Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
okay ni hivi serikali ni principal hlfu TBA ni agency, kwhy serikali imedelegate power kwa agency ambae ndio TBA, kwhy TBA ndio ana-act kama client, pia ukisoma sharia ya manunuzi utaona instutite yeyete ya serikali au public entity inapaswa kuifuta sharia ya manunuzi , lakini sharia hiyo imeenda mbali na kuruhusu PE yeyto kuwa consultant kama ina uwezo huo, sasa kaka sijui umeleeewaNinafahamu kwa kiasi contract law. Maana ya agency kwenye sheria sio kama inavyotumika kwa wakala wa serikali. Inapokuwa wakala wa serikali inakuwa kama extended arm ya serikali
Nahisi ndio imewakwamisha CHADEMA kujenga Ofisi za Makao Makuu.Sheria ya manunuzi imekufa??? siioni wapi procurement imefanyika, tuendako ni kugumu.
mbona unaandika ukiwa umejaa furaha lenye bashasha?huu mradi kama umebuma vile.. mbwembwe nyingi vitendo hamna
hapana naulizia tu kama raia mwema na mfaidika wa ule mradimbona unaandika ukiwa umejaa furaha lenye bashasha?
basi punguza unafiki na nenda site sio kuhukumu ukiwa nyuma ya keyboard kama Manyumbu ya Ufipahapana naulizia tu kama raia mwema na mfaidika wa ule mradi
nimepita site punde nimeona kama palivyo siku zote kuna milima ya mchanga bila ya harakati zozote za ujenzi.. kimsingi ndio njia ninayopitabasi punguza unafiki na nenda site sio kuhukumu ukiwa nyuma ya keyboard kama Manyumbu ya Ufipa
WASHAANZA KUJENGA MAGOMENI......Si watajenga TBA? acha basi kwanza hiyo 'keshokutwa' ifike ili wakitoka hosteli za UDSM ndipo wahamie hapo!