Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Mkuu jiongeze,vinginevyo watakuita kilaza.
Wewe ulisoma ABC ya mkataba?
Umesahau kuwa wadau wa mkataba ndio wanafanikisha mkataba?
Na hujui katika mkataba kuna wanauza na wanaonunua?
Elimu mkuu achana na porojo.

Mkuu hapa naona tu furushi la maneno ya kiswahili, yenye koma,nukta na alama za kuuliza. Sioni lolote jipya kwenye maelezo yako.
 
Halafu nani kamualika nani? Mmoja anasema amepigiwa simu ili wamalizie mradi uanze, mwingine anasema amealikwa kwa sababu mwenzie anatafuta kura na yeye anamwombea kwa Mungu na wananchi waipe kura CCM!
Enhee! Hii nini aisee
 
Vile vile anakwenda kum update Mheshiwa Rais wetu juu ya bomba la mafuta baada ya Rais Museveni kukutana na CEO wa Total Patrick Pouyane na kuwezeshwa kusainiwa document muhimu kwa ajili ya kufikia Final Investment Decision (FID) ya uwekezaji katika bomba hilo.

Halafu yule mgombea wa Mbowe anasema Total inaondoka Tanzania ! Aibuuu ! No research no right to speak !

Wanasema wanataka haki ili watukane viongozi, na mfano ulikuwa kenya,
Kasa Kenyata pia kawaweka ndani baadhi ya wabunge waliomtukana,
Mbona chadema hawa kulalamika kuwa kenyata anabana haki ya watu?

Chadema wanataka haki ya kutukana hakuna lingine.
 
Kwani huko kwenye box la kura kura huwa mnashinda au mnatangazwa washindi? Mngekuwa mnashinda mngelazimisha kupita bila kupingwa? Jamii ipi, hii inayoshurutishwa kuikubali ccm?

Huku mitandaoni ndio sehemu watu wanafunguka ukweli ambao ni hatari kuuzungumza huko mitaani. Huko mtaani mnajivunia watu wengi wenye ufinyu wa taarifa nothing else. Kwani huyo mkuu wa nchi anapangiwa cha kuzungumza kwa utashi wetu, au ni sheria za kimataifa zinaagiza hivyo?

Wakati ww unajivunia ccm kutangazwa washindi, sisi tunajua kabisa kuwa ccm huwa haishindi bali umiliki wa vyombo vya dola ndio huwabeba. Na udhibitisho kuwa ccm imekata pumzi, ni ww kuzunguka hapa bila kujibu hoja ya tofauti ya hii episode ya leo, na ile ya 2017.
Kwa hoja zako hapo juu 🖕, naomba nikuulize swali moja tu:-
Kwanini mnashiriki kwenye uchaguzi ambao mnajua kabisa kuwa hamtshinda..?
 
Hahaha kaja kumfanyia Magufuli promo, hakuna chochote cha maana.
Hata hakujipanga kabisa.
 
M7 ni dictator mzoefu, safari hii afadhali kufa kuliko ukhnith
 
Kagame kagoma kutumika Uhuru kagoma Burundi wamegoma na mseveni aache kuja kichwa kichwa maana nchi zingine kunyamaza Kuna maana kubwa sana.
 
Hata mie naitafuta sijui kaiweka wapi?

Itafute katika dimension ya kijeshi na decision za kijeshi huwa ni one way no matter what or regardless of whatever threats or risks associated in the process.
 
Kwa hoja zako hapo juu [emoji867], naomba nikuulize swali moja tu:-
Kwanini mnashiriki kwenye uchaguzi ambao mnajua kabisa kuwa hamtshinda..?
Kwanini mnaenda kupiga Kampeni Lindi huku mkidanganya eti zile bil. 20 za korosho mlishazilipa zote ila tu ni viongozi wa vyama vya ushirika ndio 'walizipiga' juu kwa juu.
 
Kwani huko kwenye box la kura kura huwa mnashinda au mnatangazwa washindi? Mngekuwa mnashinda mngelazimisha kupita bila kupingwa? Jamii ipi, hii inayoshurutishwa kuikubali ccm?

Huku mitandaoni ndio sehemu watu wanafunguka ukweli ambao ni hatari kuuzungumza huko mitaani. Huko mtaani mnajivunia watu wengi wenye ufinyu wa taarifa nothing else. Kwani huyo mkuu wa nchi anapangiwa cha kuzungumza kwa utashi wetu, au ni sheria za kimataifa zinaagiza hivyo?

Wakati ww unajivunia ccm kutangazwa washindi, sisi tunajua kabisa kuwa ccm huwa haishindi bali umiliki wa vyombo vya dola ndio huwabeba. Na udhibitisho kuwa ccm imekata pumzi, ni ww kuzunguka hapa bila kujibu hoja ya tofauti ya hii episode ya leo, na ile ya 2017.
Kwa kazi anayofanya Rais na wasaidizi wake hakuna sababu yoyote ya kucheza faulo kwenye uchaguzi.

Ukaribu wa Rais na anaowaongoza ni kampeni tosha kabisa, Tanzania halisi ni tofauti na hizi siasa za pinga pinga za mitandaoni.
 
Back
Top Bottom