Iconoclastes
JF-Expert Member
- May 26, 2014
- 4,091
- 2,511
Pia ukumbuke yakuwa Ukiwa Dar unaweza tumia usafiri wa majini pia
Kuitembelea miji ya
Dar to Bagamoyo
Dar to Tanga
Dar to Zanzibar
Na City center to Mbagala
Itakayo anza hivi karibuni
Usafiri upo
MORE DAR-EISH-SALAAM SHRUBURBS!
Duh!!!
Hahaha unaleta ushamba weweLa, hili BRT jambo dogo mno. Ikiwa tulifanikiwa kujenga hizi hapa ambazo ni kubwa na ndefu zaidi ya hiyo Dar BRT na mengine chini ya miaka mitano, sasa BRT tushindwe kwa nini?
Na mengine mengi. Dar BRT is a shadow in comparison to all that in Nairobi.
Sasa kuhusu hiki hapa......
Na nimekuuliza, je hizo BRT husafirisha watu wa ngapi kwa siku ukilinganisha na matatu? Ni watu wachache sana, ukizingatia kuwa watu takriban zaidi ya 800,000 huingia na kutoka kati kati mwa jiji hilo karibu kila siku. Na huduma zipi hawa hutegemea?
Nairobi pia kuna hili hapa
Treni hizi husafirisha maelfu ya watu kuingia na kutoka kati kati mwa mji wa Nairobi, lakini kusema kweli bado hazitoshi.
Hivyo kuwabidi maelfu ya watu kugeukia kutmia mabasi ambazo ziko nyingi na bei nafuu.
Nimesema na ninarudia, ukizingatia ya kuwa Nairobi ina barabara mengi makubwa zaidi ya Dar, inamaanisha Nairobi imeendelea zaidi ya Dar in terms of public transport.
Naona unahamisha mada au!!?
La, hili BRT jambo dogo mno. Ikiwa tulifanikiwa kujenga hizi hapa ambazo ni kubwa na ndefu zaidi Ya hiyo Dar BRT na mengine chini ya miaka mitano, sasa BRT tushindwe kwa nini?
Na mengine mengi. Dar BRT is a shadow in comparison to all that in Nairobi.
Sasa kuhusu hiki hapa......
Na nimekuuliza, je hizo BRT husafirisha watu wa ngapi kwa siku ukilinganisha na matatu? Ni watu wachache sana, ukizingatia kuwa watu takriban zaidi ya 800,000 huingia na kutoka kati kati mwa jiji hilo karibu kila siku. Na huduma zipi hawa hutegemea?
Nairobi pia kuna hili hapa
Treni hizi husafirisha maelfu ya watu kuingia na kutoka kati kati mwa mji wa Nairobi, lakini kusema kweli bado hazitoshi.
Hivyo kuwabidi maelfu ya watu kugeukia kutmia mabasi ambazo ziko nyingi na bei nafuu.
Nimesema na ninarudia, ukizingatia ya kuwa Nairobi ina barabara mengi makubwa zaidi ya Dar, inamaanisha Nairobi imeendelea zaidi ya Dar in terms of public transport.
Dar looks Urgly in every way... BRT [emoji38] [emoji38] [emoji38] such an Urgly investment.BTW MOTOCHINI, ati hii ndio BRT unaturingia humu?
Hicho kikitu kwelio unaweza kicompare na hizi barabara za Kenya? Bwa ha ha ha ha!!!!!
Hiyo picha ya kwanza sio Nairobi..La, hili BRT jambo dogo mno. Ikiwa tulifanikiwa kujenga hizi hapa ambazo ni kubwa na ndefu zaidi ya hiyo Dar BRT na mengine chini ya miaka mitano, sasa BRT tushindwe kwa nini?
Na mengine mengi. Dar BRT is a shadow in comparison to all that in Nairobi.
Sasa kuhusu hiki hapa......
Na nimekuuliza, je hizo BRT husafirisha watu wa ngapi kwa siku ukilinganisha na matatu? Ni watu wachache sana, ukizingatia kuwa watu takriban zaidi ya 800,000 huingia na kutoka kati kati mwa jiji hilo karibu kila siku. Na huduma zipi hawa hutegemea?
Nairobi pia kuna hili hapa
Treni hizi husafirisha maelfu ya watu kuingia na kutoka kati kati mwa mji wa Nairobi, lakini kusema kweli bado hazitoshi.
Hivyo kuwabidi maelfu ya watu kugeukia kutmia mabasi ambazo ziko nyingi na bei nafuu.
Nimesema na ninarudia, ukizingatia ya kuwa Nairobi ina barabara mengi makubwa zaidi ya Dar, inamaanisha Nairobi imeendelea zaidi ya Dar in terms of public transport.
Hehehe, what's wrong with those roofs??Tazameni Dar jameni! It looks soo......
Look at all those rusty roofs, as far as the eyes can see!
Tunazungumzia Usafiri wa Umma ndani ya jiji sio treni ya Nairobi to Mombassa wacheni ujinga^^^ kwa hivo hizo alizopost zipo mashambani? Bongolala zingine haziezi saidika.