Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Ujenzi: Je, hii nyumba ya TAKUKURU Dodoma inafikia thamani tajwa ya Tsh. 143 milioni?

Gharama iliyotumika ni sahihi kabisa ,sababu kuna vitu vya ndani kama vile mtandao wa simu,internet na CCTV camera hapo sio chinii ya milion 40,Bado kuna viyoyozi na umeme.watu wanaongea tu ,mfano sisi tunaojenga kijengo kidogo tu cha tawi la benki ina kugharimu zaidi ya ml 350 hadi 400 ila watu wasiojua masuala ya ujenzi watajua kwamba pesa imepigwa hapo,mzee wetu tunajua kipindi hiki cha kampeni anataka kukosoa tu ila ukweli anaujua
Kweli kabisa[emoji106]
 
*Tofari 5000×1500= 7, 500, 000Tsh

*kokoto na mchanga=2, 000, 000Tsh

*Nondo 100×25000=2, 500, 000Tsh

*ciement mifuko 200×15000=3, 000, 000Ts

*Mabati 80(Gauge 28)
75×33000= 2, 640, 000 Tsh

* mbao= 3, 100, 000Tsh

*madirisha na milango (complete)=
16, 000, 000Tsh

*Tiles +gypsum+rangi=
7, 000, 000Tsh

*maji(pamoja na masinki ya jikoni, chooni) + umeme= 7, 000, 000Tsh

*maitaji madogo madogo
1, 000, 000Tsh
* ufundi Tsh. 10, 000, 000/=


Jumla Tsh 60, 000, 000/=
 
Hii nyumba Ni kubwa mno,
Tena inatakiwa kua mil 150+ Kama ukiamua kuitendea haki upande wa material

HEBU TUPIGE HESABU SASA[emoji116]

1. MSINGI
(Kusafisha kiwanja, Kuchimba msingi,KIFUSI, tofali,cement, mchanga, maji,ufundi,mengineyo)
Almost 10mil imekata.

2. Kuinua kuta
(Tofali, mchanga, maji, ufundi,mengineyo)
Almost 15 mil imekata

3. Kumwaga beam nondo 4 nyumba nzima
(Nondo,kokoto,mbao, misumari, maji,mchanga,cement,ufundi, mengineyo)
Almost 10 mil imekata

4. Kupinga kenchi(KUPAUA)
(Mbao,misumari,binding wire, ufundi,fisha bodi ,mengineyo)
Almost 5mil imekata

5. Kupiga bati (kuezeka)
(Bati geji 28 au 26, misumari, gundi, ufundi, mengineyo)
Almost 15mil imekata

BOMA LIMEISHA, ALMOST 45Mil IMESHAKATA

Finishing[emoji116]

6. Hizo dirisha (alminium+ Gril+rangi+mengineyo) zilizotandazwa apo usichukulie poa.
Kwa haraka haraka Ziko sio chini ya 15 apo@500,000.
Mpaka zinavoonekana apo Almost 8mil imekata

7.Bado milango (frem+Top+vitasa+rangi+ufundi, mengineyo)
Kwa haraka haraka haipungui milango 10 ilo jengo. Each 400,000.
Mpaka inavoonekana apo Almost 5mil imekata

8.Hizo tiles bila shaka Ni first grade (TAASISI),
zimetandazwa sakafuni mpaka ukutani.
Mpaka zinavoonekana (tiles,grout,strips,skating,ufundi,mengineyo) apo Almost 15mil imekata

9.Hujaja gharama ya lipu, (mchanga, cement, ufundi,maji,mengineyo)
almost 10 mil nje ndani imekata

10.skimming ya nyumba nzima nje ndani kwa white cement(Rangi, white cement,ufundi, mengineyo)
Almost 7mil imekata

11. Kupiga BANDARINGI kwa ajili ya gypsum bodi.
(Mbao,misumari,ufundi,mengineyo)
Almost 7mil imekata

12. Kupiga GYPSUM BOARD
(Gypsum bodi,skruu, faiba tepu,ufundi,mengineyo)
Almost 7 mil imekata

13. Kupiga RANGI NYUMBA NZIMA nje ndani
(Rangi,ufundi,mengineyo)
Almost 5 mil imekata

14. MFUMO WA UMEME (wayaringi)
Hapo lazima nyaya SINGLE CORE first grade zimetembea za kutosha, TRONIC switch,socket,m/switch,breaker,cutout, earthrod,conduit,boxes, process za KUOMBA MITA TANESCO,ufundi n.k.
Apo almost 10mil imekata

15. MFUMO WA MAJI
Nazungumzia vyooni,jikoni,bafuni na kwingineko.
(MaSink, tanki, mabomba, ufundi, mengineyo)
Almost 5mil lazima ikate.

16. SHIMO LA CHOO
(Kuchimba,tofali,cement,mchanga,nondo,kokoto, ufundi,waya meshi, mengineyo)
Almost 2mil imekata

FINISHING tu MPAKA HAPO, jumla 81mil IMESHAKATA.

Sasa ukijumlisha
Kujenga boma 45mil + finishing 81mil= jumla 126mil.

Unaweza kuongezea na 10 mil ya kupiga FINAL TOUCHES ili kunogesha zaidi nyumba.

Kama urembo kwenye nguzo, vibaraza mbalimbali, bustani, taa za urembo, mfumo wa CCTV camera, bango, n.k

ALMOST 136MILLION inakamilisha Ilo jengo.


My take:
SIDHANI KAMA Kuna upigaji hapa.
Na Kama upo Basi ni kwa kiwango kidogo Sana.

Tena inaweza kua kwa kwa vitu vidogo vidogoKama kulipana posho, overtime,chakula Cha saiti,usafiri n.k.

Vinaweza kukava icho kiwango kinachopelea (yaani 7million) kufikia icho kiwango halisi walichotaja Cha 143million.

Shukran [emoji120]
Hapo juu[emoji115] Tena nmesahau pia

-gharama za kufunga mifumo ya SIMU (TTCL) ofisini,

-gharama za KUFUNGA mifumo ya INTERNET (WAN) ofisini.

-gharama za AIR CONDITION ofisini.

-gharama za CCTV camera.

-gharama za Electric fence.

Hapo unaongelea sio chini ya 10mil lazima ikatike tena..
 
*Tofari 5000×1500= 7, 500, 000Tsh

*kokoto na mchanga=2, 000, 000Tsh

*Nondo 100×25000=2, 500, 000Tsh

*ciement mifuko 200×15000=3, 000, 000Ts

*Mabati 80(Gauge 28)
75×33000= 2, 640, 000 Tsh

* mbao= 3, 100, 000Tsh

*madirisha na milango (complete)=
16, 000, 000Tsh

*Tiles +gypsum+rangi=
7, 000, 000Tsh

*maji(pamoja na masinki ya jikoni, chooni) + umeme= 7, 000, 000Tsh

*maitaji madogo madogo
1, 000, 000Tsh
* ufundi Tsh. 10, 000, 000/=


Jumla Tsh 60, 000, 000/=
Hebu lete mchanganuo wako mkuu.

Yaani
Hiyo hiyo mifuko 200 ya simenti ndo hiyo hiyo

-Ujengee msingi.
-umwagie jamvi
-uinulie kuta mpaka juu
-ujengee SHIMO la choo na kufunika na mfuniko wa zege
-umwage linta
-upige lipu
-upige rough floor
-ubandikie tiles sakafuni na ukutani kuanzia chooni,vyumbani mpaka kuta za nje.

AISEE,
HEBU KUA SIRIASI BASI MKUU [emoji851]
 
*Tofari 5000×1500= 7, 500, 000Tsh

*kokoto na mchanga=2, 000, 000Tsh

*Nondo 100×25000=2, 500, 000Tsh

*ciement mifuko 200×15000=3, 000, 000Ts

*Mabati 80(Gauge 28)
75×33000= 2, 640, 000 Tsh

* mbao= 3, 100, 000Tsh

*madirisha na milango (complete)=
16, 000, 000Tsh

*Tiles +gypsum+rangi=
7, 000, 000Tsh

*maji(pamoja na masinki ya jikoni, chooni) + umeme= 7, 000, 000Tsh

*maitaji madogo madogo
1, 000, 000Tsh
* ufundi Tsh. 10, 000, 000/=


Jumla Tsh 60, 000, 000/=
Hebu lete huo mchanganuo wa tilez za millioni 7 nyumba Kama hii.

Aisee Kuna watu mnachekesha Sana[emoji1]
 
*Tofari 5000×1500= 7, 500, 000Tsh

*kokoto na mchanga=2, 000, 000Tsh

*Nondo 100×25000=2, 500, 000Tsh

*ciement mifuko 200×15000=3, 000, 000Ts

*Mabati 80(Gauge 28)
75×33000= 2, 640, 000 Tsh

* mbao= 3, 100, 000Tsh

*madirisha na milango (complete)=
16, 000, 000Tsh

*Tiles +gypsum+rangi=
7, 000, 000Tsh

*maji(pamoja na masinki ya jikoni, chooni) + umeme= 7, 000, 000Tsh

*maitaji madogo madogo
1, 000, 000Tsh
* ufundi Tsh. 10, 000, 000/=


Jumla Tsh 60, 000, 000/=
Fake hesabu
 
Hivi ukiizunguka nyumba unaweza kujua hiyo Bati ni gauge ngapi?
 
Hebu lete huo mchanganuo wa tilez za millioni 7 nyumba Kama hii.

Aisee Kuna watu mnachekesha Sana[emoji1]
Jamaa mwongo sana hata kama ni nyumba yako kwa hesabu zake ni za uwongo zote kuanzia nondo mpaka mwisho sina
Ujenzi jaman ni changamoto sana na pia nyumba za raia nyingi zipo chini ya viwango
 
Ofisi nyeti Kama hii haiwezi kukosa Underground bunker au STRONG vault.

Hizi gharama naona Ni halisi.
Mkuu hazina hayo makitu unayosema. Hiyo ofisi wilaya flani imejengwa karibu na kwangu hazizidi mita 15 na fundi aliyekuja kujenga akachukua na mafundi wa mtaani wasaidie kujenga. Hizo ofisi zimejengwa kwa material ya kawaida.
 
Gharama iliyotumika ni sahihi kabisa ,sababu kuna vitu vya ndani kama vile mtandao wa simu,internet na CCTV camera hapo sio chinii ya milion 40,Bado kuna viyoyozi na umeme.watu wanaongea tu ,mfano sisi tunaojenga kijengo kidogo tu cha tawi la benki ina kugharimu zaidi ya ml 350 hadi 400 ila watu wasiojua masuala ya ujenzi watajua kwamba pesa imepigwa hapo,mzee wetu tunajua kipindi hiki cha kampeni anataka kukosoa tu ila ukweli anaujua
Hakuna cctv wala viyoyozi Mh. Rais yupo sawa.
 
Mkuu hazina hayo makitu unayosema. Hiyo ofisi wilaya flani imejengwa karibu na kwangu hazizidi mita 15 na fundi aliyekuja kujenga akachukua na mafundi wa mtaani wasaidie kujenga. Hizo ofisi zimejengwa kwa material ya kawaida.
Sawa ila kwenye 90m itaenda tu
 
Msisahau na contractor lazime aweke faida yake hapo kama 30% ya gharama za nyumba yenyewe, msipige mahesahu ya material na mafundi wenu vinega
 
Back
Top Bottom