Ujenzi maghorofa ya Magomeni kuanza. TBA waahidi kuukamilisha kwa wakati

Sheria ya manunuzi imekufa??? siioni wapi procurement imefanyika, tuendako ni kugumu.
Nenda PPRA, ukapate unayohitaji, huyu mleta mada kaleta taarifa kwa ufupi kinachoendelea, maswala mengine nenda kachimbe sehemu stahiki ujiridhushe
 
Lupyee....alietaja humu mambo ya chama ni nani...??
 
Nadhani ilishafanyiwa marekebisho, hata hivyo serikali ina wataalamu wake wenye uwezo wa kusimamia na kujenga kwa kuwalipa per diem/allowances kwa nini waingie gharama ya mabilioni ya ziada ilhali kuna watu inawalipa mishahara

Hiyo sheria imefanyiwa marekebisho lini? Tuambie hiyo sheria iko wapi nasi tuipitie. Kwa conlusion yako hapo juu unaeleza kuwa serikali ina wave taratibu na sheria za manunuzi ikiamua, na hii ni sahihi?!
 
Hiyo sheria imefanyiwa marekebisho lini? Tuambie hiyo sheria iko wapi nasi tuipitie. Kwa conlusion yako hapo juu unaeleza kuwa serikali ina wave taratibu na sheria za manunuzi ikiamua, na hii ni sahihi?!
Kuna kitu wahandisi na wahasibu wanaita "forced account"!Hapa wahasibu na watu wa manunuzi huitumika kuagiza materials kama ilivyo kwenye makadirio ya wahandisi na ujenzi hufanywa na vibarua na mitambo ya serikali chini ya usimamizi wa wahandisi wa serikali!Mfano ni kama daraja la ruvu likikatika huwezi kufuata sheria ya manunuzi ili kujenga daraja mbadala, au kama gharama ya kujenga structure kwa wakandarasi amabyo wame bid ni kubwa kuliko makadirio ya mhandisi na pesa iliyotengwa napo pia "forced account" hutumika!
 
hivi kama unakumbuka waliahidiwa kuuziwa kwa bei rahisi ndo hayo maghorofa watanunua kweli hasa ukiangalia hali ya wale waliokuwa wanalalamika kwenye ule mkutano
 
Sheria ya manunuzi imekufa??? siioni wapi procurement imefanyika, tuendako ni kugumu.

sheria ya manunuzi ni ya kinafki ndiko serikali inapomalizia pesa, zetu za kodi , na 10% za viongozi na huko ndiko upanuzi, wa Dar ulikojengwa kwa 600b,
biki ina ya 200 inauzwa kwa 96usd ,
 
Reactions: MC7

Nijuavyo mimi kuna 'emergency' procurement kwa situation kama hiyo uliyoitaja hapo juu, na zaidi method inayotumika kwenye nature ya namna hiyo ni 'single source procurement', na hiyo ina procedure zake nenda kwenye msaafu utakuta vifungu kwenye sheria za manunuzi utaikuta, nayo haiko bwerere ina utaratibu wake wa kutosha ki emergency hivyo hivyo. PPRA hawakuachi bure bila kukamilisha hizo taratibu ndugu.
 
Mafisadi Chadema watajinyonga kwa wivu wao leo miaka 20 hata ofisi imewashinda wamepanga makaburini ufipa!!!.

Mungu akubaliki sana Magufuli
WANAKUFA HUKO WALIKO
 
Nyumbu wanaona kitu cha maana kutoa mifuko 400 badala ya hii issue kweli akili tunatofautiana
HALAFU WALIDANGANYWA KUWA LOWASA ANATAKA KUJENGA NYUMBA 2000
 
HAKIKA MAGUFULI NI MTU WA VITENDO ZAIDI
 
et serikali haiwezi kuwa client hivi we hata client unajua maana yake kweli, au niambie ni wapi au kifungu gani serikali haiwezi kuwa client au unasomasoma tu hat huelewi maana yake
 
Mda wa kaz kaz tu.@Thanks again MAGUFULI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…