Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una hoja ya msingi sana na swali lako linahitaji jibu watu waelewe kilichofanyika Leo tena ni nn tofauti na kile cha nyuma, tatizo unatumia maneno mengi sana kuelezea hoja.
HaterKwa hiyo, hicho kikao wanafanyia kwenye hifadhi ya Burigi-Chato?
Hili swali la muhimu. Lijibiwe kama lina jibu.
Aaah maana apa Afrika waganda ndiyo wanaongoza kufanya utalii kwakua kwao hamna vitu kama hivi kabisaNa uchumi wa Tanzania utapanda
Kuna mtoto wa kisukuma hapo naona maunoni hajanyimwa ulegevuHawa wacheza ngoma wachafu wamewatoa wapi
Gorge Bush alipotembelea Arusha utalii uliongezeka sana
Obama alipotembelea Serengeti utalii uliongezeka
Kenyatta na mseven walipotembelea chato utalii umeanza kuimarika
[/
Mnoga ya CHATO ni Nani alikuambia Kuna wanyama zaidi ya nyani?wanyama wote waliosombwa kutuka kwenye Hifadhi mbalimbali wameshahama.
Wasukuma.Hawa wacheza ngoma wachafu wamewatoa wapi
Hakuna ubaya hapo,Ccm na NRM ni ndugu. Hakuna jambo baya hapo.Nimemsikia Rais Mseveni akimuombea Kura Rais Magufuli na ccm kuwa itapatapa ushindi.
Hili linaweza kuchukuliwa vibaya na wafuasi wa vyama pinzani japo ziara yake ilikuwa ya kikazi na yenye faida kubwa kwa Tanzania lakini hili la uchama litaondoa mazuri yote aliyo kuja nayo.
Lakini pia ni dhahiri Rais Museveni kuwa mwana ccm halisi baada ya kuomba nyimbo za zamani za Tanu enzi hizo akiwa Tanzania.
Wamevaa kishamba ,wasukuma ni washamba sanaKuna mtoto wa kisukuma hapo naona maunoni hajanyimwa ulegevu
Anakata kinoma ila ni wakupeleka Car wash.
Wachafu sana halafu washambaWasu
Wasukuma.
Umemsikia M7 punguani weeeVile vile anakwenda kum update Mheshiwa Rais wetu juu ya bomba la mafuta baada ya Rais Museveni kukutana na CEO wa Total Patrick Pouyane na kuwezeshwa kusainiwa document muhimu kwa ajili ya kufikia Final Investment Decision (FID) ya uwekezaji katika bomba hilo.
Halafu yule mgombea wa Mbowe anasema Total inaondoka Tanzania ! Aibuuu ! No research no right to speak !