madindigwa
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 2,488
- 2,904
Walikua wanaajiliwa 60000 na wanaostaafu wangapi?Nakumbuka huu mradi ulizinduliwa 2016 Kwa mbwembwe saaana na mikataba ikasainiwa hadharani na tukajulishwa kuwa mradi utakamilika mwezi wa nne Mwaka 2019 nashangaaa tena Leo eti unazinduliwa na katika uzinduzi huo nimesikia maneno kuwa tunataka mazungumzo yafanyike mapema ili michakato ianze haraka, sijaelewa...
Halafu kwa leo hakukuwa na muwakilishi hata mmoja wa TotalKule Tanga ilikuwa nini ?Bullshit.
Nimejiuliza wanajenga kwa pesa ya serikali zao 100 perce ?Halafu kwa leo hakukuwa na muwakilishi hata mmoja wa Total
.BIA YETU upo kuendeleza ujinga wako!!Ndio hivyo Mkuu watalii wataongezeka sana
Museveni kasoma chuo kikuu mlimani nadhani unalijua hilo.
Hawezi kuja kumuombea kura Tundu Lissu asiyemheshimu Hayati Nyerere.
Halafu kwa leo hakukuwa na muwakilishi hata mmoja wa Total
Jaribu kuwa msomaji, mzuri mradi umepewa baraka za kuanza rasmi. Tanzania tulishamaliza yote tuliotakiwa kuyafanya upande wetu, kazi ilibaki Uganda wanabishana juu ya kodi. Waganda wameshakubaliana, leo Museveni amekuja kuleta taarifa rasmi kwamba mradi uanze.Mzeee wetu anazungumia ajira kuwa mradi utaajiri watu 13,000 anasahau kuwa kikwete kila Mwaka Alikuwa anaajiri watu 60,000 Kwa Mwaka yeye kazuia Halafu anapigia upatu ajira Ya mafuta ya Uganda
Kwa iyo Safari yote hiyo kumbe dhumuni ni kumuombea kura??? Kweli Ccm mna hali mbaya sana! Kawaletea na hela za kuhonga nini??? Maana haiwezekani mradi huo huo kila siku mnazindua tu!!Nimemsikia Rais Mseveni akimuombea Kura Rais Magufuli na ccm kuwa itapatapa ushindi.
Hili linaweza kuchukuliwa vibaya na wafuasi wa vyama pinzani japo ziara yake ilikuwa ya kikazi na yenye faida kubwa kwa Tanzania lakini hili la uchama litaondoa mazuri yote aliyo kuja nayo.
Lakini pia ni dhahiri Rais Museveni kuwa mwana ccm halisi baada ya kuomba nyimbo za zamani za Tanu enzi hizo akiwa Tanzania.
Isijekuwa Jiwe ameshaingia mfukoni maana hachelewi. Nimemsikia Mu7akisma hiyo bilioni 14 ni kurumure...Yani wanaanza kulima shamba so wanaingia mfukoni. Kama ulimsikiliza vizuri hadi yule mhaya akatafsiri maana ya kirumureNimejiuliza wanajenga kwa pesa ya serikali zao 100 perce ?
Kipi kinamshinda? Kwani anatumia gharama gani wakati gharama zote zinabebwa na serikali yetu? Narudia tena maana naona unakwepa hapo. Siku ile Tanga walisaini mkataba kuwa ujenzi unaanza na kukamilika hii 2020, tena mbele ya wazungu wa Total. Iweje leo 2020 mradi haujaanza kisha wanasaini tena mradi kuanza, huku wazungu wa Total hawapo, zaidi ya wanaccm walioko kwenye kampeni mode? Jikite kwenye ufafanuzi huo.
Tatizo lako we ndugu yangu huwa unapenda sana kuropoka .Kwa iyo Safari yote hiyo kumbe dhumuni ni kumuombea kura??? Kweli Ccm mna hali mbaya sana! Kawaletea na hela za kuhonga nini??? Maana haiwezekani mradi huo huo kila siku mnazindua tu!!
Rais Museveni ametembelea tanzania Kikazi
===
Rais John Magufuli wa Tanzania na Rais Yoweri Museveni wa Uganda wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga, Tanzania
Rais Magufuli: Tumeshuhudia uwekaji wa saini wa ujenzi wa Bomba hili la Mafuta lenye km 1,445. Hii ni hatua muhimu sana kuelekea utekelezaji wa mradi huu. Ni mradi wa takribani USD 3.5 Billion
Rais Magufuli: Km 330 za bomba hili zipo Uganda. Kwa Tanzania, bomba litapita kwenye mikoa 8, wilaya 24 na kata 132. Tathmini kwa Tanzania, watu zaidi ya 90,000 watalipwa fidia; ni takribani bilioni 21
Rais Magufuli: Nampongeza Rais Museveni, amefanya mambo yasiyowezekana! Haya mafuta yasingepatikana Uganda, sisi tusingenufaika. Yawezekana kuna waganda wanaomtukana pamoja na kazi hii nzuri anayofanya!
Rais Magufuli: Mradi huu ulichelewa! Coronavirus ilichelewesha huu mradi, ishindwe kabisa! Jana Mzee Museveni alinipigia simu, akasema Corona isiwe sababu ya mradi kuchelewesha mradi. Alisema atakuja na barakoa, nikamwambia hata uje na blanketi, njoo tu!
Rais Magufuli: Mradi huu wa Bomba la Mafuta ni ushindi wa Pili baada ya Vita vya Kagera. Tulichelewa kidogo katika hili juu ya kugawana faida. Tumekaa chemba dakika 5 chemba tu, nikamwambia Tanzania tupate 60% na 40% iende Uganda - Rais Museveni akakubali
Rais Magufuli: Tunaendelea na utafiti wa mafuta hapa Tanzania, endapo yatapatikana, tutayapitisha kwenye hili bomba. Endapo gesi itaanza kupatikana Tanzania, tutaipeleka Uganda sambamba na hili Bomba la Mafuta
Rais Museveni: Nilitumia wataalamu wetu tangu mwanzo hadi mwisho, watu wa nje walikuwa wanatuchezea. Baadhi ya waganda waliokuwa wamesomea masuala haya niliwapeleka kuongeza utaalam, waliporudi wakagundua mafuta haya mwaka 2006
Rais Museveni: Nataka watanzania na raia wa Afrika Mashariki tuamke! Huwa nafuatilia TBC1... Nitafanya mazungumzo na Rais Magufuli na CCM tuangalie jinsi ya kuimarisha masoko baina ya nchi zetu na kuimarisha undugu wetu
Rais Museveni: Hivi karibuni tutarudi Tanzania kuzungumzia masuala ya Gesi. Uganda ina uhitaji mkubwa wa gesi, namshukuru Rais Magufuli kwa utayari wa kupitisha bomba la gesi sambamba na bomba la mafuta! Huo ndo undugu
Nadhani kaja kutusaidia kampeni kiaina. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji848][emoji848]Rais Museveni ametembelea tanzania Kikazi
===
Rais John Magufuli wa Tanzania na Rais Yoweri Museveni wa Uganda wamesaini makubaliano ya kuanza ujenzi wa Bomba la Mafuta ghafi kutoka Hoima, Uganda hadi Chongoleani mkoani Tanga, Tanzania
Rais Magufuli: Tumeshuhudia uwekaji wa saini wa ujenzi wa Bomba hili la Mafuta lenye km 1,445. Hii ni hatua muhimu sana kuelekea utekelezaji wa mradi huu. Ni mradi wa takribani USD 3.5 Billion
Rais Magufuli: Km 330 za bomba hili zipo Uganda. Kwa Tanzania, bomba litapita kwenye mikoa 8, wilaya 24 na kata 132. Tathmini kwa Tanzania, watu zaidi ya 90,000 watalipwa fidia; ni takribani bilioni 21
Rais Magufuli: Nampongeza Rais Museveni, amefanya mambo yasiyowezekana! Haya mafuta yasingepatikana Uganda, sisi tusingenufaika. Yawezekana kuna waganda wanaomtukana pamoja na kazi hii nzuri anayofanya!
Rais Magufuli: Mradi huu ulichelewa! Coronavirus ilichelewesha huu mradi, ishindwe kabisa! Jana Mzee Museveni alinipigia simu, akasema Corona isiwe sababu ya mradi kuchelewesha mradi. Alisema atakuja na barakoa, nikamwambia hata uje na blanketi, njoo tu!
Rais Magufuli: Mradi huu wa Bomba la Mafuta ni ushindi wa Pili baada ya Vita vya Kagera. Tulichelewa kidogo katika hili juu ya kugawana faida. Tumekaa chemba dakika 5 chemba tu, nikamwambia Tanzania tupate 60% na 40% iende Uganda - Rais Museveni akakubali
Rais Magufuli: Tunaendelea na utafiti wa mafuta hapa Tanzania, endapo yatapatikana, tutayapitisha kwenye hili bomba. Endapo gesi itaanza kupatikana Tanzania, tutaipeleka Uganda sambamba na hili Bomba la Mafuta
Rais Museveni: Nilitumia wataalamu wetu tangu mwanzo hadi mwisho, watu wa nje walikuwa wanatuchezea. Baadhi ya waganda waliokuwa wamesomea masuala haya niliwapeleka kuongeza utaalam, waliporudi wakagundua mafuta haya mwaka 2006
Rais Museveni: Nataka watanzania na raia wa Afrika Mashariki tuamke! Huwa nafuatilia TBC1... Nitafanya mazungumzo na Rais Magufuli na CCM tuangalie jinsi ya kuimarisha masoko baina ya nchi zetu na kuimarisha undugu wetu
Rais Museveni: Hivi karibuni tutarudi Tanzania kuzungumzia masuala ya Gesi. Uganda ina uhitaji mkubwa wa gesi, namshukuru Rais Magufuli kwa utayari wa kupitisha bomba la gesi sambamba na bomba la mafuta! Huo ndo undugu