Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Museveni ametembelea tanzania Kikazi
Katiba inasema? Tusijivue ufahamuAisee, ina maana mtu anagombea huku anaendelea kufanya kazi kama rais?
Uwezo wa nini hebu fafanua.Ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi..... ndio Maana hata ccm wakilazimisha kuwa wengi bungeni bado mbunge mmoja wa Chadema anauwezo wa sawa na wabunge 50 wa ccm
Mkuu Umemaliza kuota?,huyu anayesema ana risasi kumi kiunoni unadhani anaweza chukua nchi hii kweli?Mkuu Anatafuta kiki mpya .
lakuvunda halina Ubani,
Mwaka Huu Magu Out.
CCM OUT.
Ramli zinasema hivyo
labda Muahirishe uchaguzi kwa kukwepesha ile tarehe na siku.
Huna akili,usifanabishe marais wa dunia na hizo takatakaGorge Bush alipotembelea Arusha utalii uliongezeka sana
Obama alipotembelea Serengeti utalii uliongezeka
Kenyatta na mseven walipotembelea chato utalii umeanza kuimarika
Rais anasimama kufanya kazi za Urais dakika moja baada ya kuapishwa Rais mpya.Aisee, ina maana mtu anagombea huku anaendelea kufanya kazi kama rais?
Ni uwendawazimu kufikiria kuwa bomba la mafuta linalopita nchini mwako litakuwa na faida kubwa zaidi kushinda mapato ambayo yangepatilana kutokana na gas.Bomba la mafuta litalipatia taifa letu mapato na ajira lukuki kwa watanzania wote.
Kazi ya rais haikomi hadi mwingine aapishwe nenda kasome katiba kabla ya kuja kulalamika. Ukasuku pelekeni kwenye chama cha ukoo kule uchagani.Aisee, ina maana mtu anagombea huku anaendelea kufanya kazi kama rais?
Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Hata mlete majizi ya kura yaliyokubuhu firing squad ya watz imeamua magu must dieNajua wanaccm hilo jina hamlipendi. Jongeeni hapa uwanjani mumpokee mgeni wenu aje kupiga propaganda za bomba la mafuta.
Hatimaye amefika View attachment 1568400