Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Vile vile anakwenda kum update Mheshiwa Rais wetu juu ya bomba la mafuta baada ya Rais Museveni kukutana na CEO wa Total Patrick Pouyane na kuwezeshwa kusainiwa document muhimu kwa ajili ya kufikia Final Investment Decision (FID) ya uwekezaji katika bomba hilo.

Halafu yule mgombea wa Mbowe anasema Total inaondoka Tanzania ! Aibuuu ! No research no right to speak !
Ni ujinga kufurahia mradi wa mwenzako wa mafuta, kwako umeua mradi wa gas ambao ulikuwa mkubwa zaidi ya mara 10 ya unaoufurahia.

Leo Mozambique ni nchi ya pili Duniani katika uwekezaji mkubwa wa gas kwa mwaka 2019/2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkataba wa Bomba la mafuta unasainiwa, safi sana hakuna kulala. Msafara wa Uganda Barakoa mtindo moja wajifunze kujifukiza. Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Karibu Kaguta tuweke siasa kando.Hii ni habari njema, mradi uanze kazi mapema kwa win win.
Hawa wote JPM na M7 wako shughuli pevu huku Bobby Wine kule Lissu na uchaguzi ndio huo umefika.

Tutapigishwa story za bomba la hoima hapa,watasaini mikataba then cha kuongelea kwny kampeni kinakua kimeshapatikana kwa M7 na Magu then abdacadabra zinaendelea fresh.
 
Ni ujinga kufurahia mradi wa mwenzako wa mafuta, kwako umeua mradi wa gas ambao ulikuwa mkubwa zaidi ya mara 10 ya unaoufurahia.

Leo Mozambique ni nchi ya pili Duniani katika uwekezaji mkubwa wa gas kwa mwaka 2019/2020.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kila jambo na wakati na umakini! Kukurupuka kwenye miradi hiyo mikubwa ni kuingia kwenye mitego hatari ya capitalists. Tuanze na hii midogo midogo tujipime. Tusije weka rehani mali za nchi. By the way do you have any information about the long term viability and profitability (ROI) of FDI on Mozambique gas extraction? I happen to work in the oil and gas industry, I can borrow you a leaf if you will !
 
Pumzi imekata, inabidi kupata tuition kutoka kwa dict. mzoefu, haya mambo hayataki hasira.
 
Najua wanaccm hilo jina hamlipendi. Jongeeni hapa uwanjani mumpokee mgeni wenu aje kupiga propaganda za bomba la mafuta.

Hatimaye amefika View attachment 1568400
Hiyo picha inahusiana vipi na tukio hili maana naona ndege kubwa hapa. Siku hizi chadema mmeamua kuwa wasemaji wa ikulu mnaisaidia ccm
 
Maji ya mezidi unga. Lissu! Lissu! Lissu!. Bora mkapa angelikuwepo angemsaidia kwa hili wallah
 
Nasikia taarifa kutoka Kenya wanalia chozi la mamba .... ..... khe he khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom