kajekudya
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 2,466
- 4,916
Duu we Mlozi huyu mzee si umloge tu, maana si kwa chuki hii teh.teh teh. Imefika point hadi unapoteza reputation yako humu. Mseven alimuomba Magufuli wakutane, Magufuli akakubali, akampa Mwaliko na kwa siku ya leo.Yanaitwa masimango ya kisirisiri
Tatizo liko wapi Mzee, unashabikia hadi vitu vya kipuuzi.
Kama vipi mloge, we si mlozi!?vinginevyo hadi 2025 utakuwa umejinyonga Mzee, maana si kwa chuki hiyo😂😂😂😂😂😂😂.
Mpare naona nawe mirija imebana umeamua kuingia front😂😂😂😂😂😂