Hikma
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 497
- 415
Asante Mh: Mbunge wangu,
Mimi ni mkazi wa Kigamboni na nina uwekezaji wa ardhi kwenye maeneo mbalimbali ya kigamboni.
Nina mpango wa kufanya uwekezaji wa hela nyingi kiasi Mwasonga, je kuna hatari yeyote ya kuniua kwa presha kulingana na mipango ya serikali[?
Pili tumeona kweli umeme umefika Kimbiji na maendeleo ni ya kasi, je na Mwasonga mipango ipo vipi?
Natanguliza Shukrani
QUOTE=Dr F. Ndugulile;8803138]Baba Deo! Tumefikisha umeme Kimbiji. Kimbiji inakuwa kwa kasi hususan baada ya Ujenzi wa Kiwanga cha simenti.
Wafanyakazi wa Kiwanda hiki wanaishi Kisota na hakuna sehemu nzuri za kula kwa watumishi.
Nitoe rai kwa wadau kuwekeza kwenye makazi na huduma nyingine za muhimu kwa jamii. Kimbiji inakuwa kwa kasi sana. Tembeleeni muone.[/QUOTE]
Mimi ni mkazi wa Kigamboni na nina uwekezaji wa ardhi kwenye maeneo mbalimbali ya kigamboni.
Nina mpango wa kufanya uwekezaji wa hela nyingi kiasi Mwasonga, je kuna hatari yeyote ya kuniua kwa presha kulingana na mipango ya serikali[?
Pili tumeona kweli umeme umefika Kimbiji na maendeleo ni ya kasi, je na Mwasonga mipango ipo vipi?
Natanguliza Shukrani
QUOTE=Dr F. Ndugulile;8803138]Baba Deo! Tumefikisha umeme Kimbiji. Kimbiji inakuwa kwa kasi hususan baada ya Ujenzi wa Kiwanga cha simenti.
Wafanyakazi wa Kiwanda hiki wanaishi Kisota na hakuna sehemu nzuri za kula kwa watumishi.
Nitoe rai kwa wadau kuwekeza kwenye makazi na huduma nyingine za muhimu kwa jamii. Kimbiji inakuwa kwa kasi sana. Tembeleeni muone.[/QUOTE]