Frey Cosseny
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 1,984
- 1,405
Akili hasi hizinyumba za magomeni mlizoahidiwa na SIZONJE zimebuma...
hakuna ujenzi unaoendelea. na wananchi mlitegemea mkae hapo miaka mitano bureeee.
kumbe ilikuwa zuga tu hakuna cha ujenzi pale ni mashimo tu yamebakia.