[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Isijekuwa Jiwe ameshaingia mfukoni maana hachelewi. Nimemsikia Mu7akisma hiyo bilioni 14 ni kurumure...Yani wanaanza kulima shamba so wanaingia mfukoni. Kama ulimsikiliza vizuri hadi yule mhaya akatafsiri maana ya kirumure
Na bilioni 14 siyo Shs. Ni madolari
Wale kijani waliojaa pale wamefata nini
Hizi imani zenu za CCM kukata pumzi ndio huwa zinawapelekea kusema mnaibiwa kura!!.Kasoma mlimani so what? Kwanza alichokifanya Museveni ni kosa kidiplomasia. Hairuhusiwi mtu kutoka nje ya nchi kuja kuingilia siasa za ndani ya nchi nyingine. Nilijua lazima utatepeta tu kwenye hii hoja. Na sio ww peke yako ni wanaccm wote mmeshapanick. Kwasasa wapinzani waanze kutegemea ushindani wa kikatili, maana tayari ccm imekata pumzi mpaka wanamuita rais wa nchi nyingine kuja kuwaombea kura.
Birds of the same feather fly together.Nimemsikia Rais Mseveni akimuombea Kura Rais Magufuli na ccm kuwa itapatapa ushindi.
Hili linaweza kuchukuliwa vibaya na wafuasi wa vyama pinzani japo ziara yake ilikuwa ya kikazi na yenye faida kubwa kwa Tanzania lakini hili la uchama litaondoa mazuri yote aliyo kuja nayo.
Lakini pia ni dhahiri Rais Museveni kuwa mwana ccm halisi baada ya kuomba nyimbo za zamani za Tanu enzi hizo akiwa Tanzania.
umeongea kwa uchungu sana dah,lakin ndio hivyo project inaanza
Hata mie naitafuta sijui kaiweka wapi?Hatari hapo iko wapi?
Wewe mpuuzi, sikiliza ijumaa M7 alisema nini kuhusu kumuomba JPM? Endelea hapaSina tatizo na kuahirishwa na ninakubaliana na hilo kabisa. Je kuna haja gani ya kukusanya kundi lile lile la viongozi, kuweka mkataba ambao ulikuwa umeahirishwa? Shaka yangu ni hii, wakati ule Tanga wazungu wa Total walikuwepo, na mradi haukwenda kama tulivyoaminishwa, ila leo igizo ni lile lile bila hao wazungu. Ninachoona hapo ni wanaccm ambao hawana hata kumi ya kutoa kwenye huo mradi, huku wazungu wenye pesa hawako kwenye hizo hii episode II. Naona ni kampeni zaidi.
Ninasema hivyo maana nina uzoefu na huyo Museveni. Aliwahi kupewa sehemu ya bandari ya Tanga aendeleze lakini hakufanya hivyo, hilo bomba alishakubali kulipitisha Kenya lakini kabidili porojo kalileta Tanzania! Kuna mengi ila leo sio mada, lakini huyo Museveni ni tapeli kama matapeli wengine, na ndio maana naona kwa sasa ni kampeni zaidi kuliko kinachoongelewa.
Aliyezikwa kafufuka?
Museven nadhani hatokuja tena tz kichwa kichwa kaitwa ajiri ya kampeni kakutana na mambo ya bomba la mafuta hajamini alichokiona hii ndio tz
Vipi unaomba tiketi ya pipa kwa mlango wa nyuma? Njoo Dar hapa nikuajiri kama huna kazi?We myonge utanufaikaje?