikitokea tumetoka nje basi mtu ajifunika gubi gubi asionwe,
Jibu la Swali lako: anaenda kazini.
Rihanna hajawahi kuwa muafrika, uyo ni M Puerto RicoMe ananipa kinyaa kuonyesha tumbo muda wote nje nje sijui maadili ya wapi utadhani sio binti wa kiafrika.... Msyuuuuuuuu pumbavu
Siyo m babardos? Au ndio huko huko?[emoji848]Rihanna hajawahi kuwa muafrika, uyo ni M Puerto Rico
Yes ni ukanda visiwa vya Babardos ambavyo vipo chini ya Marekani upo sahihiSiyo m babardos? Au ndio huko huko?[emoji848]
Mstari anaoHivi mbona hana mstari mweusi tumboni? Mbona mwenzetu hajavimba pua?
New BillionaireHuyu dada tokea apate mimba amekua anazurura sana.
Kila siku anapigwa picha na paparazzi yupo sehemu tofauti tofauti.
Hivi huwa anaendaga wapi? Au mimba yake aliipatia akiwa kwenye ziara 🤔
Kwa kweli nimechoka kila siku kumuona yeye tu na ajifungue apumzike na sisi pia tupumzike.
Kila siku kitumbo jujuu kama yeye ndo wa kwanza kupata mimba hapa duniani... ✍️View attachment 2175940View attachment 2175941View attachment 2175942View attachment 2175943
HahaaaaaaaaAzurure yeye kwa pesa yake uchoke wewe uliyoko Kisamvule??
Na kama umechoka si uache kumfuatilia.
Huna akili wewe
Huku vijijini ukiwa mjamzito unafunika tumbo na kuvaa liguo kubwa ili tumbo lisionekaneMungu wangu [emoji23]
Well said...Rihanna Kwa sasa ana umri wa miaka 34, baada ya kufanya kazi ya kutafuta pesa Kwa bidii na kwa muda mrefu mpaka kufikia kuwa bilionea, nadhani sasa amejiandaa kulea
Rihanna amechagua wa kuzaa nae, amechagua muda wa kuzaa, na anaenjoy Mimba yake,yote afanyayo Kwa sasa ni Kwa sababu anafurahia kuja kuitwa Mama
Turudi kwetu, wadada wengi wanapata mimba wakiwa hawana mbele wala nyuma,wanazaa na watu wasio chaguo Lao,wanapata mimba wakiwa ktk umri mdogo, hivo ni ngumu kukuta mdada anafurahia Mimba yake zaidi ya malalamiko Tu
Ukikuta mtu amepata Mimba ktk wakati sahihi na mtu sahihi lazima utamuona Tu vile anaenjoy kuwa na Mimba, tofauti ni kwamba hawezi kutembea tumbo wazi km Rihanna kutokana na mila zetu ila ukimuona tu unajua huyu anaenjoy, kwahiyo Mleta mada we achana nae tu huyo kwani anafanya kwa Raha zake
Inaitwa “linea nigra” anayo, ukimuangalia kwa umakini kwenye picha ya kwanza na picha ya tatu utauonaHivi mbona hana mstari mweusi tumboni? Mbona mwenzetu hajavimba pua?