Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Ujenzi wa Bomba la Mafuta: Ziara ya Rais Museveni nchini Tanzania - Septemba 13, 2020

Campaign Stop
Kick Kick
Ushindi Lazima Tunasherekea
Museven Anaharibu
Kwahiyo Anaomba Kura Ndiyo Maana Kakuita
 
Mzee kwa sasa hakuna tape tena, ni CD au FLASH DISK.
 
Una hoja ya msingi sana na swali lako linahitaji jibu watu waelewe kilichofanyika Leo tena ni nn tofauti na kile cha nyuma, tatizo unatumia maneno mengi sana kuelezea hoja.

Bila maneno mengi watu wanakwepa kujibu. Isitoshe huyo niliyemquote huwa ni muandishi mzuri.
 
Hii chai sinywi, hanna mtotali hats mmoja kwenye mradi duuuh! Nasema tena sinywiiiiiiii
 
Na uzuri Museven kasema kabisa kuwa anajua Magu anatafuta kura. Au labda mradi anaulipia Magu. Je na soko la mafuta ili yakasafishwe ni wapi? Maana hata uarabuni soko linaanza kudoda
 
Nimemsikia Rais Mseveni akimuombea Kura Rais Magufuli na ccm kuwa itapatapa ushindi.

Hili linaweza kuchukuliwa vibaya na wafuasi wa vyama pinzani japo ziara yake ilikuwa ya kikazi na yenye faida kubwa kwa Tanzania lakini hili la uchama litaondoa mazuri yote aliyo kuja nayo.

Lakini pia ni dhahiri Rais Museveni kuwa mwana ccm halisi baada ya kuomba nyimbo za zamani za Tanu enzi hizo akiwa Tanzania.
 
Hawa wacheza ngoma wachafu wamewatoa wapi
 
Gorge Bush alipotembelea Arusha utalii uliongezeka sana
Obama alipotembelea Serengeti utalii uliongezeka
Kenyatta na mseven walipotembelea chato utalii umeanza kuimarika
[/
Mnoga ya CHATO ni Nani alikuambia Kuna wanyama zaidi ya nyani?wanyama wote waliosombwa kutuka kwenye Hifadhi mbalimbali wameshahama.
 
Nimemsikia Rais Mseveni akimuombea Kura Rais Magufuli na ccm kuwa itapatapa ushindi.

Hili linaweza kuchukuliwa vibaya na wafuasi wa vyama pinzani japo ziara yake ilikuwa ya kikazi na yenye faida kubwa kwa Tanzania lakini hili la uchama litaondoa mazuri yote aliyo kuja nayo.

Lakini pia ni dhahiri Rais Museveni kuwa mwana ccm halisi baada ya kuomba nyimbo za zamani za Tanu enzi hizo akiwa Tanzania.
Hakuna ubaya hapo,Ccm na NRM ni ndugu. Hakuna jambo baya hapo.
 
Wanaowaza kibiashara wametamko kuwa wamejitosa kwenye industry ya mafuta pasi kutegemea kupata kila kitu ,hata Kama watapata hasara za hapa na pale itawapa uzoefu kuliko kuacha kabisa.Hapo mseven alitumia neno la kilugha na mfano wa shamba
Sasa huku bongo kwa wajamaa wameona matilioni ya pesa za bagamoyo port na value chain yake haina maana,ni hasara Sana kuwa na watu dizaini hii kwenye nchi,imagine waganda wangekomaa watake 59/50 sijui leo mngekuwa mnazindua nini
 
Vile vile anakwenda kum update Mheshiwa Rais wetu juu ya bomba la mafuta baada ya Rais Museveni kukutana na CEO wa Total Patrick Pouyane na kuwezeshwa kusainiwa document muhimu kwa ajili ya kufikia Final Investment Decision (FID) ya uwekezaji katika bomba hilo.

Halafu yule mgombea wa Mbowe anasema Total inaondoka Tanzania ! Aibuuu ! No research no right to speak !
Umemsikia M7 punguani weee
 
Back
Top Bottom