Tundu Lissu [emoji3581]Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Amani
Tumeshaliziba TunduTundu Lissu [emoji3581]
Woyo woyo woyoooooooCcm oyo
Wapo na wanajulikanakuna watu watasema halina faida
Basi sawaHiyo Barabara nimepita sana nikiwa Dereva hiyo picha haionyeshi ujenzi wa Daraja inaonyesha kambi ya Wachina
Sio kwamba napinga ujenzi wa Daraja la Mto Wami la hasha
Shukrani kwa pongezi. Hiyo n kazi nzuri ya JPM. Chagua Magufuli kwa mambo makubwa zaidiNapongeza juhudi za Serikali juu ya huu Ujenzi wa hili Daraja jipya japo nashangaa hadi kusikitika ni kwanini limechelewa sana Kukamilika hadi leo!
Sawa kampigie mbelgiji wako japo hashindi kwa namna yeyote ile...labda ashinde njaa tuAcha kujipendekeza wewe!
Kabla hata ya 'Kampeni' kuanza tayari Rais Dkt. Magufuli ana uhakika wa 100% wa 'Kura' yangu Mimi GENTAMYCINE na aondoe tu Shaka kwa hilo.Shukrani kwa pongezi. Hiyo n kazi nzuri ya JPM. Chagua Magufuli kwa mambo makubwa zaidi
Kwa wastani mkoa wenye vijiji vingi hauzidi vijiji 150. Ukizidisha kila mkoa ku cover vijiji vyote ni roughly 7.5B or less! Kwa pesa inayoendaga kwenye miradi mikubwa ni 10 or more times hii figure ni wazi hela ni ndogo wala haitahenyesha serikali.hapa tulipofikia mzee/...wala hamna aja hii miundo mbinu ikianza funguka itajikuta biashara zinakuja tu aisee
Jamani, sizitaki mbichi hizi.Daraje lenyewe bayaaa
Mgombea Urais wa CCM ndugu John Magufuli azidi kung'ara kwa miradi yake yenye tija kwa watanzania. Mradi wa daraja jipya la wami wafikia 45%. Hii itapunguza ajali hivyo kuokoa maisha pia itapunguza muda wa safari.
#2020 kura zote kwa John
Jamani Huyu Mpendwa wetu tuliyeshushiwa na Mwenyezi Mungu tumpatie kula za kishindo hadi roho yake ifurahi kwani si kwa kutupenda huku Watanzania.Popote uliko,hakikisha jirani uliye karibu naye anampatia Mheshimiwa Dr.John Pombe Joseph Magufuli kura ya ndio hapo Oktoba 28 na waachane na hivyo vitu vingine pia tumpatie wabunge wa chama chake afanye mazuri na makubwa zaidi .Najua wengine watanuna. Yaani Baba Magufuli umetupenda kupita kiasi .Sisi ni viburi kama tusipokurudisha ni ukaidi wetu tu Baba.najua watu wa Libya wananielewa ninachozungumza
Bayaaa Daraja daraja la mkapa ndio DarajaJamani, sizitaki mbichi hizi.
Ulitaka ajenge kwa kodi za nani..Hivi si ni kodi zetu Eehh?
Za lumumbaUlitaka ajenge kwa kodi za nani..
Acha kuota ndoto za walevi wa mapuya. Makonda anapewa bonge la nafasi.Makonda anajiandaa kutorokea Burundi
Labda nafasi ya kupiga deki kwenye gesti housi Ile ya 10 pasenti za Nyanza Road constractionAcha kuota ndoto za walevi wa mapuya. Makonda anapewa bonge la nafasi.
Bado siku kumi tushuhudi maajabu,Lugola anakuwa waziri tena. Makonda anapewa cheo kikubwa sana.Labda nafasi ya kupiga deki kwenye gesti housi Ile ya 10 pasenti za Nyanza Road constraction
πππBayaaa Daraja daraja la mkapa ndio Daraja