Dr Faustine Ndugulile
MP Kigamboni
- Jul 16, 2012
- 251
- 439
Ni mradi mzuri kwa Dr.Dau kustaafu nao hapo atakula kiulaini.Dr.Dau kaekeza sana kigamboni ndiyo maana hata daraja ni muhimu sana kwake kuliko
Binafsi ninawashukuru sana NSSF kwa uwekezaji mkubwa katika Jimbo la Kigamboni. Ujenzi wa Daraja, ujenzi wa nyumba 600 za Toangoma, mradi wa Azimio na ule utakaoanza hivi karibuni eneo la Dungu ni mchango mkubwa sana kwa wana-Kigamboni.
Nitakuwa mchoyo wa Fadhila kama sitawapongeza NHC pia kwa uwekezaji wa kasi maeneo ya Kibada na hivi karibuni kwenye eneo la Mwongozo.Ukweli lazima tuuseme na tutoe pongezi panapostahili.