Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Mkuu jiongeze,vinginevyo watakuita kilaza.
Wewe ulisoma ABC ya mkataba?
Umesahau kuwa wadau wa mkataba ndio wanafanikisha mkataba?
Na hujui katika mkataba kuna wanauza na wanaonunua?
Elimu mkuu achana na porojo.
Mkuu hapa naona tu furushi la maneno ya kiswahili, yenye koma,nukta na alama za kuuliza. Sioni lolote jipya kwenye maelezo yako.