Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeBaada ya uchaguzi, jamaa lazima akimbie nchi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeBaada ya uchaguzi, jamaa lazima akimbie nchi.
Unalipwa buku 7 na pole poleVipi unaomba tiketi ya pipa kwa mlango wa nyuma? Njoo Dar hapa nikuajiri kama huna kazi?
Na bado Raila Odinga na yeye atakuja kumuimbea kura JPM ndo mjue kwamba JPM ni mfano wa kuigwa AfrikaNimemsikia Rais Mseveni akimuombea Kura Rais Magufuli na ccm kuwa itapatapa ushindi.
Hili linaweza kuchukuliwa vibaya na wafuasi wa vyama pinzani japo ziara yake ilikuwa ya kikazi na yenye faida kubwa kwa Tanzania lakini hili la uchama litaondoa mazuri yote aliyo kuja nayo.
Lakini pia ni dhahiri Rais Museveni kuwa mwana ccm halisi baada ya kuomba nyimbo za zamani za Tanu enzi hizo akiwa Tanzania.
Hizi imani zenu za CCM kukata pumzi ndio huwa zinawapelekea kusema mnaibiwa kura!!.
Muibiwe kura kwa substance ipi mliyonayo mbele ya jamii!!.
Siasa za jamii forum na twitter ni tofauti kabisa na zile za field na huwa hamjifunzi chochote.
Huwezi kumpangia mkuu wa nchi lipo aongee na kipi asiongee yule ni rais sio admin wa kundi la whatsapp.
Wewe mpuuzi, sikiliza ijumaa M7 alisema nini kuhusu kumuomba JPM? Endelea hapa
Njaa inakusumbua tu, huna lolote.Unalipwa buku 7 na pole pole
Idumu EAC ...kudumu chama cha mapinduziViongozi wanaojifahamu wanajiepusha sana na siasa za ndani ya nchi nyingine, lakini hii ndio Africa. Yaani huyu mzee ndio wa kumuombea kura JPM?
Dogo ungejua wakati nyie wanyonge mnaigia uchumi wa chini Kati mi tayari Niko uchumi wa juuNjaa inakusumbua tu, huna lolote.
Linaweza kuwa na section mbili, moja ya gesi nyingine mafutaWataalam, mimi sijaelewa hapo jamaa anaposema na sisi Tanzania tutalitumia hilo hilo bomba kupeleka gesi huko Uganda. Sasa gesi, hata kama ni liquefied natural gas (LNG) na mafuta yatakuwa yanapishanaje kwenye hilo bomba? Yaani gesi inakwenda Uganda na mafuta yanakwenda Tanga! Au watapeana zamu?
Msinicheke, haya mavitu sina utaalamu nayo.
Upo uchumi wa juu kusafisha vizee vya kizungu khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee ujinga mtupu. Siwezi kuwa mtumwa.Dogo ungejua wakati nyie wanyonge mnaigia uchumi wa chini Kati mi tayari Niko uchumi wa juu
Mkuu jiongeze,vinginevyo watakuita kilaza.Kipi kinamshinda? Kwani anatumia gharama gani wakati gharama zote zinabebwa na serikali yetu? Narudia tena maana naona unakwepa hapo. Siku ile Tanga walisaini mkataba kuwa ujenzi unaanza na kukamilika hii 2020, tena mbele ya wazungu wa Total. Iweje leo 2020 mradi haujaanza kisha wanasaini tena mradi kuanza, huku wazungu wa Total hawapo, zaidi ya wanaccm walioko kwenye kampeni mode? Jikite kwenye ufafanuzi huo.
Mnahangaika na nini? Mbona imeelezwa kuwa wataweka bomba jingine la gesi kwenye njia hiyo kama inawezekana ili hilo bomba jipya lisafirishe gas kwenda Uganda. Wacheni kuzunguka mbuyu.Linaweza kuwa na section mbili, moja ya gesi nyingine mafuta
Chato ni porini? Kweli JF imevamiwa! Hili bomba limewaumiza wengi bado majibu kutoka Kenya et al khe khe keh khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeHivi huyu jamaa aliwaza nn kujenga uwanja huu porini huyu hana mpango wa kuondoka madarakani
Nimemsikia Rais Mseveni akimuombea Kura Rais Magufuli na ccm kuwa itapatapa ushindi.
Hili linaweza kuchukuliwa vibaya na wafuasi wa vyama pinzani japo ziara yake ilikuwa ya kikazi na yenye faida kubwa kwa Tanzania lakini hili la uchama litaondoa mazuri yote aliyo kuja nayo.
Lakini pia ni dhahiri Rais Museveni kuwa mwana ccm halisi baada ya kuomba nyimbo za zamani za Tanu enzi hizo akiwa Tanzania.
Mkuu Lyamber nadhani wewe ndio unahitaji kuelimishwa maana umesoma uzi wa Pascal juu juu. I know better than you and Pascal ! Nina maanisha.Mzee shule hujaenda soma uzi wa Pascal Mayalla kuhusu CODO, DODO na COCO kukupa summary ni kwamba Total inaachana na biashara ya kuvimiliki vituo vya mafuta na kuwauzia watu binafsi lakini itakua inaoperate kwa kutumia jina la TOTAL
Na nyinyi mleteni Robati wa Amstaderm amombee Lissu kura
Na bado Raila Odinga na yeye atakuja kumuimbea kura JPM ndo mjue kwamba JPM ni mfano wa kuigwa Afrika