kantasundwa
JF-Expert Member
- May 25, 2020
- 1,548
- 2,384
Ninyi hata rais anye barabarani mtaona ni sawa tu... lumumba tumeshawazoeakwa dodoma hiyo si nyumba ya thamani hiyo??, wana dodoma wanajua. Ujinga wa dar wanataka kuuleta dodoma haiwezekani. Rais anatambua ujinga huu, hiyo nyumba kwa dodoma inajengwa kwa thamani ya chini ya milioni 50 yaani hapo hata uuziwe material kwa bei ya juu sana...utaishia kujenga kwa gharama ya chini ya milioni 50.
Utakuta mkurugenzi alipokea milioni 10 kutoka kwa mkandarasi, ndio maana mkandarasi ka balance mambo imetoka hivyo. Mlolongo wa wapigaji upo kwenye wateule wake hadi kwa mkandarasi
Hii nyumba kama ni mimi mpaka hapo haizidi milioni 70
Mheshimiwa Raisi yupo sahihi kabisa, kwa milioni 40 with effective supervision unajenga kama hiyo
Jibu jepesi kwa swali gumuKwa sababu ofisi sio kambi.
Million 70 safi kila kitu, tuache unafikiKaribuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.
Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.
Karibuni mafundi kwa majadiliano. View attachment 1514090
Ofisi nyeti Kama hii haiwezi kukosa Underground bunker au STRONG vault.kama ina underground bunker inaweza kuzidi hiyo M143..
lakini kama ndio hiyo niionayo...jenerali amekulwa cha juu
simple like that.
Tatizo wengi wetu hatuna utaratibu wa ku record gharama za ujenzi kwa kuogopa tutaumia zaidi.Hii nyumba Ni kubwa mno,
Tena inatakiwa kua mil 150+ Kama ukiamua kuitendea haki upande wa material
HEBU TUPIGE HESABU SASA[emoji116]
1. MSINGI
(Kusafisha kiwanja, Kuchimba msingi,KIFUSI, tofali,cement, mchanga, maji,ufundi,mengineyo)
Almost 10mil imekata.
2. Kuinua kuta
(Tofali, mchanga, maji, ufundi,mengineyo)
Almost 15 mil imekata
3. Kumwaga beam nondo 4 nyumba nzima
(Nondo,kokoto,mbao, misumari, maji,mchanga,cement,ufundi, mengineyo)
Almost 10 mil imekata
4. Kupinga kenchi(KUPAUA)
(Mbao,misumari,binding wire, ufundi,fisha bodi ,mengineyo)
Almost 5mil imekata
5. Kupiga bati (kuezeka)
(Bati geji 28 au 26, misumari, gundi, ufundi, mengineyo)
Almost 15mil imekata
BOMA LIMEISHA, ALMOST 45Mil IMESHAKATA
Finishing[emoji116]
6. Hizo dirisha (alminium+ Gril+rangi+mengineyo) zilizotandazwa apo usichukulie poa.
Kwa haraka haraka Ziko sio chini ya 15 apo@500,000.
Mpaka zinavoonekana apo Almost 8mil imekata
7.Bado milango (frem+Top+vitasa+rangi+ufundi, mengineyo)
Kwa haraka haraka haipungui milango 10 ilo jengo. Each 400,000.
Mpaka inavoonekana apo Almost 5mil imekata
8.Hizo tiles bila shaka Ni first grade (TAASISI),
zimetandazwa sakafuni mpaka ukutani.
Mpaka zinavoonekana (tiles,grout,strips,skating,ufundi,mengineyo) apo Almost 15mil imekata
9.Hujaja gharama ya lipu, (mchanga, cement, ufundi,maji,mengineyo)
almost 10 mil nje ndani imekata
10.skimming ya nyumba nzima nje ndani kwa white cement(Rangi, white cement,ufundi, mengineyo)
Almost 7mil imekata
11. Kupiga BANDARINGI kwa ajili ya gypsum bodi.
(Mbao,misumari,ufundi,mengineyo)
Almost 7mil imekata
12. Kupiga GYPSUM BOARD
(Gypsum bodi,skruu, faiba tepu,ufundi,mengineyo)
Almost 7 mil imekata
13. Kupiga RANGI NYUMBA NZIMA nje ndani
(Rangi,ufundi,mengineyo)
Almost 5 mil imekata
14. MFUMO WA UMEME (wayaringi)
Hapo lazima nyaya SINGLE CORE first grade zimetembea za kutosha, TRONIC switch,socket,m/switch,breaker,cutout, earthrod,conduit,boxes, process za KUOMBA MITA TANESCO,ufundi n.k.
Apo almost 10mil imekata
15. MFUMO WA MAJI
Nazungumzia vyooni,jikoni,bafuni na kwingineko.
(MaSink, tanki, mabomba, ufundi, mengineyo)
Almost 5mil lazima ikate.
16. SHIMO LA CHOO
(Kuchimba,tofali,cement,mchanga,nondo,kokoto, ufundi,waya meshi, mengineyo)
Almost 2mil imekata
FINISHING tu MPAKA HAPO, jumla 81mil IMESHAKATA.
Sasa ukijumlisha
Kujenga boma 45mil + finishing 81mil= jumla 126mil.
Unaweza kuongezea na 10 mil ya kupiga FINAL TOUCHES ili kunogesha zaidi nyumba.
Kama urembo kwenye nguzo, vibaraza mbalimbali, bustani, taa za urembo, mfumo wa CCTV camera, bango, n.k
ALMOST 136MILLION inakamilisha Ilo jengo.
My take:
SIDHANI KAMA Kuna upigaji hapa.
Na Kama upo Basi ni kwa kiwango kidogo Sana.
Tena inaweza kua kwa kwa vitu vidogo vidogoKama kulipana posho, overtime,chakula Cha saiti,usafiri n.k.
Vinaweza kukava icho kiwango kinachopelea (yaani 7million) kufikia icho kiwango halisi walichotaja Cha 143million.
Shukran [emoji120]
Finishing million 15 tu?? Bro hauko seriousHiyo nyumba tuseme kupaua ni milioni 10
Msingi na jamvi milion 10.
Kupandisha tofali juu milion 10
Finishing milion 15
Ziada milini 10.
Jumla milioni 55!
Magu yupo sahihi hapo pana upigaji!
Kwa hiyo hela milioni 143 ilitakiwa zitoke nyumba kama hizo 3
Kuna watu humu hawajawahi kujenga, au huwa wanajenga mtandaoni.Hiyo nyumba huwezi kupaua kwa 10 million mkuu labda utumie makuti.
Million 40 ujenge labda utumie tofali za kuchoma na ndipo ujenge Nyumba yenye ukubwa huu.
Ujenzi uko juu waungwana
Vyumba vingapi kwaniHii nyumba Ni kubwa mno,
Tena inatakiwa kua mil 150+ Kama ukiamua kuitendea haki upande wa material
HEBU TUPIGE HESABU SASA[emoji116]
1. MSINGI
(Kusafisha kiwanja, Kuchimba msingi,KIFUSI, tofali,cement, mchanga, maji,ufundi,mengineyo)
Almost 10mil imekata.
2. Kuinua kuta
(Tofali, mchanga, maji, ufundi,mengineyo)
Almost 15 mil imekata
3. Kumwaga beam nondo 4 nyumba nzima
(Nondo,kokoto,mbao, misumari, maji,mchanga,cement,ufundi, mengineyo)
Almost 10 mil imekata
4. Kupinga kenchi(KUPAUA)
(Mbao,misumari,binding wire, ufundi,fisha bodi ,mengineyo)
Almost 5mil imekata
5. Kupiga bati (kuezeka)
(Bati geji 28 au 26, misumari, gundi, ufundi, mengineyo)
Almost 15mil imekata
BOMA LIMEISHA, ALMOST 45Mil IMESHAKATA
Finishing[emoji116]
6. Hizo dirisha (alminium+ Gril+rangi+mengineyo) zilizotandazwa apo usichukulie poa.
Kwa haraka haraka Ziko sio chini ya 15 apo@500,000.
Mpaka zinavoonekana apo Almost 8mil imekata
7.Bado milango (frem+Top+vitasa+rangi+ufundi, mengineyo)
Kwa haraka haraka haipungui milango 10 ilo jengo. Each 400,000.
Mpaka inavoonekana apo Almost 5mil imekata
8.Hizo tiles bila shaka Ni first grade (TAASISI),
zimetandazwa sakafuni mpaka ukutani.
Mpaka zinavoonekana (tiles,grout,strips,skating,ufundi,mengineyo) apo Almost 15mil imekata
9.Hujaja gharama ya lipu, (mchanga, cement, ufundi,maji,mengineyo)
almost 10 mil nje ndani imekata
10.skimming ya nyumba nzima nje ndani kwa white cement(Rangi, white cement,ufundi, mengineyo)
Almost 7mil imekata
11. Kupiga BANDARINGI kwa ajili ya gypsum bodi.
(Mbao,misumari,ufundi,mengineyo)
Almost 7mil imekata
12. Kupiga GYPSUM BOARD
(Gypsum bodi,skruu, faiba tepu,ufundi,mengineyo)
Almost 7 mil imekata
13. Kupiga RANGI NYUMBA NZIMA nje ndani
(Rangi,ufundi,mengineyo)
Almost 5 mil imekata
14. MFUMO WA UMEME (wayaringi)
Hapo lazima nyaya SINGLE CORE first grade zimetembea za kutosha, TRONIC switch,socket,m/switch,breaker,cutout, earthrod,conduit,boxes, process za KUOMBA MITA TANESCO,ufundi n.k.
Apo almost 10mil imekata
15. MFUMO WA MAJI
Nazungumzia vyooni,jikoni,bafuni na kwingineko.
(MaSink, tanki, mabomba, ufundi, mengineyo)
Almost 5mil lazima ikate.
16. SHIMO LA CHOO
(Kuchimba,tofali,cement,mchanga,nondo,kokoto, ufundi,waya meshi, mengineyo)
Almost 2mil imekata
FINISHING tu MPAKA HAPO, jumla 81mil IMESHAKATA.
Sasa ukijumlisha
Kujenga boma 45mil + finishing 81mil= jumla 126mil.
Unaweza kuongezea na 10 mil ya kupiga FINAL TOUCHES ili kunogesha zaidi nyumba.
Kama urembo kwenye nguzo, vibaraza mbalimbali, bustani, taa za urembo, mfumo wa CCTV camera, bango, n.k
ALMOST 136MILLION inakamilisha Ilo jengo.
My take:
SIDHANI KAMA Kuna upigaji hapa.
Na Kama upo Basi ni kwa kiwango kidogo Sana.
Tena inaweza kua kwa kwa vitu vidogo vidogoKama kulipana posho, overtime,chakula Cha saiti,usafiri n.k.
Vinaweza kukava icho kiwango kinachopelea (yaani 7million) kufikia icho kiwango halisi walichotaja Cha 143million.
Shukran [emoji120]
Hawajawahi kujenga haoNaona watu wanaosema kupaua mil 10 finishing mil 15 hawajui maana yake. Labda wanazungumzia za uswahilini
Eti finishing mil15 daah[emoji1][emoji1] nyumba ya makuti hiyo labdaFinishing million 15 tu?? Bro hauko serious
Anza na wakoficha upumbavu wako
Kwani kamjengo kana vyumba vingapi? Tuanze hapo[emoji38][emoji38], million 143 iwe na reason basiKaribuni waumini wa majadiliano katika mjadala huu ambao mh Rais amesema angeweza kujenga nyumba hii kwa mill 43.
Kwa mtazamo wangu, licha ya kutoiona nyumba hii kwa ndani huwezi jenga chini ya million 90 na kama gharama za vifaa, mchanga na cement eneo husika zipo juu kufika mill 100 sioni ajabu kwa upande wangu.
Karibuni mafundi kwa majadiliano. View attachment 1514090
Ni kweli mkuu,Tatizo wengi wetu hatuna utaratibu wa ku record gharama za ujenzi kwa kuogopa tutaumia zaidi.