Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Naona watu wanaosema kupaua mil 10 finishing mil 15 hawajui maana yake. Labda wanazungumzia za uswahilini
Mkuu kwani hapo kimetumika kitu gani kupaua?
Si ni hizi hizi mbao za kutoka iringa na mabati yenyewe hayo si ndio haya haya tunahopaulia huku mtaani?
 
Hivi majengo yapi ya selikali ambayo huku mtaani hayapo?

Ujenzi wa hayo majengo hauna tofauti yeyote na huu tunaofanya huku mtaani
Ratio ya tofali 25 per bag,tiles ndo 9 per bag. Umejenga hivyo nyumba yako?
 

Sasa unasemaje magu yupo sahihi wakati yeye kasema mil 43 na wewe unasema ujasema mil 55?

Au kwa akili yako mil 55 ni sawa na mil 43?
 
Inashangaza kuwa watu wanatoa makadirio ya jengo bila kujua hata lina mita ngapi za mraba kwa ukubwa. Haiwezekani kupata gharama bila upembuzi jadidi.
 
Ninyi hata rais anye barabarani mtaona ni sawa tu... lumumba tumeshawazoea
Mimi naomba sasa hivi selikali na magufuli aache kuhangaika na wabadhirifu au wapigaji!

Hii mivyama imetufanya tuwe wapumbavu,!
Rais pale ana data zote anatokea mtu kwa vile ana mtazamo wake na akishameza bendera ya chama anasema hapo rais anasema uongo! Lakini jambo hilo hilo angesema mtu wa chama chake angshangilia na makofi juu,,

Imefika wakati Magufuli hata akikemea waizi hadharani wapinzani wanapinga!

Magufuli aachane na mitanzania ilishazoea kupigwa aache iendeled kuibiwa!
 
Mkuu kwani hapo kimetumika kitu gani kupaua?
Si ni hizi hizi mbao za kutoka iringa na mabati yenyewe hayo si ndio haya haya tunahopaulia huku mtaani?
Unajua kama mabati yanatofautiana quality na hivyo bei? Unajua mbao zinatofautiana ubora na bei? Mtu anayejua maana ya ujenzi (hasa finishing) hawezi kusema 142m ni kubwa
 
Unajua kama mabati yanatofautiana quality na hivyo bei? Unajua mbao zinatofautiana ubora na bei? Mtu anayejua maana ya ujenzi (hasa finishing) hawezi kusema 142m ni kubwa
Mkuu mbao unazo sema wewe huwa zinauzwa nazijua sana uzuri mimi natokea iringa najua mbao!

Mbao unzosema wewe ni za gharama ni zile zinazokuwa treated ambazo huuzwa kwa futi na fugi moja ni around 1000 inategemea na mkoa
Sasa hapo au kuna mbao zingine zaidi ya hizi ninazozijua mimi?
 
Ni nyumba gani ya serikali utajenga kwa tofali za kuchoma au tiles za kichina?
 
Kwa huku nilipo haifiki ila sijajua gharama ya ujenzi huko dodoma eneo hilo!
Rais pia akue yeye ndiye anaipaisha dodoma hivyo kuna gharama zinapanda pia. Naamini hiyo nyumba haifiki milioni 150 ila pia huwezi ijemga kwa milioni 40 ikafika hapo...
 
Sasa unasemaje magu yupo sahihi wakati yeye kasema mil 43 na wewe unasema ujasema mil 55?

Au kwa akili yako mil 55 ni sawa na mil 43?
Yupo sahihi sana hiyo nyumba haiendani na milion 143, wote tunajua bei za vifaa na tumejenga pia,

Hata kama ukisema ni bei ya kiselikali lakini bei za vifaa tunazijua, siyi kwamba hiho nyumba materials wametoa angani hapana. Ni haya haya.
 
Hivi kwanini wanasiasa wa bongo wanajitia kujua kila kitu hata vile ambavyo viko nje ya taaluma yao? Gharama za ujenzi ziko juu na mtu huwezi kutoa makadirio kwa kuangalia tu.
By the way, nani anajua gharama harisi za kununua madege ya atcl?
 
Huenda pia kuna ukuta wa uzio haujaonekana katika picha
 
Endeleeni kupima kwa macho tu mpaka kuche bebeni futi pamoja na QS muende Chamwino hapa hamtapata jibu
 
Sasa kwanini nyumba za serikali ndio zinaongoza kwa ubovu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…