Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Sheria ya manunuzi imekufa??? siioni wapi procurement imefanyika, tuendako ni kugumu.
Watu kama ninyi hatuwataki hii nchi, raisi wa JMTZ yuko juu ya Sheria, kama hautaki hama nchi au kunywa sumu!
Mradi utaendelea, utakamilika na Watanzania kunufaika nao, mambo yako ya Sheria mtafute Tundu lisu mkajadiliane huko sisi tunataka nyumba za kuishi na ndio muhimu kwetu!