Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa, suala la supervision likoje hapa? I mean, ukishaweka mafundi na wameanza ujenzi, unasimamiaje kuhakikisha kuwa kila kitu kimeenda sawa sawa linapokuja suala la uchanganyaji?1....nilojenga nimetumia nguzo faida ni kama alivyoeleza Robert Josephat
2. Material unazotumia hakikisha viwango vyote vya uchanganyaji wa zege havikiukwi vinginevyo litaporomoka
3. hakikisha linakaguliwa mwanzo-mwisho
4. Aina na size za nondo na ukubwa wa beam/colum/nguzo
5....etc
Umemshauri vizuri sana. Nimeupenda ushauri wako.
mkuu umenifaa sana kwa ushauri wako huu, manake hapo pekundu pananiumizaga sana kichwa nikifikiriaga kujenga kighorofa cha kuishi. Kama una ushauri zaidi wa jinsi ya kupunguza gharama za ground floor mwaga tunufaike zaidi mkuu
Vipi kuhusu ujenzi wa ghorofa moja kwa kutumia tofali za kuchoma hasa mkoa wa Morogoro?ushauri wenu wakuu
Nashukuru wote kwa ushauri ujenzi unaendelea vizuri. Ndio nafanya maandalizi ya kumimina slab ya first floor,watu wasiogope wajaribu gharama zipo lkn sio za kuogopesha sana,kwa nyumba ya square meter 180 msingi uandae 20,matofali pia ukiweza tumia ratio ya 25/ mfuko
mkuu umewahi kufika zenji? Jee unayajua maghorofa ya michenzani? yale majengo yana ghorofa tano, yamejengwa zaidi ya miaka 40 iliyopita na hayakutumia hata nguzo moja. yote yamejengwa kwa kulaza tofa, pia kuna jengo jengine liko mtendeni lina ghorofa nne nalo pia halikutumia nguzo bali tofali tu zimelazwa. hivyo kwa kagorofa kamoja we laza tu tofali
Nashukuru wote kwa ushauri ujenzi unaendelea vizuri. Ndio nafanya maandalizi ya kumimina slab ya first floor,watu wasiogope wajaribu gharama zipo lkn sio za kuogopesha sana,kwa nyumba ya square meter 180 msingi uandae 20,matofali pia ukiweza tumia ratio ya 25/ mfuko
Nina experience na option ya kulaza matofali.
I have no complain about it. Ila kuna vitu inabidi uvifahamu:
1. Hutaweza kubadilisha plan ya nyumba baadae kwa sababu kuta ndizo zilizobeba jengo. Kama huna mpango wa kubadili matumizi ya jengo that factor may be immaterial.
2. Hata unapolaza matofali ni LAZIMA utahitaji nguzo kadhaa, kwahiyo matumizi ya nguzo hayahepukiki kwa asilimia 100.
Advantage kubwa ya kulaza matofali ni kwamba starting costs zinakuwa sio kubwa. Nguzo za kubeba jengo gharama yake parefu. So kwa anayeamua kujenga hatua kwa hatua inaweza kuwa kipingamizi.
Mkuu ghorofa lako umejenga wapi? Kwa kadirio sq meter 64 za slab ya juu kuweka master na balcony ya kupumzika inaweza ikacost appx m. ngapi?
Kwenye sekta ya ujenzi ,Haas ghorofa mkuu nakuaminiaga sana kwa kweli. Umatusaidia sana, na labda ndio anga zako hizi za kujidai.Kiongozi,
Mimi niko Dar es Salaam, Kibada.
Hapo kwa mahesabu ya harakaharaka unahitaji:
Mirunda 120
Marine boards 27
Cement mifuko 65
Mchanga lori 7ton trip 2
Kokoto lori 7ton trip 3
Nondo mm12 pcs180
Nondo mm8 pcs 40
Nondo mm16 pcs 36
Mbao 2X6 pcs pcs 40
Mbao 2X2 pcs 15
Mbao 2X4 pcs 10
Ufundi - maelewano ( kusuka nondo sh. laki 2. kupiga mbao laki 2, fundi laki 2, kumwaga zege laki 2 jumla laki 8)
Jumlisha na vikorokocho vingine kama misumari etc ambavyo bei yake sio deciding factor.
Kadirio la kati jumla ni sh. mil. 8.
Gharama hii inaweza kupungua kwa kiasi kikubwa iwapo vitatumika vifaa vya kukodi au used.
Kwenye sekta ya ujenzi ,Haas ghorofa mkuu nakuaminiaga sana kwa kweli. Umatusaidia sana, na labda ndio anga zako hizi za kujidai.
Tatizo lipo ukihamia tu lile jukwaa pale juu unabadilika kabisa
Kiongozi,
Mimi niko Dar es Salaam, Kibada.
Hapo kwa mahesabu ya harakaharaka unahitaji:
Mirunda 120
Marine boards 27
Cement mifuko 65
Mchanga lori 7ton trip 2
Kokoto lori 7ton trip 3
Nondo mm12 pcs180
Nondo mm8 pcs 40
Nondo mm16 pcs 36
Mbao 2X6 pcs pcs 40
Mbao 2X2 pcs 15
Mbao 2X4 pcs 10
Ufundi - maelewano ( kusuka nondo sh. laki 2. kupiga mbao laki 2, fundi laki 2, kumwaga zege laki 2 jumla laki 8)
Jumlisha na vikorokocho vingine kama misumari etc ambavyo bei yake sio deciding factor.
Kadirio la kati jumla ni sh. mil. 8.
Gharama hii inaweza kupungua kwa kiasi kikubwa iwapo vitatumika vifaa vya kukodi au used.
Kiongozi,
Mimi niko Dar es Salaam, Kibada.
Hapo kwa mahesabu ya harakaharaka unahitaji:
Mirunda 120
Marine boards 27
Cement mifuko 65
Mchanga lori 7ton trip 2
Kokoto lori 7ton trip 3
Nondo mm12 pcs180
Nondo mm8 pcs 40
Nondo mm16 pcs 36
Mbao 2X6 pcs pcs 40
Mbao 2X2 pcs 15
Mbao 2X4 pcs 10
Ufundi - maelewano ( kusuka nondo sh. laki 2. kupiga mbao laki 2, fundi laki 2, kumwaga zege laki 2 jumla laki 8)
Jumlisha na vikorokocho vingine kama misumari etc ambavyo bei yake sio deciding factor.
Kadirio la kati jumla ni sh. mil. 8.
Gharama hii inaweza kupungua kwa kiasi kikubwa iwapo vitatumika vifaa vya kukodi au used.
Zemacopolo hili gorofa lina ukubwa gani?
Linapokuja swala la slab kusema kwelie size matters yaani kama unataka mambo ya sqrm 180 basi andaa mfuko wa kutosha kwani kushona mkeka wa jamvi pale panalika sana nondo za 12mm na hazikimbiliki zitalika tuu. Mimi nimejenga 144sqrm na hapo zimelika nondo za kutosha.
Nimesema hapo awali kama una forecast ya cash ya kama 20 million per phase basi gorofa unaweza kujenga. Maana msingi wa gorofa utakula kuanzia 20 million kisha kujenga mpaka kwenye slab haifiki hata 8 million, then slab at least 25 million then unapandisha kwa at least 8 million then kufunika add another 15 million. hapo kama 70 million inakuwa imesimama. Baada ya hapo tukutane kwenye finishing.
Ukijipanga unaweza kaka. Nimimi nimethubut na nasema yoyote anaweza akijipanga.
Zemacopolo hili gorofa lina ukubwa gani?
Linapokuja swala la slab kusema kwelie size matters yaani kama unataka mambo ya sqrm 180 basi andaa mfuko wa kutosha kwani kushona mkeka wa jamvi pale panalika sana nondo za 12mm na hazikimbiliki zitalika tuu. Mimi nimejenga 144sqrm na hapo zimelika nondo za kutosha.
Nimesema hapo awali kama una forecast ya cash ya kama 20 million per phase basi gorofa unaweza kujenga. Maana msingi wa gorofa utakula kuanzia 20 million kisha kujenga mpaka kwenye slab haifiki hata 8 million, then slab at least 25 million then unapandisha kwa at least 8 million then kufunika add another 15 million. hapo kama 70 million inakuwa imesimama. Baada ya hapo tukutane kwenye finishing.
Ukijipanga unaweza kaka. Nimimi nimethubut na nasema yoyote anaweza akijipanga.